Nelson Mandela Was On US Terrorist Watch-List Until 2008

Nelson Mandela Was On US Terrorist Watch-List Until 2008

Mkuu, umezisoma vizuri hizo quotes alizozitoa wakati wa kesi yake? Zinafanana na unachosema?
Wanaomkubali sasa, wanafanya hivyo kwakuwa wanajua he stood for some thing na alikifikia. Wanatambua kuwa alikuwa mwamba pamoja na mabaya waliyomfanyia.
Alifundisha reconciliation kwa vitendo ndiyo maana dunia inamuheshimu.

Nimezisoma vizuri mkuu, na nimezipitia kwenye vitabu vingi kiasi. Sina shaka kuhusu umwamba wa Mandela, na wala sina shaka kuhusu ushujaa wake, lakini hata Yesu ni shujaa lakini ana mapungufu yake!..Unaelewa kwamba kulikuwa na mikutano mingi ya siri kati ya mandela na wawakilishi wa apartheid regime miaka michache kabla ya kuachiwa kwake? Unadhani ni nini kilizungumzwa?
 
Nimezisoma vizuri mkuu, na nimezipitia kwenye vitabu vingi kiasi. Sina shaka kuhusu umwamba wa Mandela, na wala sina shaka kuhusu ushujaa wake, lakini hata Yesu ni shujaa lakini ana mapungufu yake!..Unaelewa kwamba kulikuwa na mikutano mingi ya siri kati ya mandela na wawakilishi wa apartheid regime miaka michache kabla ya kuachiwa kwake? Unadhani ni nini kilizungumzwa?

Huo umwamba ndiyo unaofanya hata wale waliomtesa wamuheshimu.
Kuhusu mikutano ya siri sijui walizungumza nini kwakuwa ilikuwa siri. Ila kama unafahamu tueleze.
 
Lakini mwaka 2004 Bush alimpa tuzo Mandela White house
 
Nimezisoma vizuri mkuu, na nimezipitia kwenye vitabu vingi kiasi. Sina shaka kuhusu umwamba wa Mandela, na wala sina shaka kuhusu ushujaa wake, lakini hata Yesu ni shujaa lakini ana mapungufu yake!..Unaelewa kwamba kulikuwa na mikutano mingi ya siri kati ya mandela na wawakilishi wa apartheid regime miaka michache kabla ya kuachiwa kwake? Unadhani ni nini kilizungumzwa?

Mkuu bora na wewe umeliona hilo, mi kuna kipindi nishawahi kufikiria kuwa huyu siye Mandela...
Haiwezekani mtu aliyekua anaitwa Madiba (Mtata) kufanya maamuzi ya kipuuzi kiasi kile..
Mi ndio maana nasema hata pa kuanzia alikua hana..
 
Mkuu bora na wewe umeliona hilo, mi kuna kipindi nishawahi kufikiria kuwa huyu siye Mandela...
Haiwezekani mtu aliyekua anaitwa Madiba (Mtata) kufanya maamuzi ya kipuuzi kiasi kile..
Mi ndio maana nasema hata pa kuanzia alikua hana..

Maamuzi gani hayo ya kipuuzi aliyoyafanya? Specify kidogo tuone upuuzi wake, yawezekana wengine hatuujui.
 
Alikuwa mbaya kupindukia. Aliwasamehe makaburu akashindwa kumsamehe Winnie Madikizela Mandela. Hii pia ni aina ubaguzi au inferiority complex kwa wazungu. Kosa ni kosa, kama alikuwa na moyo wa msamaha angemsamehe mke wake. Kuwasamehe wazungu ni kwa sababu ya ukweli kwamba aliwaogopa na akaona hawezi tene kuendelea kupambana nao.Hasira zake zikaishia kwa mnyonge wake Winnie. Ni mtu maarufu kwa dunia lakini dhaifu kwa familia yake mwenyewe. Amekwenda kinyume na charity begins at home. Naona watu wanaangalia upande mmoja
kama nyerere alivyomsamehe Gadafi ndivyo mandela alitenda kama yesu pia , yaani pamoja na kubagulia na kufungwa lakini mwisho wa yote alisamehe na hii ikapelekea wazungu wampende na kumwamini sana, ni ajabu kuona wachangiaji wakianza kuonyesha chuki za wazi kwa wazungu, inaashiria hawa wako Anti-mandela bila kujijua, je ndivyo mandela aliwafundisha wafanye hivyo?????????????????????

"We are not anti-white, we are against white supremacy … we have condemned racialism no matter by whom it is professed."
Nelson Mandela, defence statement during the Treason Trial, 1961.


"
I have fought against white domination, and I have fought against black domination. I have cherished the ideal of a democratic and free society in which all persons will live together in harmony with equal opportunities. It is an ideal which I hope to live for, and to see realised. But my Lord, if needs be, it is an ideal for which I am prepared to die."
Nelson Mandela, defence statement during the Rivonia Trial, 1964. Also repeated during the closing of his speech delivered in Cape Town on the day he was released from prison 27 years later, on 11 February 1990
.
 
Haikuwa lengo lake kusamehe, lakini ilikuja kama moja ya mashart ya yeye kuachiwa huru na SA kupewa uhuru wake kama nchi isiyo ya kibaguzi, thats Mandela's weakness! Kwa sasa pale SA namwamini sana kijana Malema, kusema kweli akipewa nafasi atamaliza kazi iliyomwogofya Madiba, nyang'anya mashamba hao nyang'au wasio na kwao!
Hell No!!, i dont think so:tape:
ilikuaje alipokuwa rais je si angewageuka basi.. na hapa alishindwaje???
 
Alikuwa mbaya kupindukia. Aliwasamehe makaburu akashindwa kumsamehe Winnie Madikizela Mandela. Hii pia ni aina ubaguzi au inferiority complex kwa wazungu. Kosa ni kosa, kama alikuwa na moyo wa msamaha angemsamehe mke wake. Kuwasamehe wazungu ni kwa sababu ya ukweli kwamba aliwaogopa na akaona hawezi tene kuendelea kupambana nao.Hasira zake zikaishia kwa mnyonge wake Winnie. Ni mtu maarufu kwa dunia lakini dhaifu kwa familia yake mwenyewe. Amekwenda kinyume na charity begins at home. Naona watu wanaangalia upande mmoja

Naomba kukiri kuwa ninafahamu kiasi kidogo sana cha mgogoro kati ya wawili hao na sitaki kutia neno juu ya swala hilo ila naomba unisaidie, unaposema kuwa alishindwa kumsamehe unamaanisha nini, au alitakiwa kufanya nini ili ijulikane kuwa kamsamehe?
 
Hell No!!, i dont think so:tape:
ilikuaje alipokuwa rais je si angewageuka basi.. na hapa alishindwaje???

Hivi baada ya mateso yote yale, maisha ya watu wengi kupotea, wewe unadhani ni nini kilimsukuma awasamehe? Kumbuka kuna vikao vingi vilifanyika kwa siri kati yake na uongozi wa apartheid kabla ya yeye kuachiwa, unafikiri nini kilizungumzwa? Sina maneno na Mzee Madiba, katika situation aliyokuwapo hata mimi ningefanya hivyo tu, lakini aliwauza waafrika wenzake, tunayahitaji mashamba yetu!
 
Mandela na Winnie walikuwa wana ndoa, wazazi wa watoto wao wawili, lakini pia walikuwa wana chama cha ukombozi cha ANC. Mwaka 1998 Nelson alimtaliki Winnie. Hapana shaka kulikuwa mgogoro wa kifamilia. Mandela Nelson alishindwa kuuhimili kuusuhisha hata kusamehe hadi kifo chake. Alipaswa kuendelea kuishi naye hadi kifo kama biblia inavyotuasa kufanya. Kitendo cha kumtaliki mkewe kinaonyesha udhaifu kinyume kabisa cha anavyoelezwa katika vyombo vya habari. Ukumbuke Nelson, kutokana na harakati zake za kisiasa alimwacha Winnie akiwa na umri mdogo na familia changa akihangaika pasipokuwa na mzazi mwenzake. Hii peke yake ilikuwa ni adhabu. Leo anapata mafanikio anakula Graca na kumtupa aliyesaidia mafanikio yake. Nilisoma kwenye vyombo vya habari jinsi viongozi wa dini walivyojaribu kumsihi asimwacha Winnie, lakini hawakufanikiwa. Yesu aliwaambia watu walikuja kumshitaki kwake mwanamke malaya, 'ASIYEPATA KUTENDA DHAMBI NA AWE WA KWANZA KUMTUPIA JIWE MWANAMKE HUU
Naomba kukiri kuwa ninafahamu kiasi kidogo sana cha mgogoro kati ya wawili hao na sitaki kutia neno juu ya swala hilo ila naomba unisaidie, unaposema kuwa alishindwa kumsamehe unamaanisha nini, au alitakiwa kufanya nini ili ijulikane kuwa kamsamehe?
 
Former South African President Nelson Mandela passed away Thursday evening at the age of 95. While he was revered by politicians today as a human rights icon, Mandela remained on the U.S. terrorism watch list until 2008, when then-President George W. Bush signed a bill removing Mandela from it.

Then-Secretary of State Condoleezza Rice called the restrictions a "rather embarrassing matter that I still have to waive in my own counterpart, the foreign minister of South Africa, not to mention the great leader Nelson Mandela."
geenfan534.jpg


"He had no place on our government's terror watch list, and I'm pleased to see this bill finally become law," then-Sen. John Kerry (D-Mass.) said in 2008.

South Africa’s apartheid regime designated Mandela’s African National Congress (ANC) as a terrorist organization for its battle against the nation’s legalized system of racial segregation that lasted from 1948 to 1994.

Former U.K. Prime Minister Margaret Thatcher also described Mandela’s ANC as a “typical terrorist organization” in 1987, refusing to impose sanctions on South Africa’s apartheid regime. President Ronald Reagan did as well.

In 1986, former Vice President Dick Cheney, then a congressman, voted along with 179 other members of the House against a non-binding resolution to recognize the ANC and call on the South African government to release Mandela from prison. The measure finally passed, but not before a veto attempt by Reagan.

In 2000, Cheney maintained that he'd cast the correct vote.


Nelson Mandela Was On The U.S. Terrorist Watch List Until 2008

Them true hypocrites!
 
Hivi baada ya mateso yote yale, maisha ya watu wengi kupotea, wewe unadhani ni nini kilimsukuma awasamehe? Kumbuka kuna vikao vingi vilifanyika kwa siri kati yake na uongozi wa apartheid kabla ya yeye kuachiwa, unafikiri nini kilizungumzwa? Sina maneno na Mzee Madiba, katika situation aliyokuwapo hata mimi ningefanya hivyo tu, lakini aliwauza waafrika wenzake, tunayahitaji mashamba yetu!

Mkuu, tuambie waliongea nini kwenye hiyo mikutano ya siri?
 
Hivi baada ya mateso yote yale, maisha ya watu wengi kupotea, wewe unadhani ni nini kilimsukuma awasamehe? Kumbuka kuna vikao vingi vilifanyika kwa siri kati yake na uongozi wa apartheid kabla ya yeye kuachiwa, unafikiri nini kilizungumzwa? Sina maneno na Mzee Madiba, katika situation aliyokuwapo hata mimi ningefanya hivyo tu, lakini aliwauza waafrika wenzake, tunayahitaji mashamba yetu!
tunaheshimu hisia lakini huwezi fanyia kazi hisia, ikumbukwe kama ni hisia basi kila mtu anazo hisia zake.

vikao vingi??????aliachiwa lakini akawa rais, je iweje asiwageuke, alishindwa nini?
mandela alichagua njia sahihi zaidi, kwani ilihusu jamii nzima ya wanaafrika kusini bila kujali rangi zao. wazungu hawakuwa foreigners bali wenyeji pia na raia halali wa afrika kusini.
tafakari nchi yenye jeshi (vita+polisi)la wazungu peke yao, ajira wanatoa wao,uchumi wanamiliki wao, na katiba inawa-favour wao. lakini rais tu ndiye mweusi(mandela), ungefanya nini? je ungewaa kulipa kisasi kwa ajili ya wazalendo waliochini ya mfumo?. je utawala wako ungedumu?
 
hii haina tofauti na hap kwetu kwania akina serikali ya TZ wanamlilia Mandela wakati wao wanawaua wapinzani wao na kuwang'oa meno bila ganzi.

huu wetu nao ni ubaguzi ambao Mandela alipigana nas sana kuutokomeza.
definately Yesssssssssss
 
Haikuwa lengo lake kusamehe, lakini ilikuja kama moja ya mashart ya yeye kuachiwa huru na SA kupewa uhuru wake kama nchi isiyo ya kibaguzi, thats Mandela's weakness! Kwa sasa pale SA namwamini sana kijana Malema, kusema kweli akipewa nafasi atamaliza kazi iliyomwogofya Madiba, nyang'anya mashamba hao nyang'au wasio na kwao!
Ukisoma historia vizuri utagundua pia hata wazulu si mahala pao kule south africa nao wanatakiwa kurudi kwao baada ya kuvamia south africa karne ya 9, si ajabu hata wewe utajikuta kwamba historia inakurudisha kwenu Nigeria na Cameroon au Sudan kama una asili ya Nilotes. Kwa kulijua hilo ndio maana Mandela akasema hivi "We are not anti-white, we are against white supremacy … we have condemned racialism no matter by whom it is professed."



 
Hell No!!, i dont think so:tape:
ilikuaje alipokuwa rais je si angewageuka basi.. na hapa alishindwaje???

lete ushahidi mezani kwamba kulikuwa na maongezi ya siri kati yake na serkali ya kikaburu
 
Hawa wakubwa wanatuzuga tu, mara nyingi inategemea wanachokitaka toka kwako.
 
lete ushahidi mezani kwamba kulikuwa na maongezi ya siri kati yake na serkali ya kikaburu
sina ushahidi wa maongezi ya siri, nachojua kulikuwa na makubaliano kati ya mandela na serikali ya kikaburu. hivyo siamini kuwa mandela alikuwa na siri yoyote isiyo na maslahi kwa wananchi wa SA
 
Back
Top Bottom