kwanza andika vizuri ndio uombe ushauri
ulikuwa unakimbizwa??
Olewa tu ili uje uachike ukizaa na mtoto kufikisha miaka 3.
kwani kina ugumu gani hapo jamani si wote mi wqsaili na tunawlewa lugha yetu. cha msingi ni kusaidiana kutoa mawazo ya kunisaidia na sio kunisakama jamani lol
kwanza andika vizuri ndio uombe ushauri
ulikuwa unakimbizwa??
Olewa tu ili uje uachike ukizaa na mtoto kufikisha miaka 3.
mmh! hapo si nitaumizwa sana jamani
we kongosho elimu yetu si unaijua
Anatumia iphone banaa, ama unaona wivu vile anaolewa na mzunguuu?
Umenikumbusha kina gea habbib wanasemaga ukiona wanawake wenzio walimshindwa wala usione umepata bonge la bwana, nawe utaachwa tu!
kwani kina ugumu gani hapo jamani si wote mi wqsaili na tunawlewa lugha yetu. cha msingi ni kusaidiana kutoa mawazo ya kunisaidia na sio kunisakama jamani lol
Anatumia iphone banaa, ama unaona wivu vile anaolewa na mzunguuu?
Umenikumbusha kina gea habbib wanasemaga ukiona wanawake wenzio walimshindwa wala usione umepata bonge la bwana, nawe utaachwa tu!
hapa umeandika vizuri mbona?...Mie darasa la saba tu, nilikuwa naandika vizuri tu...Haya, unataka kuolewa na pedejee la kikongo ama kizungu?
kuandika kiswahili vizuri kunahitaji international skul??????. haya ebu rudi kaandike vizuri alaf tukupe ushauri.si unajua elimu yetu ya kanumba ndugu yangu. hatujasoma international skul