Threesixteen Himself
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 8,223
- 7,993
!
!
Nasikia Kutajengwa Bandari Ili Kumpongeza Dogo.
!
Nasikia Kutajengwa Bandari Ili Kumpongeza Dogo.
Wewe kila kitu ni uchochezi meza hivyo hivyo.Ujumbe wako umeuleta kichochezi sana!
Hizo ni habari za kizandiki wewe watu wa mikoa mingine mna gubu sana“Katika Shule ya Msingi Mwekako iliyopo Chato, wasahishaji walibaini karatasi zilizotumika kujibia maswali ni tofauti na zilizotolewa na NECTA, watahiniwa walivyohojiwa walisema majibu walipewa na mwalimu Mkuu” Dk. Charles Msonde - Mkurugenzi Mtendaji NECTA. #KwanzaHabari
Naona Mods wameufyekelea mbali ule ujumbe!Kachochea nin
Mods wamenielewa!Wewe kila kitu ni uchochezi meza hivyo hivyo.
Mods washakuwa wanafiki sana!Naona Mods wameufyekelea mbali ule ujumbe!
haiwezekani labda mtunzi kilazaT
Tena mtihani wa kuchagua jibu sahihi, mwanafunzi anaweza kuotea akalamba 100%.
Oya hii serious au?kama ni kweli ,ole wetu kama Taifa maana hao wasomi ni kujilisha upepoHapo lazima watusue yani mtihani full machagulio ebu fikilia mtoto anapewa swali hili
Raisi wa kwanza wa tanganyika alikua ni nyere_______
A: ra
B: re
C: ri
D: ro
www.necta.go.tz halafu chagua mkoa, wilaya, shule na hatimae jina la mwanafunzi!plz naombeni link ya matokeo ya class seven
Kisichowezekana ni kipi? Mwanafunzi kuotea au?haiwezekani labda mtunzi kilaza
huwezi kuotea 100percent kama mtunzi ni profession hata principles za probability haziswii.practically nimekuwa nikisaidia family members especially kwenye english na maths nimeona mitihani yao mingi .Kisichowezekana ni kipi? Mwanafunzi kuotea au?
Safi sana walimu kazi imeanza kuonekanaSawa
Bado hawajatangaza mpaka tarehe 20Kaka naomba kujua jinsi ya kuangalia shule ambayo amepangiwa mwanafunz wa darasa LA saba
www.necta.go.tzKaka naomba kujua jinsi ya kuangalia shule ambayo amepangiwa mwanafunz wa darasa LA saba