Keitaro Yamaguchi
Member
- Aug 30, 2018
- 72
- 54
Ataenda sec.Mtoto akipata average ya C ataenda secondari? Au ndio imekula kwake?
Ataenda sec.Mtoto akipata average ya C ataenda secondari? Au ndio imekula kwake?
Huu ni ukweli ambao ni vigumu kuupinga kwani miaka mingi huwa haikosi kwenye nafasi nzuri na kila ngazi yaani , msingi na sekondari piaKagera bado utabaki kuwa mkoa Wa vichwa hata tuongee vipi!! Wameingiza Shule NNE kwenye kumi bora
Kanda ya siwa tunaiandaa iwe na wasomi uchwara“Katika Shule ya Msingi Mwekako iliyopo Chato, wasahishaji walibaini karatasi zilizotumika kujibia maswali ni tofauti na zilizotolewa na NECTA, watahiniwa walivyohojiwa walisema majibu walipewa na mwalimu Mkuu” Dk. Charles Msonde - Mkurugenzi Mtendaji NECTA. #KwanzaHabari
Ujumbe wako umeuleta kichochezi sana!“Katika Shule ya Msingi Mwekako iliyopo Chato, wasahishaji walibaini karatasi zilizotumika kujibia maswali ni tofauti na zilizotolewa na NECTA, watahiniwa walivyohojiwa walisema majibu walipewa na mwalimu Mkuu” Dk. Charles Msonde - Mkurugenzi Mtendaji NECTA. #KwanzaHabari
Kachochea ninUjumbe wako umeuleta kichochezi sana!