mkuu huna haja ya kuwa na wasiwasi ni kweli haya matokeo ya mwaka huu yamepikwa na NECTA,wameamua kupunguza zero kwa kubust matokeo,hatari sana,haiwezeka nusu ya darasa wakapata one ya saba ,haiwezekani,yajayo yanafurahisha
Kwa Hiyo NECTA wanapendelea shule za private?