NEC yavitaka vyama vilivyo shindwa Uchaguzi vikubali matokeo

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,494
54,906
12219560_1366520290029052_7795282205942806297_n.jpg

Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC imevitaka vyama vya siasa vilivyoshindwa katika uchaguzi mkuu uliofanyika mwezi Oktoba mwaka huu kukubali kushindwa katika uchaguzi huo.

Imesema walikua wakisoma matokeo katika fomu namba 24 A ambayo imesainiwa na mawakala wote na hakuna chama kilicholeta fomu au kumpa fomu wakala wake yenye ushahidi kwamba haya matokeo karekebisheni hapa au Pale mumekosea kusoma.
 
12219560_1366520290029052_7795282205942806297_n.jpg

Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC imevitaka vyama vya siasa vilivyoshindwa katika uchaguzi mkuu uliofanyika mwezi Oktoba mwaka huu kukubali kushindwa katika uchaguzi huo.

Imesema walikua wakisoma matokeo katika fomu namba 24 A ambayo imesainiwa na mawakala wote na hakuna chama kilicholeta fomu au kumpa fomu wakala wake yenye ushahidi kwamba haya matokeo karekebisheni hapa au Pale mumekosea kusoma.
ulitegemea tume iseme nini? mbona hata kwenye ubunge hizo kasoro huwa zinztokea ndo maana kuna watu wanaenda mahakamani na wanashinda.
 
Kwa mujibu wa tume, 402,248 +15,193,862 = 15,589,639.

Tena wanyamaze wasubiri matokeo. Alipowapelekea petition Lowasa kwa nini hawakusikiliza? Walikuwa wanakimbizwa na nini?

Pumbavu kwelikweli.
 
12219560_1366520290029052_7795282205942806297_n.jpg

Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC imevitaka vyama vya siasa vilivyoshindwa katika uchaguzi mkuu uliofanyika mwezi Oktoba mwaka huu kukubali kushindwa katika uchaguzi huo.

Imesema walikua wakisoma matokeo katika fomu namba 24 A ambayo imesainiwa na mawakala wote na hakuna chama kilicholeta fomu au kumpa fomu wakala wake yenye ushahidi kwamba haya matokeo karekebisheni hapa au Pale mumekosea kusoma.

Waiambie CCM ikubali kushindwa Zanzibar . Hapo watakuwa fair japo kidogo
 
12219560_1366520290029052_7795282205942806297_n.jpg

Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC imevitaka vyama vya siasa vilivyoshindwa katika uchaguzi mkuu uliofanyika mwezi Oktoba mwaka huu kukubali kushindwa katika uchaguzi huo.

Imesema walikua wakisoma matokeo katika fomu namba 24 A ambayo imesainiwa na mawakala wote na hakuna chama kilicholeta fomu au kumpa fomu wakala wake yenye ushahidi kwamba haya matokeo karekebisheni hapa au Pale mumekosea kusoma.

MMeshaambiwa CCM haitoki madarakani kwa karatasi.
 
Haka kazee kenye mishipa kichwani kama tumbo la nyangumi kanaudhi basi tu. Natamani hata kagekutwa mapumzikoni Ufaransa hapo juzi kati.
 
12219560_1366520290029052_7795282205942806297_n.jpg

Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC imevitaka vyama vya siasa vilivyoshindwa katika uchaguzi mkuu uliofanyika mwezi Oktoba mwaka huu kukubali kushindwa katika uchaguzi huo.

Imesema walikua wakisoma matokeo katika fomu namba 24 A ambayo imesainiwa na mawakala wote na hakuna chama kilicholeta fomu au kumpa fomu wakala wake yenye ushahidi kwamba haya matokeo karekebisheni hapa au Pale mumekosea kusoma.

Huyu mzee kum'make anyamaze kabisa, kwa nini alipopelekewa malalamiko na Lowassa alijifungia kwenye kabati ili asionane naye? Sasa leo anasemaje kwamba hakuna chama kilichopeleka malalamiko? Pumbav kabisa hili zee lenye kichwa cha mkomao utafikri limao la kiangazi! Yaani nilivyo na hasira na haka kazee nikikutana na ma Al-shaabab nayaomba mabomu ili nikajilipue nyumbani kwake!!! Na Mungu wa siku hizi sijui kwa nini amepunguza hasira namna hiyo, hawa wazee ndo walipaswa wachukuliwe mapema kabisa, tena wakati wakijumlisha kura za wizi wanakufa hapo hapo!!
 
Kwa mujibu wa tume, 402,248 +15,193,862 = 15,589,639.

Tena wanyamaze wasubiri matokeo. Alipowapelekea petition Lowasa kwa nini hawakusikiliza? Walikuwa wanakimbizwa na nini?

Pumbavu kwelikweli.
Lowassa \liyewakilishwa na Babu Duni hakusikilizwa sababu barua ya maombi yake haikuambatanishwa na ushahidi wa madai yake yaani fomu No. 24 A kuthibitisha kinachosomwa na tume ni tofauti na nakala waliyonayo wao.
 
Lowassa \liyewakilishwa na Babu Duni hakusikilizwa sababu barua ya maombi yake haikuambatanishwa na ushahidi wa madai yake yaani fomu No. 24 A kuthibitisha kinachosomwa na tume ni tofauti na nakala waliyonayo wao.

Wewe ni Kifaurongo, maanake kikwetu ni mtu anayekufa huku akiwa muongo muongo! Lowassa alisikilizwa na nani wakati viongozi wa tume walijificha?
 
Mwenyekiti wa Tume hakupelekewa malalamiko bali alipelekewa hadithi na ngonjera. Malalamiko yalitakiwa yaonyeshe kasoro kwenye matangazo ya matokeo yaliyotolewa ikionyesha tofauti kati ya kura alizopata Lowasa kiuhalisia na zile zilizotangazwa na Tume. Nje ya hapo ni ngonjera na porojo. Bahati mbaya mpaka sasa Lowasa na Ukawa hawana ushahidi wa hata jimbo moja lenye tofauti ya namna hiyo. Juzi Lowasa amebainisha kuwa bado wanatafuta discrepancy kama hiyo na watakapoipata wataiweka wazi ili wananchi waione. Sasa ni lini huyu Lowasa ataupata na kuuweka ushahidi wa namna hii wazi kwetu? Alipoenda Tuma hakuwa nao. Hata wewe unafahamu hiyo ndio maana umeanza kuchangia kwa matusi. Siku zote mwenye hoja hana sehemu ya matusi katika kujenga hoja. Ukiishiwa hoja ni lazima utukane kuonyesha upumbavu wako.


Huyu mzee kum'make anyamaze kabisa, kwa nini alipopelekewa malalamiko na Lowassa alijifungia kwenye kabati ili asionane naye? Sasa leo anasemaje kwamba hakuna chama kilichopeleka malalamiko? Pumbav kabisa hili zee lenye kichwa cha mkomao utafikri limao la kiangazi! Yaani nilivyo na hasira na haka kazee nikikutana na ma Al-shaabab nayaomba mabomu ili nikajilipue nyumbani kwake!!! Na Mungu wa siku hizi sijui kwa nini amepunguza hasira namna hiyo, hawa wazee ndo walipaswa wachukuliwe mapema kabisa, tena wakati wakijumlisha kura za wizi wanakufa hapo hapo!!
 
12219560_1366520290029052_7795282205942806297_n.jpg

Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC imevitaka vyama vya siasa vilivyoshindwa katika uchaguzi mkuu uliofanyika mwezi Oktoba mwaka huu kukubali kushindwa katika uchaguzi huo.

Imesema walikua wakisoma matokeo katika fomu namba 24 A ambayo imesainiwa na mawakala wote na hakuna chama kilicholeta fomu au kumpa fomu wakala wake yenye ushahidi kwamba haya matokeo karekebisheni hapa au Pale mumekosea kusoma.



Waistufanye hata hesabu za kutoa na kujumlisha.
Walipopiga kura 15,589,639-15,193,862= Kura zilizokataliwa= 395,777 hii inamaana kwamba wamechakachua kura halali 6,471. hamuwezi kutuibia kijinga kama hv hata ukumpa mtoto wa darasa la kwanza anaweza kufanya hii hesabu.

Hakika sioni uadilifu tena wa sereikali hii ya Magufuli wote wamechukua madara kwa kuiba wote wezi.

Haya njoo kwenye asilimia Kura halali asilimia 97.46% + 2.58% Kura zilizokataliwa = 100.04% ?????????
 
Wamsha kula chao cha kuwatosha,mbona hawajibu kura za bumbuli kutofautina,rais anakura nyingi kuliko kura zote zilixopigwa. Ipo siku tu.
 
Wewe ni Kifaurongo, maanake kikwetu ni mtu anayekufa huku akiwa muongo muongo! Lowassa alisikilizwa na nani wakati viongozi wa tume walijificha?

We aliyekwambia Lowassa alienda tume ni nani. Na hata kwa maelezo yake katika press conference yake, ni Duni ndiye aliyetumwa kwenye ukumbi wa kutangazia matokeo ambapo aliambiwa pale sio ofisi apeleke barua ya malalamiko yake Ofisi za tume. Mpaka leo Lowassa mwenyewe anasema ushahidi wake anauweka mpaka siku muafaka utakapofika. tusiwe na akili za kushikiwa.
 
Kwa mujibu wa tume, 402,248 +15,193,862 = 15,589,639.

Tena wanyamaze wasubiri matokeo. Alipowapelekea petition Lowasa kwa nini hawakusikiliza? Walikuwa wanakimbizwa na nini?

Pumbavu kwelikweli.
Asante. Nilitaka kuongelea hiyo hesabu. Nilitegemea leo hii wangekuwa wameshabadilisha takwimu, lakini nahisi hawazioni.
By the way, leo hii NEC wanaongelea masuala yaliyopita ili iweje? Walioshindwa kuyakubali au kuyakataa matokeo inabadilisha nini? NEC should rest in peace, kazi waliyotumwa wameshamaliza.
 
We aliyekwambia Lowassa alienda tume ni nani. Na hata kwa maelezo yake katika press conference yake, ni Duni ndiye aliyetumwa kwenye ukumbi wa kutangazia matokeo ambapo aliambiwa pale sio ofisi apeleke barua ya malalamiko yake Ofisi za tume. Mpaka leo Lowassa mwenyewe anasema ushahidi wake anauweka mpaka siku muafaka utakapofika. tusiwe na akili za kushikiwa.

Tuliambiwa kuanzia tarehe 26 october "NEC itahamishia ofisi zake kwa muda Ukumbi wa Mwalimu Nyerere." Huko ofisi za tume angemkuta nani?

Na kuhusuu aliyepeleka petition, whether ni Lowassa au Duni, does it matter? Hayo malalamiko aliyopeleka Duni waliyasikiliza?

Hayo maneno ya NEC ni maneno tu, hata wao wenyewe hawayaamini..wanayasema tu kwa kuwa wameambiwa wayaseme.
 
Likiwaka nitakuwa askari wa waasi na nitatumia utaalamu wangu nioupata ndani ya JWTZ ili kuifurusha ccm madarakani. Mimi nimechoka sana na hizi porojo bora tupigane ili heshima irudi na tujari matokeo halali.
 
Waistufanye hata hesabu za kutoa na kujumlisha.
Walipopiga kura 15,589,639-15,193,862= Kura zilizokataliwa= 395,777 hii inamaana kwamba wamechakachua kura halali 6,471. hamuwezi kutuibia kijinga kama hv hata ukumpa mtoto wa darasa la kwanza anaweza kufanya hii hesabu.

Hakika sioni uadilifu tena wa sereikali hii ya Magufuli wote wamechukua madara kwa kuiba wote wezi.

Haya njoo kwenye asilimia Kura halali asilimia 97.46% + 2.58% Kura zilizokataliwa = 100.04% ?????????

Aksante kwa kunisemea,Kailima ni vizuri ukatoa ufafanuzi kuhusu hili.Ndio maana Mbatia alitamka wazi kuwa zile scanned document zilikuwa na program special ambayo ilikuwa inabadili namba na ndio maana ukawa wakataka msitishe kwanza namna mnavyotangaza mkakataa.Kailima ku-edit scanned document ni rahisi sana kwa dunia ya leo.Ati unauliza mbona hawakuja na nyaraka zote,hivi tanzania mpaka kukusanya nyaraka zote itachukua siku ngapi!?. You can fool people some time but not all time.Kama hesabu ndogo ya kutoa mtambo wenu wa kujumlisha matokeo umekosea na nyie kwa akili zenu nyingi mkashindwa kugundua inakuwaje kwa nyaraka nyingine.Haki itatendeka mpaka sheria ya kwenda mahakamani itakpokubalika. I WILL NEVER VOTE AGAIN IF THIS RAW CHANGED!!!
 
Back
Top Bottom