NEC yatupa kando malalamiko ya UKAWA


we waache waneng'eneke tu, hawajui kitakachoendelea likitokea tatizo.
 
na watanzania tupo tayari kwa lolote.

Acha kuwasemea watz kwa mambo ya kuhari amani yetu kama umeshindwa hoja nenda Somalia au Uarabuni ukamalizie hasira zako huko tuachie TZ yetu!
 

Una uhakika ngani ukawa watashinda??? Subiri kura zipigwe kwanza yeyote anaweza kushinda. Kwa nini unaanza kujiandaa kukataa matokeo???
 
Endeleeni kusomba watu kwa malori na kufanya fiesta ili kujifariji eti nyomi.
 
Bulembo ni zaidi ya kitume cha uchaguzi
 
Kama upo Dar nenda brella utakuta imesajiliwa lini na kwa matumizi ya chama kipi cha siasa. Hata ukigoogle mbona unaikuta tu. Hii yaenu mmeisajili Chato au wapi?

Acha uongo M4C imesajiriwa kama nini brand au? Mambo usiyojua Kama usiku wa Giza!
 

Hiyo statement haina madhara kisheria wala kisiasa unless kama unaongea kilayman!!
 
Wapinzani nao wakisema tutaingia msituni CCM wasipoachia Ikulu? Lubuva atasema ni lugha ya kutumika na yeyote!

Kama wataenda porini kwa kibali bila kuua wanyama wetu kuna shida gani. Shida kama watauwa wanyama wetu au kujiandaa kuharibu amani yetu hapo ndo shida itakaanzia!!
 
Acha kuwasemea watz kwa mambo ya kuhari amani yetu kama umeshindwa hoja nenda Somalia au Uarabuni ukamalizie hasira zako huko tuachie TZ yetu!

na ndugu yenu anaposema haachii ikulu kwa namna yoyote aende kumalizia hasira wapi burundi au libya?
 
na ndugu yenu anaposema haachii ikulu kwa namna yoyote aende kumalizia hasira wapi burundi au libya?

Hakuna kosa kwenye statement ya Bulembo kama unaitafasiri positively ila Kama unaitafisiri kinyume chake ndo utaona inamatatizo ndo maana NEC hata mimi sioni tatizo kwenye statement hiyo!!
 
Hakuna kosa kwenye statement ya Bulembo kama unaitafasiri positively ila Kama unaitafisiri kinyume chake ndo utaona inamatatizo ndo maana NEC hata mimi sioni tatizo kwenye statement hiyo!!

sishangai, we si walewale tu.
 
Acha kuwasemea watz kwa mambo ya kuhari amani yetu kama umeshindwa hoja nenda Somalia au Uarabuni ukamalizie hasira zako huko tuachie TZ yetu!

Tz yenu kwa kudhulumu wengine halafu utegemee AMANI. YA WAPI???!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…