NEC yakiri hakuna fomu yoyote ya CHADEMA iliyorudishwa kuomba kuteuliwa kugombea Ubunge na Udiwani

Quinine

JF-Expert Member
Jul 26, 2010
21,271
47,271
Taarifa iliyotolewa na Tume ya Uchaguzi NEC inasema, Halmashauri zote ambazo wagombea wa CHADEMA walichukua fomu kuomba kuteuliwa kugombea nafasi ya ubunge na udiwani hawakurejesha fomu hizo kwa ajili ya uteuzi.

Hongera viongozi wa Chadema Kanda na Kata mbalimbali kwa kuheshimu maamuzi ya Kamati ndogo ya Kamati Kuu ya chama iliyoamua kujitoa kwenye chaguzi zote zitakazo andaliwa na Tume ya uchaguzi ya CCM.

Hii inaonyesha kuwa kwa sasa ndani ya chama mamluki wanazidi kupungua na mshikamano unaongezeka zaidi.
 
Taarifa iliyotolewa na Tume ya Uchaguzi NEC inasema, Halmashauri zote ambazo wagombea wa CHADEMA walichukua fomu kuomba kuteuliwa kugombea nafasi ya ubunge na udiwani hawakurejesha fomu hizo kwa ajili ya uteuzi.

Hongera viongozi wa Chadema Kanda na Kata mbalimbali kwa kuheshimu maamuzi ya Kamati ndogo ya Kamati Kuu ya chama iliyoamua kujitoa kwenye chaguzi zote zitakazo andaliwa na Tume ya uchaguzi ya CCM.

Hii inaonyesha kuwa kwa sasa ndani ya chama mamluki wanazidi kupungua na mshikamano unaongezeka zaidi.
Safi sana. Susieni na uchaguzi wa 2020.
 
Tume itangaze hakuna uchaguzi kwani hakuna mpinzani. Hii mipesa yoote ya kuchagua hewa ipelekwe Ukara kujenga ule ukuta na kuupaka rangi ili majina yaandikwe pale kwa ukuta. B/up saana NEC kwa kutangaza mapema ili tusisumbue akili kuwa tupate wapi pesa za rambirambi.
 
Taarifa iliyotolewa na Tume ya Uchaguzi NEC inasema, Halmashauri zote ambazo wagombea wa CHADEMA walichukua fomu kuomba kuteuliwa kugombea nafasi ya ubunge na udiwani hawakurejesha fomu hizo kwa ajili ya uteuzi.

Hongera viongozi wa Chadema Kanda na Kata mbalimbali kwa kuheshimu maamuzi ya Kamati ndogo ya Kamati Kuu ya chama iliyoamua kujitoa kwenye chaguzi zote zitakazo andaliwa na Tume ya uchaguzi ya CCM.

Hii inaonyesha kuwa kwa sasa ndani ya chama mamluki wanazidi kupungua na mshikamano unaongezeka zaidi.

Wacha washiriki wenyewe hiyo punyeto yao ya kisiasa.
 
Taarifa iliyotolewa na Tume ya Uchaguzi NEC inasema, Halmashauri zote ambazo wagombea wa CHADEMA walichukua fomu kuomba kuteuliwa kugombea nafasi ya ubunge na udiwani hawakurejesha fomu hizo kwa ajili ya uteuzi.

Hongera viongozi wa Chadema Kanda na Kata mbalimbali kwa kuheshimu maamuzi ya Kamati ndogo ya Kamati Kuu ya chama iliyoamua kujitoa kwenye chaguzi zote zitakazo andaliwa na Tume ya uchaguzi ya CCM.

Hii inaonyesha kuwa kwa sasa ndani ya chama mamluki wanazidi kupungua na mshikamano unaongezeka zaidi.

Mkiitwa nyumbu mnakasirika. CHADEMA watashiriki uchaguzi kwa hela ipi wakati the likes of Mkono wamegoma kutoa hela? Hivi mtazinduka lini kwenye huo uzingizi wa pono?
 
Tume itangaze hakuna uchaguzi kwani hakuna mpinzani. Hii mipesa yoote ya kuchagua hewa ipelekwe Ukara kujenga ule ukuta na kuupaka rangi ili majina yaandikwe pale kwa ukuta. B/up saana NEC kwa kutangaza mapema ili tusisumbue akili kuwa tupate wapi pesa za rambirambi.

Tena ili kuwafanya ccm waridhike kabisa na hiyo hatua ccm waweke na bendera yao hapo kwenye hayo makaburi.
 
Mkiitwa nyumbu mnakasirika. CHADEMA watashiriki uchaguzi kwa hela ipi wakati the likes of Mkono wamegoma kutoa hela? Hivi mtazinduka lini kwenye huo uzingizi wa pono?

Heko ziwaendee hao akina Mkono kwa kugoma kutoa hela. Wakati unakunywa chai na Mkono mwambie washabiki wa cdm tunampongeza kwa kutokutoa hela za cdm kushiriki uchaguzi, na tunashukuru kwa hela zake za siku zilizopita kuwezesha cdm kushiriki chaguzi.
 
Taarifa iliyotolewa na Tume ya Uchaguzi NEC inasema, Halmashauri zote ambazo wagombea wa CHADEMA walichukua fomu kuomba kuteuliwa kugombea nafasi ya ubunge na udiwani hawakurejesha fomu hizo kwa ajili ya uteuzi.

Hongera viongozi wa Chadema Kanda na Kata mbalimbali kwa kuheshimu maamuzi ya Kamati ndogo ya Kamati Kuu ya chama iliyoamua kujitoa kwenye chaguzi zote zitakazo andaliwa na Tume ya uchaguzi ya CCM.

Hii inaonyesha kuwa kwa sasa ndani ya chama mamluki wanazidi kupungua na mshikamano unaongezeka zaidi.
Mungu ibariki Chadema
 
Taarifa iliyotolewa na Tume ya Uchaguzi NEC inasema, Halmashauri zote ambazo wagombea wa CHADEMA walichukua fomu kuomba kuteuliwa kugombea nafasi ya ubunge na udiwani hawakurejesha fomu hizo kwa ajili ya uteuzi.

Hongera viongozi wa Chadema Kanda na Kata mbalimbali kwa kuheshimu maamuzi ya Kamati ndogo ya Kamati Kuu ya chama iliyoamua kujitoa kwenye chaguzi zote zitakazo andaliwa na Tume ya uchaguzi ya CCM.

Hii inaonyesha kuwa kwa sasa ndani ya chama mamluki wanazidi kupungua na mshikamano unaongezeka zaidi.
Tuishukuru nec kwa kuwa wakweli hata yale matekeo yanayolalamikiwa hutolewa kwa ukweli kama huu!
 
Heko ziwaendee hao akina Mkono kwa kugoma kutoa hela. Wakati unakunywa chai na Mkono mwambie washabiki wa cdm tunampongeza kwa kutokutoa hela za cdm kushiriki uchaguzi, na tunashukuru kwa hela zake za siku zilizopita kuwezesha cdm kushiriki chaguzi.
Mngefanya uamuzi wa busara kwa kumuunga mkono zitto asimamishe wagombea kupitia act!
 
Back
Top Bottom