- Thread starter
- #61
Kwa nini Chadema iendelee kuwatesa wakurugenzi, nakumbuka last time mkurugenzi wa Korogwe alitokea dirisha dogo la chooni akikimbia kupokea fomu ya Chadema.Watathubutu kutia mguu!!!? Chezea CCM wenye, watapata taabu sana
Kwa nini Chadema iendelee kuwatesa wakurugenzi, nakumbuka last time mkurugenzi wa Korogwe alitokea dirisha dogo la chooni akikimbia kupokea fomu ya Chadema.Watathubutu kutia mguu!!!? Chezea CCM wenye, watapata taabu sana
HAHAHAHAAAAAAA HALOOO YAAA MALIIIIMKwani Tatizo hapo nini
Ukisusa wengine wanakula
Rejea ya maalim sef
Mwisho wasiku kaishia Kupiga mipicha ukumbini kama zuzu
Tangaza anepita bila kupingwa.Badala ya kufurahi na kusherehekea mtashinda kwa 100% nashangaa mnaweweseka. Mmezoea kutumia wengine km mihuri kupitisha na kujitangazia ushindi.Safi sana. Susieni na uchaguzi wa 2020.
Ukisusa wengine wala.Tangaza anepita bila kupingwa.Badala ya kufurahi na kusherehekea mtashinda kwa 100% nashangaa mnaweweseka. Mmezoea kutumia wengine km mihuri kupitisha na kujitangazia ushindi.
Unaweweseka! Jitangazieni kupita bila kupingwa au ushindi wa tsunami 100%.Ila mjitahidi kubalansi namba vizuri.Heko ziwaendee hao akina Mkono kwa kugoma kutoa hela. Wakati unakunywa chai na Mkono mwambie washabiki wa cdm tunampongeza kwa kutokutoa hela za cdm kushiriki uchaguzi, na tunashukuru kwa hela zake za siku zilizopita kuwezesha cdm kushiriki chaguzi.
Hakuna kitu kbaya kukimbia riadha peke ako ,,yaan huwa hainogi kabsaKwani Tatizo hapo nini
Ukisusa wengine wanakula
Rejea ya maalim sef
Mwisho wasiku kaishia Kupiga mipicha ukumbini kama zuzu
Ana ndoa huyo gubeli tu.Haya mambo huwezi kuelewa, were hudumia ndoa yako tuu
NEC hii??
Tizama hiyo video uconfirm
Lol mrembo una kauli karahaaaKwani Tatizo hapo nini
Ukisusa wengine wanakula
Rejea ya maalim sef
Mwisho wasiku kaishia Kupiga mipicha ukumbini kama zuzu
Acha we!Ana ndoa huyo gubeli tu.
Hatua hii ni njema kabisa, huu ni uhamuzi wa busara,ingawa hatua hii ilicheleweshwa na kamati kuu ya CDM, ninayo imani wenye mapenzi na chama ndiyo tutakaobaki hadi hatua ya mwisho.
Wakati huo bado walikuwa na imani na tume alipokuja afande jiwe imani imepotea kabisa.Nec hii hii mlioshindia wabunge 50 uchaguzi mkuu!
Nimesema, kule ambapo hakuna mpinzani basi watangazwe washindi tuokoe rasilimali muda na fweza zipelekwe Ukara kwenye majangaHuna taarifa kuwa kampeni zimeanza huko liwale?
Nec hii hii mlioshindia wabunge 50 uchaguzi mkuu!
@yehodaya[B][I][SIZE=7]peter msigwa @MsigwaPeter[/SIZE][/I][/B] Sep 2
Fikiria tu kama CHADEMA tusingekuwepo , uchumi ungekuwa katika hali gani ? Maonezi yangekuwa kwa kiwango gani ? Rushwa ingekuwa kwa kiwango gani ? Take a breath and think about this ?
ilibidi cdm ishinde mana mlikuwa hamna namnaNec hii hii mlioshindia wabunge 50 uchaguzi mkuu!
sehem kubwa ya uongozi kwa sasa inapachikwa cdm bila fisiem kujitambuaTunaposema kuwa cdm ni mpango wa mungu watu wengine hawaamini