Hongera NEC kwa kazi nzuri
Inawapongeza kwa kutoa ushuzi hadharani?Hongera NEC kwa kazi nzuri
Kila atendaye ubaya atalipwaHongera NEC kwa kazi nzuri
Sio kwamba hawana pesa mkuu!!Kazi ya kubinya haki na kuipendelea CCM? Hata waliorejeshwa hawapewi barua za kuwaruhusu kufanya kampeni. Haki iko wapi? Karibu mwezi umepita tangu kampeni zianze, wao hawajaanza kampeni. Mnajifanya kuwa dhuluma hii hamuioni!
Hata RPC Nshana mlikuwa mnampongeza hivyo, Ila sahizi...Hongera NEC kwa kazi nzuri
Watanzania, tuungane kumkataa IBILISI CCM kwa nguvu zetu zote. Changamoto zote zinazoikumba nchi yetu kwa sasa, chanzo ni hawa WAHUNI, WATEKA NYARA, Kubambia watu kesi zisizo na dhamana, kutawala kwa MABAVU kwa kuitupilia mbali KATIBA YA WANANCHI, na upuuzi mwingine mwingi tu.
Tambara la kudeki vyoo vya CcmHawa NEC ni wapuuzi tu. NEC ni dekio la ccm.
Ambacho sielewi kivipi mtu amegombea ubunge toka 2010 siku zote hizo fomu zipo sawa alafu 2020 ndio anakosea kujaza?