baada ya kusikia taarifa nyingi juu ya nec kutaka kuchakachua matokeo ya mwaka huu,kwa roho ya kizalendo na yenye kupenda mabadiliko nimeamua kuzunguka mikoa yote ya tz yenye historia ya kuipa ccm kura nyingi,nimeanzia kanda ya kati,mikoa ya dodoma na singida,jamani tuamke na tusaidiane kwenye uhuru wa kweli mwaka huu,nilipofika manyoni kabla ya kwenda singida mjini nilikutana na afisa uchaguzi mmoja ,kwenye mazungumzo naye akasema,idadi ya wapiga kura alioletewa na nec ni tofauti na aliyekuwa naye ikiwa ina maana nec wameongeza,sasa wamewaongeza toka wapi na kwa manufaa ya nani?hapa singida maafisa wote wa uchaguzi ni wagumu kukupa idadi ya wapiga kura watarajiwa,na nyepesi zilizopo ni kwamba singida ni moja ya mikoa ambayo atatumiwa na ccm kufanya uhuni,plz wazalendo tuzunguke nchi nzima kufuatilia hili,pamoja tutashinda