Bungabongo
Member
- Aug 16, 2014
- 26
- 10
Muda mfupi uliopita ITV wamerusha kipindi kinachoonekana kama kampeni zimeshaanza. Mbunge anaemaliza muda wake Deo Firikunjombe, ameanza kampeni kwa kuwahoji watu hasa wanaomunga mkono tu bila kuhoji upande wa pili. Tune watoe kauli kama hiyo ni sahihi.