NEC itupe Maelezo kuhusu km 10 za barabar anazogawa Magufuli

Lukolo

JF-Expert Member
Dec 2, 2009
5,143
3,196
Ndugu Magufuli akiwa Tabora aliahidi km 10 za barabara kwa madai kwamba anayo tayari bajeti ya kutengenezea Barabara hizo, Leo akiwa Kigoma pia ameahidi km 10 za barabara na kwamba bajeti yake ipo tayari na kutaja kuwa no kiasi cha sh 800 bilioni. Tunataka Maelezo kutoka NEC, kwamba Magufuli anaahidi kama waziri Wa miundombinu au kama mgombea urais? Fairness IPO wapi ktk hili? Kama NEC haitatoa Maelezo, tusilaumiane
 
Ndugu Magufuli akiwa Tabora aliahidi km 10 za barabara kwa madai kwamba anayo tayari bajeti ya kutengenezea Barabara hizo, Leo akiwa Kigoma pia ameahidi km 10 za barabara na kwamba bajeti yake ipo tayari na kutaja kuwa no kiasi cha sh 800 bilioni. Tunataka Maelezo kutoka NEC, kwamba Magufuli anaahidi kama waziri Wa miundombinu au kama mgombea urais? Fairness IPO wapi ktk hili? Kama NEC haitatoa Maelezo, tusilaumiane

Msamehe tu Biggie, hana kingine cha kuongea isipokuwa digits zake za barabara...kuna sehemu nasikia ameahidi daraja japo hapakuwahi kutokea mto!
 
Ni kwamba pesa za walipa kodi sasa zinaenda ktk kampaini ya ccm. Amevunja sheria.
 
Magufuli kwa vile umaarufu wake kaupatia kwenye barabara ........................ basi yeye hajui kitu kingine zaid ya barabara. Mahesabu yake yanamuonyesha kuwa barabara tu ndizo zitakazompeleka Ikulu!!!
 
Katka hili, tusipolipigia kelele hii NEC iliyowekwa in favour of CCM itatuumiza sana. Hili halivumiliki.
 
Hizi sheria za bongo dhaifu sana hasa za uchaguzi na rushwa. Na hii ni kwasababu zilitungwa na kupitishwa na watu dhaifu ili ziwalinde badala ya kuwaadhibu. Na NEC utawaona kama watafungua vinywa vyao japo kukemea tu kwani nao wanahofia vibarua vyao kwa maana akikaa EL ataunda tume huru ya uchaguzi na katiba mpya. Tuikatae ccm na mifumo yake kandamizi.
 
Kwani bado hamjafanya maamuzi? Hata kama ahadi ni deni, deni la ahadi anazozitowa sasa hivi halitakaa alilipe maana maamuzi tumeshafanya, tunachosubiria ni siku ya kutekeleza maamuzi yetu. Tumejipanga kufanya MABADILIKO.
 
kweli ile ni rushwa in another sura ,jingine nimemshitukia ,aonavyo Magufuli akiwambia watu atawajengea barabara basi anaona keshasema jambo kubwa sana ,kumbe ahadi hizo walishazitoa wenzake ,na zaidi pale aliposema nitajenga barabara za ndani za kigoma kwa maana ndani ya mitaa ,baadae nikasikia anasema atajenga kilomita 10;

Na zaidi baada ya muda kwisha wanaendeleza kuwapumbaza watu kwa muziki ,hivi inaruhusiwa ? Tume mpo !
 
This is ok. Kama waziri wa zamani wa miundombinu anasema for sure ziko hizo hela za barabara ni sawa. Hizo hela ni mali ya serikali (wananchi) and by extension mali ya wapiga kura. Ina maana kwamba opposition nao wana ruksa ya kutumia hizo namba zake kama basis ya ahadi zao kwa wananchi na wam quote kwamba waziri anasema kuwa zipo hizi hela ila sisi tutuzitumia vipi kuwasaidia wananchi wa maeneo hayo. Tukisema ni kungojea NEC iwe fair tutaambulia kapa. The Opposition has to continue being creative. Kazi ya kuiondoa system ambayo imeshatawala kwa miaka 50 si ndogo.
 
Lowassa ameahidi Madini Makubwa Makubwa....

Una maanisha nini? Jadili hoja usilete mizaha isiyo na maana. This is serious! Magufuli anatoa rushwa ya km 10 za barabara kwa pesa ya serikali. Tunasema NEC ni lazima itoe Maelezo juu ya hili. We are more than serious. Sifanyi utani hapa.
 
Hizi sheria za bongo dhaifu sana hasa za uchaguzi na rushwa. Na hii ni kwasababu zilitungwa na kupitishwa na watu dhaifu ili ziwalinde badala ya kuwaadhibu. Na NEC utawaona kama watafungua vinywa vyao japo kukemea tu kwani nao wanahofia vibarua vyao kwa maana akikaa EL ataunda tume huru ya uchaguzi na katiba mpya. Tuikatae ccm na mifumo yake kandamizi.
Ingawa nina hakika wangefanya washindani kitu kinachofanana na hicho Tume siku hiyo hiyo ingetoa tamko na makaripio yasiyo idadi mbele ya vyombo vya habari! Bahati mbaya inaonekana pia Magufuli hashauriki kwa hakika mtu yeyote anaweza kujua kuwa kauli na maagizo anayoyatoa sasa ni rushwa na yanavunja sheria ya uchaguzi. Amakuwa akifanya haya kote anakopita kuanzia nyanda za juu kusini na sasa kati na magharibi. Tume iko kimya. Lakini tunashangaa nini kwani hata kwenye uchaguzi mdogo huko Igunga alifanya makosa haya haya na yakasababisha aibu kwa CCM, kuficha hilo akagoma kufika mahakamani alipoitwa - ambalo pia ni kosa kubwa kwa mtu anayatarajia kuongoza nchi na kusimamia uhuru wa mahakama na utawala wa sheria!
 
Ingawa nina hakika wangefanya washindani kitu kinachofanana na hicho Tume siku hiyo hiyo ingetoa tamko na makaripio yasiyo idadi mbele ya vyombo vya habari! Bahati mbaya inaonekana pia Magufuli hashauriki kwa hakika mtu yeyote anaweza kujua kuwa kauli na maagizo anayoyatoa sasa ni rushwa na yanavunja sheria ya uchaguzi. Amakuwa akifanya haya kote anakopita kuanzia nyanda za juu kusini na sasa kati na magharibi. Tume iko kimya. Lakini tunashangaa nini kwani hata kwenye uchaguzi mdogo huko Igunga alifanya makosa haya haya na yakasababisha aibu kwa CCM, kuficha hilo akagoma kufika mahakamani alipoitwa - ambalo pia ni kosa kubwa kwa mtu anayatarajia kuongoza nchi na kusimamia uhuru wa mahakama na utawala wa sheria!

Ndiyo maana Mimi Nina hamu ya kusikia kauli ya NEC. Otherwise utaratibu wa kumuwekea pingamizi uanze. Inaonekana tunashindana kwenye mazingira yasiyo fair.
 
This is ok. Kama waziri wa zamani wa miundombinu anasema for sure ziko hizo hela za barabara ni sawa. Hizo hela ni mali ya serikali (wananchi) and by extension mali ya wapiga kura. Ina maana kwamba opposition nao wana ruksa ya kutumia hizo namba zake kama basis ya ahadi zao kwa wananchi na wam quote kwamba waziri anasema kuwa zipo hizi hela ila sisi tutuzitumia vipi kuwasaidia wananchi wa maeneo hayo. Tukisema ni kungojea NEC iwe fair tutaambulia kapa. The Opposition has to continue being creative. Kazi ya kuiondoa system ambayo imeshatawala kwa miaka 50 si ndogo.


magufuli anaahidi kama mgombea wa urais kwa mgongo wa uwazir wa ujenzi.

Hili ni kosa kubwa sababu ni rushwa.
 
Back
Top Bottom