#Nduki

if not now

Senior Member
Mar 4, 2017
186
171
IMG-20160724-WA0004.jpg
 
Pole zangu kwake,maskini mtoto wa wenyewe atakuwa aling'atwa puani na nyuki zaidi ya kumi asee!Alinusa mzinga akitaka jua harufu ya asali freshi eti,ugua pole sistah!
 
Usitoke nduki bana.,hebu baerezee baraza hapo alipo hapo,hivyo alivyo hivyo hapo ni ameng'atwa na nyuki ama anepokea kichapo???
By the way username yako yanikumbusha artist nimpendae Tracy Chapman na hilo songi lake la 'if not now',ushawahi isikiliza?
Ooooooooooooh!!!it is a weekend...... ............ ... . ....
90a98a7be1ed6e22762a241956336388.jpg
 
Mkuu naweza sema ndo sababu ya kuitumia ... Naufeel ile mbaya
Usitoke nduki bana.,hebu baerezee baraza hapo alipo hapo,hivyo alivyo hivyo hapo ni ameng'atwa na nyuki ama anepokea kichapo???
By the way username yako yanikumbusha artist nimpendae Tracy Chapman na hilo songi lake la 'if not now',ushawahi isikiliza?
Ooooooooooooh!!!it is a weekend...... ............ ... . ....
View attachment 489916
 
Oooooh!!!dats goood,kwa kweli ni mziki poa toka kwa mtu makini sana.,namzimia sana huyo baby girl kwa mpangilio wa mistari yake."I REALLY FEEL HER MUSIC".
images-91.png

Mkuu naweza sema ndo sababu ya kuitumia ... Naufeel ile mbaya
 
Back
Top Bottom