Ndugu zangu wanafia uchagani na uhayani

Ndugu zangu wanafia uchagani na uhayani

Simplicity.

JF-Expert Member
Joined
Dec 19, 2013
Posts
2,636
Reaction score
1,664
What is this! Hivi wanawake wapo Kilimanjaro tu na Uhayani? Nina kadi za kuchangia harusi hapa, kadi zipo tisa.

Tuachane na habari ya michango - kwa sababu kuchanga au kutokuchangia ni uamuzi wangu. Hivi inakuwaje kati ya hao watu tisa, saba ni ndugu zangu kwa kabila, watano wanaoa wachaga, wawili wanaoa wahaya! Na waliobaki ambao ni marafiki tu wanaoa wachaga.

Miezi iliyopita nimechangia harusi nne, watatu wameoa wachaga, mmoja mhaya. Nilivumilia nikachanga kwa kudhani labda ilikuwa ni msimu wa wahaya na wachaga lakini upepo utabadilika na hali itakuwa ya kawaida mbeleni.

Mbaya zaidi hawa jamaa ni wasomi, wana nafasi nzuri kimaisha, kwa nini wasingeoa hata nyumbani wakati dada zetu ni warembo, (hawajiamini, wanaogopa kuwaapproach?) ili walete japo chachu ya maendeleo makwao au kwenye kabila letu? Ona sasa nguvu yote waliyowekeza wazazi wao inaenda kutumika kula bata uchagani na uhayani.

Mijitu mingi ya kabila langu ishakuwa inaoa wachaga na wahaya tu, nyumbani haiendi, kila mara ni uhayani na kilimanjaro, ukizingatia nauli ni ndefu tena ya ndege wakati home kwao ni pale tu hata kwa bodaboda wanaenda.

Huu ni wizi ambao siwezi kuuvumilia. Hivi kuna uchawi kwenye mapenzi? Hivi hii inatokeaje wakati tukiwa wadogo, tumekuwa tukionywa vikali na wazazi wetu usioe wala kuolewa na mchaga au mhaya, utatafuta kifo au mateso ya hali ya juu sana kutokana na ushahidi wa mambo yao kadhaa yaliyowahi kushuhudiwa? Hii mijitu haijifunzi, juzi kafa jamaa alikuwa ameoa mchaga, mke wake hata kuzika tu hakwenda, jamaa alikuwa engineer, tena jeshini.

Mwaka jana kafa jamaa alikuwa mhasibu, wakati watu tunafanya mishemishe za kumsafirisha marehemu kwenda kumzika, mke yeye anahangaika na makaratasi kwa ajili ya umiliki wa nyumba na mali zingine, wakati hapakuwa na mtu hata mmoja aliyekuwa ananalilia hizo mali. Au hizi harusi zinazohusisha wahachayaga na watu wa kabila langu ni projects?

Hawa jamaa Mamazao, hawanioni tena kwenye kamati wala harusi zao zinazoenda nshomile na mbesa.

Crazy me.


Nakala Kwa: lara 1 miss chagga Honey Faith Kongosho nyumba kubwa BADILI TABIA miss neddy Asprin - Babu na wengine wote mlioguswa na hili janga, bila kumsahau Matola, masai dada na everlenk.

Naombeni mbinu ya kuwaokoa hawa jamaa.
 
Aiseee mkuu LifeHacker mapenzi,matamanio pamoja na ndoa ni complicated sana uwezi kuweka in a single coment na watu wakakuelewa

.watu wanapenda sana inafikia wakati
.kabila,elimu au lolote lile uwekwa pembeni

.siku hizi si wachaga tu wanaume hufa bali makabila mengi tu PESA IMEBADILI DHANA NZIMA YA MAPENZI KWA MAKABILA YOTE NA UWENDA ULIMWENGU MZIMA.

ki ukweli kama unaona ni wahaya tu wanaolewa na wachaga basi sidhani kama wote walioolewa wameloga la hasha
ni kwamba wanastahili
kuhusu kuuana si wachaga tu ndugu siku hizi watu wengi wanaua waume zao kwa ajili ya pesa
pesa imebadili upendo

its complicated
 
Last edited by a moderator:
Me napita tu, nimeoa huko kwa mbesa sijui itakuaje ila nampenda ni hard working.
 
Aiseee mkuu LifeHacker mapenzi,matamanio pamoja na ndoa ni complicated sana uwezi kuweka in a single coment na watu wakakuelewa

.watu wanapenda sana inafikia wakati
.kabila,elimu au lolote lile uwekwa pembeni

.siku hizi si wachaga tu wanaume hufa bali makabila mengi tu PESA IMEBADILI DHANA NZIMA YA MAPENZI KWA MAKABILA YOTE NA UWENDA ULIMWENGU MZIMA.

ki ukweli kama unaona ni wahaya tu wanaolewa na wachaga basi sidhani kama wote walioolewa wameloga la hasha
ni kwamba wanastahili
kuhusu kuuana si wachaga tu ndugu siku hizi watu wengi wanaua waume zao kwa ajili ya pesa
pesa imebadili upendo

its complicated

Aisee nina list ya jamaa wengi waliokufa kama kuku wenye kideri chini ya mikono ya wamama hasa wa kichaga!
 
Aisee nina list ya jamaa wengi waliokufa kama kuku wenye kideri chini ya mikono ya wamama hasa wa kichaga!

hivi una amini wameuliwa au wa,ekufa kama binadamu wengine...i mean natural death
hivi unadhani wangeishi milele

kwani wanaume/watu wengine awafi
una uhakika wameuawa

katika jamaa wote hao atleast nipe ushahidi mmoja
plz
 
Me napita tu, nimeoa huko kwa mbesa sijui itakuaje ila nampenda ni hard working.

Mie nimeshakutana na wanawake wa kichaga kama 19 hivi, niliweka pembeni wengine kwa nguvu. Ohhhh, big no! Mambo nimejionea kwa macho yangu bila chenga. Ukifa na wewe unatoka Tarime atasema haendi kukuzika anaogopa kwenda huko ati atarithishwa! Labda uzikwe makaburi ya Kinondoni!
 
hivi una amini wameuliwa au wa,ekufa kama binadamu wengine...i mean natural death
hivi unadhani wangeishi milele

kwani wanaume/watu wengine awafi
una uhakika wameuawa

katika jamaa wote hao atleast nipe ushahidi mmoja
plz

Hivi kama mke kwenda tu kuona kaburi la mmeo liko wapi hataki, what would be your conclusion?
 
Mie nimeshakutana na wanawake wa kichaga kama 19 hivi, niliweka pembeni wengine kwa nguvu. Ohhhh, big no! Mambo nimejionea kwa macho yangu bila chenga. Ukifa na wewe unatoka Tarime atasema haendi kukuzika anaogopa kwenda huko ati atarithishwa! Labda uzikwe makaburi ya Kinondoni!

so hutaoa mchaga kwa sababu ATAKUUA
hahahaha aisee nimecheka kwa masikitiko
 
Mie nimeshakutana na wanawake wa kichaga kama 19 hivi, niliweka pembeni wengine kwa nguvu. Ohhhh, big no! Mambo nimejionea kwa macho yangu bila chenga. Ukifa na wewe unatoka Tarime atasema haendi kukuzika anaogopa kwenda huko ati atarithishwa! Labda uzikwe makaburi ya Kinondoni!

Kufa kupo palepale, na nikifa ndo imetoka, wakiamua kunipeleka home poa, au kinondoni ni poa tu, ila nikunong'oneze me mura bwana huyu mbesa hawezi, kwanza nyumba yake iko tarime na miradi yake kibao kawekeza huko.
 
ila mkuu
ZAIDI YA KUSIKIA KAMA HIVI ULIVYOHADITHIA

SIJAWAHI PROVE KWAMBA WACHAGA WANAUA WAUME ZAO
and mind you..nimeishi na wachaga miaka 20 iliyopita

Wachaga na wachaga sawa, lakini mie nina watu wamekufa vibaya na hadithi zimebaki vijijini kwao mpaka kesho. Ukioa mke wa kichaga ujihami tu usife, ukifa kama una wadogo zako, wazazi au ndugu wowote ambao ulikuwa unawasupport, hata kama uwe na mali kama Lowassa lakini ikawa chini ya mama huyo, huo utakuwa mwisho wao wa kusikia mali ya ndugu yao hata buku 10. Na wakikanyaga home kwake ndio wataitwa wezi kabisa! Thubutu.
 
Nimejifunza jambo kwako, very good comment, natamani ulivosema hivi uwe unaamini hivo, big up again sister


Aiseee mkuu LifeHacker mapenzi,matamanio pamoja na ndoa ni complicated sana uwezi kuweka in a single coment na watu wakakuelewa

.watu wanapenda sana inafikia wakati
.kabila,elimu au lolote lile uwekwa pembeni

.siku hizi si wachaga tu wanaume hufa bali makabila mengi tu PESA IMEBADILI DHANA NZIMA YA MAPENZI KWA MAKABILA YOTE NA UWENDA ULIMWENGU MZIMA.

ki ukweli kama unaona ni wahaya tu wanaolewa na wachaga basi sidhani kama wote walioolewa wameloga la hasha
ni kwamba wanastahili
kuhusu kuuana si wachaga tu ndugu siku hizi watu wengi wanaua waume zao kwa ajili ya pesa
pesa imebadili upendo

its complicated
 
Wachaga ni wazuri,wanajiheshimu wapiganaji..wahaya wana akili sana darasani na wanapenda kuhimiza kusoma.wanapenda maendeleo...wanaweza kuish maisha ya hali zote ..woga wako ndo umaskini wako.lakin unaweza oa nyumbani.japo kama ujuavyo huwez mshaur mtu kwenye.suala la mapnz...kaka angu anaoa december mchaga na hakuelew somo.anakuambia huyu dada mchaga/wifi angu kamsaidia sana hadi hapo tunamuona sisi kafanikiwa..so tumemuacha afanye yake.
 
Kufa kupo palepale, na nikifa ndo imetoka, wakiamua kunipeleka home poa, au kinondoni ni poa tu, ila nikunong'oneze me mura bwana huyu mbesa hawezi, kwanza nyumba yake iko tarime na miradi yake kibao kawekeza huko.

Labda kama mali zipo Tarime ataogopa mishale, sasa jamaa zangu unakuta wanaishi Dar kabisa, labda Tabata nyumba ya kupanga, ati wanajenga Kili na kuwekeza huko! Nyiooooooooo zao, no one can stop them from going to hell! Jipange mapema, kama kuna wanaokutegemea waite kabla hujafa uwape chao!
 
Wachaga na wachaga sawa, lakini mie nina watu wamekufa vibaya na hadithi zimebaki vijijini kwao mpaka kesho. Ukioa mke wa kichaga ujihami tu usife, ukifa kama una wadogo zako, wazazi au ndugu wowote ambao ulikuwa unawasupport, hata kama uwe na mali kama Lowassa lakini ikawa chini ya mama huyo, huo utakuwa mwisho wao wa kusikia mali ya ndugu yao hata buku 10. Na wakikanyaga home kwake ndio wataitwa wezi kabisa! Thubutu.

narudia tena kwa mara ya Mwisho
MUNGU ANAKUONA UNA UDHIBITISHO?????
 
What is this! Hivi wanawake wapo Kilimanjaro tu na Uhayani? Nina kadi za kuchangia harusi hapa, kadi zipo tisa! Tuachane na habari ya michango - kwa sababu kuchanga au kutokuchangia ni uamuzi wangu. Hivi inakuwaje kati ya hao watu tisa, saba ni ndugu zangu kwa kabila, watano wanaoa wachaga, wawili wanaoa wahaya! Na waliobaki ambao ni marafiki tu wanaoa wachaga! Miezi iliyopita nimechangia harusi nne, watatu wameoa wachaga, mmoja mhaya. Nilivumilia nikachanga kwa kudhani labda ilikuwa ni msimu wa wahaya na wachaga lakini upepo utabadilika na hali itakuwa ya kawaida mbeleni!

Mbaya zaidi hawa jamaa ni wasomi, wana nafasi nzuri kimaisha, kwa nini wasingeoa hata nyumbani wakati dada zetu ni warembo, (hawajiamini, wanaogopa kuwaapproach?) ili walete japo chachu ya maendeleo makwao au kwenye kabila letu? Ona sasa nguvu yote waliyowekeza wazazi wao inaenda kutumika kula bata uchagani na uhayani!

Mijitu mingi ya kabila langu ishakuwa inaoa wachaga na wahaya tu, nyumbani haiendi, kila mara ni uhayani na kilimanjaro, ukizingatia nauli ni ndefu tena ya ndege wakati home kwao ni pale tu hata kwa bodaboda wanaenda!

Huu ni wizi ambao siwezi kuuvumilia. Hivi kuna uchawi kwenye mapenzi? Hivi hii inatokeaje wakati tukiwa wadogo, tumekuwa tukionywa vikali na wazazi wetu usioe wala kuolewa na mchaga au mhaya, utatafuta kifo au mateso ya hali ya juu sana kutokana na ushahidi wa mambo yao kadhaa yaliyowahi kushuhudiwa? Hii mijitu haijifunzi, juzi kafa jamaa alikuwa ameoa mchaga, mke wake hata kuzika tu hakwenda, jamaa alikuwa engineer, tena jeshini. Mwaka jana kafa jamaa alikuwa mhasibu, wakati watu tunafanya mishemishe za kumsafirisha marehemu kwenda kumzika, mke yeye anahangaika na makaratasi kwa ajili ya umiliki wa nyumba na mali zingine, wakati hapakuwa na mtu hata mmoja aliyekuwa ananalilia hizo mali. Au hizi harusi zinazohusisha wahachayaga na watu wa kabila langu ni projects?

Hawa jamaa Mamazao, hawanioni tena kwenye kamati wala harusi zao zinazoenda nshomile na mbesa.

Crazy me!

Nakala Kwa: lara 1 miss chagga Honey Faith Kongosho nyumba kubwa BADILI TABIA miss neddy Asprin - Babu na wengine wote mlioguswa na hili janga, bila kumsahau Matola, masai dada na everlenk.

Naombeni mbinu ya kuwaokoa hawa jamaa.

pesa uchagani,utamu uhayani


samahani kwa ku quote
 
Wachaga ni wazuri,wanajiheshimu wapiganaji..wahaya wana akili sana darasani na wanapenda kuhimiza kusoma.wanapenda maendeleo...wanaweza kuish maisha ya hali zote ..woga wako ndo umaskini wako.lakin unaweza oa nyumbani.japo kama ujuavyo huwez mshaur mtu kwenye.suala la mapnz...kaka angu anaoa december mchaga na hakuelew somo.anakuambia huyu dada mchaga/wifi angu kamsaidia sana hadi hapo tunamuona sisi kafanikiwa..so tumemuacha afanye yake.

Wachaga na wahaya sio kwamba wana akili darasani, lakini kwa sababu elimu ilianzia kwao kwa sababu za ukoloni kwa hiyo wamepata kujua na kuthamini elimu mapema. Hawana akili za zozote zaidi ya kuforce madarasa hata kama hana uwezo, watarudia kusoma shule ya msingi. sekondari, vyuo mpaka siku watakapovuka darasa, the last thing watafanya ni kuiba vyeti. Nakuambia watafanya chochote ili mradi waonekane wasomi hata kama uwezo ni kama wa kuku. Tofauti kabisa na sisi ambao hatuna hiyo hali ya kulazimisha, we are just intelligent naturally!
 
Back
Top Bottom