Simplicity.
JF-Expert Member
- Dec 19, 2013
- 2,636
- 1,664
What is this! Hivi wanawake wapo Kilimanjaro tu na Uhayani? Nina kadi za kuchangia harusi hapa, kadi zipo tisa.
Tuachane na habari ya michango - kwa sababu kuchanga au kutokuchangia ni uamuzi wangu. Hivi inakuwaje kati ya hao watu tisa, saba ni ndugu zangu kwa kabila, watano wanaoa wachaga, wawili wanaoa wahaya! Na waliobaki ambao ni marafiki tu wanaoa wachaga.
Miezi iliyopita nimechangia harusi nne, watatu wameoa wachaga, mmoja mhaya. Nilivumilia nikachanga kwa kudhani labda ilikuwa ni msimu wa wahaya na wachaga lakini upepo utabadilika na hali itakuwa ya kawaida mbeleni.
Mbaya zaidi hawa jamaa ni wasomi, wana nafasi nzuri kimaisha, kwa nini wasingeoa hata nyumbani wakati dada zetu ni warembo, (hawajiamini, wanaogopa kuwaapproach?) ili walete japo chachu ya maendeleo makwao au kwenye kabila letu? Ona sasa nguvu yote waliyowekeza wazazi wao inaenda kutumika kula bata uchagani na uhayani.
Mijitu mingi ya kabila langu ishakuwa inaoa wachaga na wahaya tu, nyumbani haiendi, kila mara ni uhayani na kilimanjaro, ukizingatia nauli ni ndefu tena ya ndege wakati home kwao ni pale tu hata kwa bodaboda wanaenda.
Huu ni wizi ambao siwezi kuuvumilia. Hivi kuna uchawi kwenye mapenzi? Hivi hii inatokeaje wakati tukiwa wadogo, tumekuwa tukionywa vikali na wazazi wetu usioe wala kuolewa na mchaga au mhaya, utatafuta kifo au mateso ya hali ya juu sana kutokana na ushahidi wa mambo yao kadhaa yaliyowahi kushuhudiwa? Hii mijitu haijifunzi, juzi kafa jamaa alikuwa ameoa mchaga, mke wake hata kuzika tu hakwenda, jamaa alikuwa engineer, tena jeshini.
Mwaka jana kafa jamaa alikuwa mhasibu, wakati watu tunafanya mishemishe za kumsafirisha marehemu kwenda kumzika, mke yeye anahangaika na makaratasi kwa ajili ya umiliki wa nyumba na mali zingine, wakati hapakuwa na mtu hata mmoja aliyekuwa ananalilia hizo mali. Au hizi harusi zinazohusisha wahachayaga na watu wa kabila langu ni projects?
Hawa jamaa Mamazao, hawanioni tena kwenye kamati wala harusi zao zinazoenda nshomile na mbesa.
Crazy me.
Nakala Kwa: lara 1 miss chagga Honey Faith Kongosho nyumba kubwa BADILI TABIA miss neddy Asprin - Babu na wengine wote mlioguswa na hili janga, bila kumsahau Matola, masai dada na everlenk.
Naombeni mbinu ya kuwaokoa hawa jamaa.
Tuachane na habari ya michango - kwa sababu kuchanga au kutokuchangia ni uamuzi wangu. Hivi inakuwaje kati ya hao watu tisa, saba ni ndugu zangu kwa kabila, watano wanaoa wachaga, wawili wanaoa wahaya! Na waliobaki ambao ni marafiki tu wanaoa wachaga.
Miezi iliyopita nimechangia harusi nne, watatu wameoa wachaga, mmoja mhaya. Nilivumilia nikachanga kwa kudhani labda ilikuwa ni msimu wa wahaya na wachaga lakini upepo utabadilika na hali itakuwa ya kawaida mbeleni.
Mbaya zaidi hawa jamaa ni wasomi, wana nafasi nzuri kimaisha, kwa nini wasingeoa hata nyumbani wakati dada zetu ni warembo, (hawajiamini, wanaogopa kuwaapproach?) ili walete japo chachu ya maendeleo makwao au kwenye kabila letu? Ona sasa nguvu yote waliyowekeza wazazi wao inaenda kutumika kula bata uchagani na uhayani.
Mijitu mingi ya kabila langu ishakuwa inaoa wachaga na wahaya tu, nyumbani haiendi, kila mara ni uhayani na kilimanjaro, ukizingatia nauli ni ndefu tena ya ndege wakati home kwao ni pale tu hata kwa bodaboda wanaenda.
Huu ni wizi ambao siwezi kuuvumilia. Hivi kuna uchawi kwenye mapenzi? Hivi hii inatokeaje wakati tukiwa wadogo, tumekuwa tukionywa vikali na wazazi wetu usioe wala kuolewa na mchaga au mhaya, utatafuta kifo au mateso ya hali ya juu sana kutokana na ushahidi wa mambo yao kadhaa yaliyowahi kushuhudiwa? Hii mijitu haijifunzi, juzi kafa jamaa alikuwa ameoa mchaga, mke wake hata kuzika tu hakwenda, jamaa alikuwa engineer, tena jeshini.
Mwaka jana kafa jamaa alikuwa mhasibu, wakati watu tunafanya mishemishe za kumsafirisha marehemu kwenda kumzika, mke yeye anahangaika na makaratasi kwa ajili ya umiliki wa nyumba na mali zingine, wakati hapakuwa na mtu hata mmoja aliyekuwa ananalilia hizo mali. Au hizi harusi zinazohusisha wahachayaga na watu wa kabila langu ni projects?
Hawa jamaa Mamazao, hawanioni tena kwenye kamati wala harusi zao zinazoenda nshomile na mbesa.
Crazy me.
Nakala Kwa: lara 1 miss chagga Honey Faith Kongosho nyumba kubwa BADILI TABIA miss neddy Asprin - Babu na wengine wote mlioguswa na hili janga, bila kumsahau Matola, masai dada na everlenk.
Naombeni mbinu ya kuwaokoa hawa jamaa.