Ndugu zangu Wabunge tupiganie kuhusu malipo ya mafao yetu NSSF na PSSF

B'REAL

JF-Expert Member
Oct 20, 2010
4,279
2,733
Ndugu zangu waheshimiwa Wabunge, tafadhali tuangalizie kuhusu malipo ya mafao yetu NSSF na PSSF walah miezi sana vimilioni vitano wanashindwa kutulipa jamani, halafu mnasema hatupendi kufanya kazi kweli jamani.

Imagine kijana wa miaka 35 ajira iliisha au mkataba wake umeisha na hali ya uchumi kampuni zinapunguza wafanyakazi na ajira hakuna, tunategemea hivyo vihela tujikite kwenye ujasiriamali navyo hamtupi,kazi kutusimanga hatufanyi kazi.
 
Una uhakika wa 100% kuwa kwa sasa una Kitu Kiitwacho Bunge na una Watu wanaopaswa kweli Kutambulika ( Kuitwa ) kuwa ni Wabunge Ndugu?
Mkuu hakuna jinsi ndo bunge hata Kama lamagumashi lishapita maisha yaendelee,Ila wa ache kutusimanga mbona wao mafao yao yanatoka kwa wakati why why why!!!!
 
Ndugu zangu waheshimiwa wabunge,tafadhali tuangalizie kuhusu malipo ya mafao yetu nssf na pssf walaaah miezi sanaa vimilioni vitano wanashindwa kutulipa jamani,afuu mnasema hatupendi kufanya kazi kweli jamani!imagine kijana wa miaka 35 ajira iliisha au mkataba wake umeisha na Hali ya uchumi kampuni Zina punguza wafanya kazi na ajira hakunaa,tunategemea hivyo vihela tujikite kwenye ujasiria Mali navyo hamtupi,kazi kutusimanga hatufanyi kazi
Mkuu uliwapa kura? Wengi wao hawako huko bungeni kwa kura za wananchi, unawaomba wakutetee vipi wakati aliyeagiza watangazwe washindi ndio katumia hizo hela zenu za ndani kununulia ndege?
 
Haya mambo yalishaongelewa sana, kuna kampuni nyingi zilipunguza wafanyakazi kutokana na kusinyaa kwa mzunguko wa biashara awamu hii ambayo pia ilichangiwa na korona. Mtu labda kafanya kazi miaka kumi na kwa sasa ana miaka 35, hivi kuna mantiki kumwambia aache pesa yake hadi afike miaka 60 badala ya kumpa hiyo pesa endapo atahitaji imsaidie kama mtaji kujiajiri...
 
Ndugu zangu waheshimiwa wabunge, tafadhali tuangalizie kuhusu malipo ya mafao yetu NSSF na PSSF walah miezi sana vimilioni vitano wanashindwa kutulipa jamani, halafu mnasema hatupendi kufanya kazi kweli jamani...
Hawa jamaa Mungu anawaona. Wabunge nao wangekuwa wanazungushwa kama wanavyozungushwa wengine had wanakufa Hawajapata hela yao wangepiga kelele tu. Milion mbili tu utazungushwa miaka mitano uchaguzi unaanza hadi unaisha we bado unadai tu😁😂
 
Professional kaachishwa kazi anafuata vihela vyake nssf milioni 10 anaambiwa asubiri mpaka afikishe miaka 55. Asiye professional kaachishwa kazi anafuata milioni zake 40 nssf anapewa zote.

Siyo kwamba asie professional asipewe mafao yake lakini je kuwa professional ni dhambi? Kwa nini wote wasipewe mafao yao? Uhakika wa ajira kwa professional kwamba atapata ndani ya muda mfupi uko wapi?
Serikali fikirieni hili suala linaumiza watu.
 
Hawa jamaa Mungu anawaona. Wabunge nao wangekuwa wanazungushwa kama wanavyozungushwa wengine had wanakufa Hawajapata hela yao wangepiga kelele tu. Milion mbili tu utazungushwa miaka mitano uchaguzi unaanza hadi unaisha we bado unadai tu
Siku hizi wamekuwa natabia!hela zetu wanatuambia mchakato uko kinondoni au ilala jamani kwani hi mifumo hamuwasilani!iweje unamwambia mwanachama mchango wako mpaka athibitishe mtu alioko huko dar....je!tuliokua mikoani vipi?

Naamini Kuna uzembe kwenye watendaji wa nssf na pssf ambao unatakiwa kumulikwa.nssf mwanza wanamajibu ya ovyooo sana
 
Kweli miezi sita mtu anakwambia jawajapata marejesho kutoka dar....ukiangàlia michango yako yote iko sawa why?najua Kuna wakuu wanafatilia himu jamii forum embu jaribuni kufatilia....inawezekana tuna laumu sherekali kuu kumbee wazembee.wanatupa majibu raisi Tena watoto wa Field
 
Hii kitu inakera sana, rafiki yangu alikuwa muhasibu, baada ya kumaliza mkataba wake kwa jimbo katoliki hawakuhitaji kumuongezea mkataba. Akahitaji achukue michango ya miaka 8 NSSF, badala yake walimlipa fao la kukosa ajira ambayo ni 33% ya mshahara kwa miezi 6. Baada ya miezi sita alienda wakamwambia hawana fao LA kujitoa labda asubiri hadi afikishe miaka 55, muda huu yeye anamiaka 32.
 
Ndugu zangu waheshimiwa wabunge, tafadhali tuangalizie kuhusu malipo ya mafao yetu NSSF na PSSF walah miezi sana vimilioni vitano wanashindwa kutulipa jamani, halafu mnasema hatupendi kufanya kazi kweli jamani.

Imagine kijana wa miaka 35 ajira iliisha au mkataba wake umeisha na hali ya uchumi kampuni zinapunguza wafanyakazi na ajira hakuna, tunategemea hivyo vihela tujikite kwenye ujasiriamali navyo hamtupi,kazi kutusimanga hatufanyi kazi.

Tumelipigia kelele sana hili swala ,sijui kwanini serikali inayokusanya matrilioni kwa mwezi wanang'ang'ania pesa za nssf/psssf kwa vijana waliopata changamoto ya retrechment.

Wabunge mliobaki ebu wasaidieni vijana wapate fedha za nssf/psssf ,ebu ondoeni hizo visheria visivyo na kichwa wala miguu watu wachukue fedha endapo ajira imekoma,awamu ya 5 si inakusanya matrilioni?
 
Wewe ni mzushi tu, PSPF na NSSF wanaongozwa na sheria katika kutimiza majukumu yao. Sheria zinatungwa na Bunge sio mifuko ya jamii!
Ndugu zangu waheshimiwa wabunge, tafadhali tuangalizie kuhusu malipo ya mafao yetu NSSF na PSSF walah miezi sana vimilioni vitano wanashindwa kutulipa jamani, halafu mnasema hatupendi kufanya kazi kweli jamani.

Imagine kijana wa miaka 35 ajira iliisha au mkataba wake umeisha na hali ya uchumi kampuni zinapunguza wafanyakazi na ajira hakuna, tunategemea hivyo vihela tujikite kwenye ujasiriamali navyo hamtupi,kazi kutusimanga hatufanyi kazi.
 
Back
Top Bottom