BenElohimy
Senior Member
- Sep 21, 2021
- 181
- 223
Lipende neno la Mungu usikimbilie miujiza.
Miujiza yaweza kabisa ikawa haina neno, ila neno linayo nguvu ya kusababisha miujiza
Neno namaanisha Yesu, kwa hiyo kuna miujiza ambayo haitokani na Yesu, ila ukiwa na Yesu yeye hutoa muujiza
Miujiza haiwezi badilisha akili ya mtu au uelekeo wa mtu lakini neno la Mungu hubadilisha uelekeo wa maisha ya mtu.
So Engage with the word neither with Miracles, signs nor wonders
Miujiza yaweza kabisa ikawa haina neno, ila neno linayo nguvu ya kusababisha miujiza
Neno namaanisha Yesu, kwa hiyo kuna miujiza ambayo haitokani na Yesu, ila ukiwa na Yesu yeye hutoa muujiza
Miujiza haiwezi badilisha akili ya mtu au uelekeo wa mtu lakini neno la Mungu hubadilisha uelekeo wa maisha ya mtu.
So Engage with the word neither with Miracles, signs nor wonders