Ndugu zangu nisaidieni ujanja ili nitambue dhahabu halisi na feki

Jaribu kufika pale The Slipway Msasani kuna wahindi pale wana duka lao. nina ushahidi kwamba ni waaminifu
 
Tunampoteza kiungo mchezeshaji kweny dimba letu kuu la jukwaa la mahusiano

Nenda baharia nenda tutakutana kweny huko huko
 
Tunampoteza kiungo mchezeshaji kweny dimba letu kuu la jukwaa la mahusiano

Nenda baharia nenda tutakutana kweny huko huko
Wahuni sioi jamani 😁😁😁 tuko pamoja masela. Ni mbinu tu za kumuingiza mtu kingi
 
Morning Fam,

Kimsingi licha ya exposure katika mambo mengi tu yakiwamo mahusiano, magari, fashions na teknolojia nikiri tu kuna maswala mengine niko katika ujima.

Hivi karibuni nimekumbwa na kipengele, nataka nikanunue Gold jewelleries zikiwemo hereni, chain na pete ila sasa kimsingi sijui whats the difference between a real Gold and fake chain. Japo najua composition yake inapimwa kwa Karats kuanzia 12 mpaka 24.

Msaada kwa ambaye ni mzoefu wa haya mambo hasa warembo na washua wa humu JF! Maybe store ambayo ni genuine kwa kuuza hayo mavitu maana nimeenda City Mall pale nikakagua mali kwenye jewellery stores 2 ila still nna maseke.

Pia bei ya gold imesimamaje per gram sababu kuna ambao wanauza 175K per gram kwa 18 karats na wengine ni 190k kwa 21 karats. Katika story niliwahi kusikiaga gold ni 150k per gram.
Kama uko Dar....nenda mitaa ya Mnazi Mmoja kule utapata dhahabu za ukweli, ni hela yako tu.
 
Ongera mkuu ila kumbuka mwaka huu sio wa kuishi kwa raha kwa wana ndoa alisha sema Bwana yule
 
Morning Fam,

Kimsingi licha ya exposure katika mambo mengi tu yakiwamo mahusiano, magari, fashions na teknolojia nikiri tu kuna maswala mengine niko katika ujima.

Hivi karibuni nimekumbwa na kipengele, nataka nikanunue Gold jewelleries zikiwemo hereni, chain na pete ila sasa kimsingi sijui whats the difference between a real Gold and fake chain. Japo najua composition yake inapimwa kwa Karats kuanzia 12 mpaka 24.

Msaada kwa ambaye ni mzoefu wa haya mambo hasa warembo na washua wa humu JF! Maybe store ambayo ni genuine kwa kuuza hayo mavitu maana nimeenda City Mall pale nikakagua mali kwenye jewellery stores 2 ila still nna maseke.

Pia bei ya gold imesimamaje per gram sababu kuna ambao wanauza 175K per gram kwa 18 karats na wengine ni 190k kwa 21 karats. Katika story niliwahi kusikiaga gold ni 150k per gram.
Dhahabu ukiibana kwa pliers inapondeka,

Ukiitilia acid itang'ara zaidi, hata uliiweka kwenye maji itaongeza mng'ao.

Dhahabu haipungui nguvu ya rangi ilonayo. Kwamba unapoikwangua ile njano haifutiki wala kupungua.

Kama unataka kujua hiyo ni dhahabu, kipimo kingine ni kwa kutumia Density.
 
Kama uko Dar nenda Indira Gandhi street maduka yako mengi, kama uko Ar nenda metropole street. Huwa naamini maduka ya wahindi zaidi dhahabu zao ni halisi, kuanzia 21k ni poa
 
Kuna kitu kimoja ambacho kinapandisha thamani ya gold nacho ni purity. Unaweza kuona gold ina ng'aa lakini purity ipo below 60% asilimia inayobaki ni copper, silver na iron.

Kama utaweza nenda kwenye duka ambalo wana purity machine, unanunua kitu kulingana na ubora wake. Inatakiwa iwe juu ya 85% gold.

Angalizo, purity machine inaweza kuchezewa.
 
Kuna kitu kimoja ambacho kinapandisha thamani ya gold nacho ni purity. Unaweza kuona gold ina ng'aa lakini purity ipo below 60% asilimia inayobaki ni copper, silver na iron.

Kama utaweza nenda kwenye duka ambalo wana purity machine, unanunua kitu kulingana na ubora wake. Inatakiwa iwe juu ya 85% gold.

Angalizo, purity machine inaweza kuchezewa.
Asee umenikumbusha Chemistry O-level.

Calculate :

Percentage of Putirty (in sample given)

Percentage of Impurity (in sample given)
 
Sonara za uhakika Indira Ghandhi street.
Huko utapata vyote unavyotaka.

Zamani iliyokuwa inatrend ni Yakub Jewelers sijui kwa sasa.
 
Morning Fam,

Kimsingi licha ya exposure katika mambo mengi tu yakiwamo mahusiano, magari, fashions na teknolojia nikiri tu kuna maswala mengine niko katika ujima.

Hivi karibuni nimekumbwa na kipengele, nataka nikanunue Gold jewelleries zikiwemo hereni, chain na pete ila sasa kimsingi sijui whats the difference between a real Gold and fake chain. Japo najua composition yake inapimwa kwa Karats kuanzia 12 mpaka 24.

Msaada kwa ambaye ni mzoefu wa haya mambo hasa warembo na washua wa humu JF! Maybe store ambayo ni genuine kwa kuuza hayo mavitu maana nimeenda City Mall pale nikakagua mali kwenye jewellery stores 2 ila still nna maseke.

Pia bei ya gold imesimamaje per gram sababu kuna ambao wanauza 175K per gram kwa 18 karats na wengine ni 190k kwa 21 karats. Katika story niliwahi kusikiaga gold ni 150k per gram.
Tayari umenaswa na utelezi, ukitoka hapo MC Garab anakusubiri
 
Nenda mtaa wa Indira ghandhi ukitokea mnazi mmoja kuna maduka wanauza Vito vya thamani wengine wana miaka hadi 40 kwe game...maduka nnayoyaelewa exotic jewellers au queens gems hautojilaumu...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom