Ndugu,Yohana Pombe Magufuli ninavigezo ninaomba kazi!

sifi leo

JF-Expert Member
Mar 30, 2012
5,182
8,946
MODERATOR, nina kuomba msitoe uzi huu, ninaomba sana na ninacho kisema nina amanisha,
Ndugu Raisi, uniwie radhi mimi stopenda nikuite Mh maana mimi ni muumuni wa Ujamaa!

Ndugu Raisi, katika uteuzi mbalimbali ulio ufanya kuna watu amabo najua ni kimakosa umewapa vyeo mara mbiri, na ninajua kuwa utakuwa upo kwenye mchakato wa kuwatoa uweke wengine.

Ndugu Raisi, mimi ni kijana wa kitanzania nina elimu ya shahada moja na nina umri husiozidi miaka 33, ninaishi Da resalaam.

nina ujuzi wa kazi wa miaka hisyopungua miaka 3, ila kwa sasa sina kazi ninaomba mkuu wa nchi unipe kazi niitumikie nchi yangu.

Ndugu raisi, ninaomba unisaidie, hao wenye vyeo niwili ndugu raisi wakati wengine hatuna kazi na elimu tunazo, ni upendeleo mkuu, tafadhali ninakuomba unisaidie kazi ili niweze kulipa deni la Bodi ya mkopo, na nilipe kodi!
Ndgu raisi najua wewe ni msomaji wa JF, tafadhali sana mimi nipo tayari kufanya kazi popote pale, nchini na nje ya nchi!

Ndugu Rais, ni mimi Raia, ambae sipendi kujiunga na makundi, nipo tayari kwa kazi!.
Tafadhali pokea maombi yangu!
 
MODERATOR, nina kuomba msitoe uzi huu, ninaomba sana na ninacho kisema nina amanisha,
Ndugu Raisi, uniwie radhi mimi stopenda nikuite Mh maana mimi ni muumuni wa Ujamaa!

Ndugu Raisi, katika uteuzi mbalimbali ulio ufanya kuna watu amabo najua ni kimakosa umewapa vyeo mara mbiri, na ninajua kuwa utakuwa upo kwenye mchakato wa kuwatoa uweke wengine.

Ndugu Raisi, mimi ni kijana wa kitanzania nina elimu ya shahada moja na nina umri husiozidi miaka 33, ninaishi Da resalaam.

nina ujuzi wa kazi wa miaka hisyopungua miaka 3, ila kwa sasa sina kazi ninaomba mkuu wa nchi unipe kazi niitumikie nchi yangu.

Ndugu raisi, ninaomba unisaidie, hao wenye vyeo niwili ndugu raisi wakati wengine hatuna kazi na elimu tunazo, ni upendeleo mkuu, tafadhali ninakuomba unisaidie kazi ili niweze kulipa deni la Bodi ya mkopo, na nilipe kodi!
Ndgu raisi najua wewe ni msomaji wa JF, tafadhali sana mimi nipo tayari kufanya kazi popote pale, nchini na nje ya nchi!

Ndugu Rais, ni mimi Raia, ambae sipendi kujiunga na makundi, nipo tayari kwa kazi!.
Tafadhali pokea maombi yangu!
Mkuu, Nasubiri ukijibiwa tu, na mimi natuma ya kwangu....
 
MODERATOR, nina kuomba msitoe uzi huu, ninaomba sana na ninacho kisema nina amanisha,
Ndugu Raisi, uniwie radhi mimi stopenda nikuite Mh maana mimi ni muumuni wa Ujamaa!

Ndugu Raisi, katika uteuzi mbalimbali ulio ufanya kuna watu amabo najua ni kimakosa umewapa vyeo mara mbiri, na ninajua kuwa utakuwa upo kwenye mchakato wa kuwatoa uweke wengine.

Ndugu Raisi, mimi ni kijana wa kitanzania nina elimu ya shahada moja na nina umri husiozidi miaka 33, ninaishi Da resalaam.

nina ujuzi wa kazi wa miaka hisyopungua miaka 3, ila kwa sasa sina kazi ninaomba mkuu wa nchi unipe kazi niitumikie nchi yangu.

Ndugu raisi, ninaomba unisaidie, hao wenye vyeo niwili ndugu raisi wakati wengine hatuna kazi na elimu tunazo, ni upendeleo mkuu, tafadhali ninakuomba unisaidie kazi ili niweze kulipa deni la Bodi ya mkopo, na nilipe kodi!
Ndgu raisi najua wewe ni msomaji wa JF, tafadhali sana mimi nipo tayari kufanya kazi popote pale, nchini na nje ya nchi!

Ndugu Rais, ni mimi Raia, ambae sipendi kujiunga na makundi, nipo tayari kwa kazi!.
Tafadhali pokea maombi yangu!

Huna vigezo ww, elimu uliyoitaja haijakusaidia, graduate mzima; lugha mbaya, mpangilio wa maneno mbaya, hukufundishwa uandishi wa barua haya unaomhusu mtu unaetegemea akupe "mkate wa kila siku"?...
 
Hivi huko vyuo vikuu mnafundishwa ujinga, ina maana hata kuandika neno "mbili" unashindwa na kuandika "mbiri". Andiko lako limejaa makosa mengi bado unaomba kazi wakati kuandika hujui.
 
  • Thanks
Reactions: ydn
MODERATOR, nina kuomba msitoe uzi huu, ninaomba sana na ninacho kisema nina amanisha,
Ndugu Raisi, uniwie radhi mimi stopenda nikuite Mh maana mimi ni muumuni wa Ujamaa!

Ndugu Raisi, katika uteuzi mbalimbali ulio ufanya kuna watu amabo najua ni kimakosa umewapa vyeo mara mbiri, na ninajua kuwa utakuwa upo kwenye mchakato wa kuwatoa uweke wengine.

Ndugu Raisi, mimi ni kijana wa kitanzania nina elimu ya shahada moja na nina umri husiozidi miaka 33, ninaishi Da resalaam.

nina ujuzi wa kazi wa miaka hisyopungua miaka 3, ila kwa sasa sina kazi ninaomba mkuu wa nchi unipe kazi niitumikie nchi yangu.

Ndugu raisi, ninaomba unisaidie, hao wenye vyeo niwili ndugu raisi wakati wengine hatuna kazi na elimu tunazo, ni upendeleo mkuu, tafadhali ninakuomba unisaidie kazi ili niweze kulipa deni la Bodi ya mkopo, na nilipe kodi!
Ndgu raisi najua wewe ni msomaji wa JF, tafadhali sana mimi nipo tayari kufanya kazi popote pale, nchini na nje ya nchi!

Ndugu Rais, ni mimi Raia, ambae sipendi kujiunga na makundi, nipo tayari kwa kazi!.
Tafadhali pokea maombi yangu!
ukipata na mimi nishtue, ila mwambie Rais mimi sitoki kanda ya ziwa.
 
MODERATOR, nina kuomba msitoe uzi huu, ninaomba sana na

Ndugu Rais, ni mimi Raia, ambae sipendi kujiunga na makundi, nipo tayari kwa kazi!.
Tafadhali pokea maombi yangu!
sasa kama hupendi kujiunga na makundi tutakusaidiaje wakati kazi zinatoka kwa wana kikundi tu wewe?
 
MODERATOR, nina kuomba msitoe uzi huu, ninaomba sana na ninacho kisema nina amanisha,
Ndugu Raisi, uniwie radhi mimi stopenda nikuite Mh maana mimi ni muumuni wa Ujamaa!

Ndugu Raisi, katika uteuzi mbalimbali ulio ufanya kuna watu amabo najua ni kimakosa umewapa vyeo mara mbiri, na ninajua kuwa utakuwa upo kwenye mchakato wa kuwatoa uweke wengine.

Ndugu Raisi, mimi ni kijana wa kitanzania nina elimu ya shahada moja na nina umri husiozidi miaka 33, ninaishi Da resalaam.

nina ujuzi wa kazi wa miaka hisyopungua miaka 3, ila kwa sasa sina kazi ninaomba mkuu wa nchi unipe kazi niitumikie nchi yangu.

Ndugu raisi, ninaomba unisaidie, hao wenye vyeo niwili ndugu raisi wakati wengine hatuna kazi na elimu tunazo, ni upendeleo mkuu, tafadhali ninakuomba unisaidie kazi ili niweze kulipa deni la Bodi ya mkopo, na nilipe kodi!
Ndgu raisi najua wewe ni msomaji wa JF, tafadhali sana mimi nipo tayari kufanya kazi popote pale, nchini na nje ya nchi!

Ndugu Rais, ni mimi Raia, ambae sipendi kujiunga na makundi, nipo tayari kwa kazi!.
Tafadhali pokea maombi yangu!


Unajua wewe unaweza kukosa kazi nyingi ikiwemo hii inatafuta.
Kiswahili chako kibovu mno inaonyesha hata darasa la saba hukimaliza.
 
Huna vigezo ww, elimu uliyoitaja haijakusaidia, graduate mzima; lugha mbaya, mpangilio wa maneno mbaya, hukufundishwa uandishi wa barua haya unaomhusu mtu unaetegemea akupe "mkate wa kila siku"?...

hata mm na jamaa fulani tulikuwa tunapitia uzi wake tukajiuliza kamaliza degree kweli huyu mbona uandishi wake ni wa kiwango cha chin sana kumbe tanzania ya viwanda bado sana kama baadhi ya ppl with degree wako hivi
 
je unatoka kanda ya ziwa? je wewe ni mkatoliki?
Labda hilo la Kanda ya ziwa na sio la ukatoliki, mbona kawajaza mi alshaabab kibao wenye majina ya kigalatia? Na hayo majina waliyapata kwa kuwanyonga waliofaulu darasa la saba
 
Sasa wewe mleta Uzi hadi hapo ushakosa.Maana tukuambie ukweli tu.Ikiwa umeshindwa kumuita raisi mheshimiwa,siku kakupa cheo labda ni mkuu wa mkoa,wilaya au nimkurugenzi mahali fulani,halafu JPM kaja kwa hiyo katika taarifa utakayoiandaa neno mheshimiwa utaliacha?Au unataka wewe ndio uitwe mheshimiwa Ila raisi sio mheshimiwa.Haya ni maajabu ya karne?Huenda labda wenzako walioteuliwa nao waliandika Kama wewe ndio wakapata.Ila omba mungu sana ili kupata hicho cheo vinginevyo tafuta kazi nyengine tu.
 
sorry but no where in your post you mentioned why should you be considered and not others.
 
kama kweli unatoka kanda yetu na ni mkatoliki hebu sali sala ya maria kwa lugha yetu
 
Ooohh... Hold on, ww ni GRADUATE..? Omg...!! I see why Mr. President wants to import IT experts from Rwanda...!! Graduate wa mwendokasi..!!
 
Back
Top Bottom