ndugu yangu anatafutakazi ya ulinzi dar

ndugu yangu anatafutakazi ya ulinzi dar

frank mayige

Member
Joined
Jan 5, 2013
Posts
61
Reaction score
11
Nina ndugu yangu anatafuta kazi ya ulinzi dar elimu ni kidato cha nne, au kazi yoyote iliyo halali, nawasilisha,
 
Nina ndugu yangu anatafuta kazi ya ulinzi dar elimu ni kidato cha nne, au kazi yoyote iliyo halali, nawasilisha,
Mkuu vipi ana cheti labda cha mafunzo yoyote kama mgambo au j.k.t !! Na kama anavyo aende pale makao makuu ya suma j.k.t anaweza chukuliwa kama vigezo atakuwa navyo!!
 
Mkuu vipi ana cheti labda cha mafunzo yoyote kama mgambo au j.k.t !! Na kama anavyo aende pale makao makuu ya suma j.k.t anaweza chukuliwa kama vigezo atakuwa navyo!!
hapana mkuu hana cheti cha mgambo alimaliza tuu form four akafeli so yupo nyumbani tuu amekaa sasa bora apate hata kazi ya ulinzi asukume gurudumu la maisha
 
hapana mkuu hana cheti cha mgambo alimaliza tuu form four akafeli so yupo nyumbani tuu amekaa sasa bora apate hata kazi ya ulinzi asukume gurudumu la maisha
Tofauti na elimu yake ana fani gani nyingine labda!
 
Back
Top Bottom