tafuta mganga mzuri wa kienyeji uwaloge wasikanyage kwako tena. Nenda bagamoyo.
ondoka au subiri ufe ndo hiyo akili itakaa sawa huko mbele kwa mbele!
niondoke ntaenda wap na hali hii..napia nkiondoka nadhan ntakua nmepoteza nguv zangu bure mana nmejtahd kujijenga kmaisha na mume wangu...>magnificient
Ndoa kwanza imani baadaye..
Huyo mume ajifunze kuweka 'mipaka yake'
ili ndugu zake waheshimu na kutomuingilia....
Ajifunze kuwa 'mwanaume'
Nlijarbu kuondoka kwangu na walfurah sana ndugu zake na mama ake lakn ilikua adhabu kwa mume wangu...alikonda kwa mawazo na alnsihi nirud nlee mimba yake...ckua na jns nlirud kwa mume na walpockia nmerud ndo kama nlipalilia moto kwao...>magnificient
KWa nilivyoelewa ni kuwa huyu ni mumeo halali, yaani mumefunga ndoa inayotambulika. Swali langu je ina maana wazazi wa mume hawakuiafiki ndoa yenu? Au mmechukuana tu mnaishi pamoja??