moyo wangu
Member
- Nov 18, 2011
- 59
- 13
Hope wazima nyote....Mm ni msichana mwenye 24yrz...nina miaka mitano toka Mungu aliponkutanisha na mume wangu kipenzi, mpaka sasa naishi na mume wangu lakini mimi nae dini tofauti.
Mimi muislam na yeye mkrsto....hapo ndo tatzo lilipo mana famlia nzima ya mume wangu wananichukia kupita kiasi sina aman na mume wangu hata kdogo. Nimevumilia mpaka nimechoka na kumwacha mume wangu siwez maana ananipenda na kunijali kwa kila kitu.
Ni yeye anaenipa moyo kuhusu kero na maneno na visa vya ndugu zake...sijui ni mimi peke yangu ndo niliye na matatzo na ndugu wa mume wangu au ni ndoa zote...
Kwetu wananishauri ndoa niiache na kila niktaka kumwambia mume wangu anipe talaka nashndwa maana nampenda naye ananipenda na kibaya zaidi kwa sasa nina mimba ya miez 6 na inanitesa sana,..
iIa wifi na mama mkwe ndo wanazidi kuniandama wanataka mimba itoke...wanasema hawanitambui.....nimevumilia sana na kumwacha mume wangu siwez na ndugu wa mume wanatamani kuniua...
Sijui nifanye nini.
Mimi muislam na yeye mkrsto....hapo ndo tatzo lilipo mana famlia nzima ya mume wangu wananichukia kupita kiasi sina aman na mume wangu hata kdogo. Nimevumilia mpaka nimechoka na kumwacha mume wangu siwez maana ananipenda na kunijali kwa kila kitu.
Ni yeye anaenipa moyo kuhusu kero na maneno na visa vya ndugu zake...sijui ni mimi peke yangu ndo niliye na matatzo na ndugu wa mume wangu au ni ndoa zote...
Kwetu wananishauri ndoa niiache na kila niktaka kumwambia mume wangu anipe talaka nashndwa maana nampenda naye ananipenda na kibaya zaidi kwa sasa nina mimba ya miez 6 na inanitesa sana,..
iIa wifi na mama mkwe ndo wanazidi kuniandama wanataka mimba itoke...wanasema hawanitambui.....nimevumilia sana na kumwacha mume wangu siwez na ndugu wa mume wanatamani kuniua...
Sijui nifanye nini.