Ndugu Samia S Hassan alaani Maandamano

figganigga

Platinum Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
27,614
Reaction score
62,397
Samia amelaani Maandamano. Amesema yeye na wenzake walioshiriki uchaguzi wamesikitishwa sana na Vitendo hivyo alivyodai si vya kiungwana
 
Maandamano ni haki ya kikatiba.
 
Yeye ndiyo wa kulaaniwa kwa damu alizomwaga za Watanganyika.

Kuanzia utekaji mpaka siku ya maandamano Watanganyika wanazidi kupoteza maisha chini ya huyu Idd Amin Mama.
 
Tunashukuru Mungu nchi imepata Rais, na maandamano yameisha. Sasa ni Rais kuapishwa, kuunda serikali na itakayowatumikia watu wote kwa bidii...
 
Yeye ndiyo wa kulaaniwa kwa damu alizomwaga za Watanganyika.

Kuanzia utekaji mpaka siku ya maandamano Watanganyika wanazidi kupoteza maisha chini ya huyu Idd Amin Mama.
Ni kweli nchi imepata rahis na maandamano ndo yanaanza internet ikirejea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…