Kididimo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 3,791
- 3,360
Mgombea Tundu Lisu ni Mtanzania kwa kuzaliwa na kuishi. Wewe Mh. Polepole nawe ni vivyo hivyo.
Tutamheshimu yeyote kwa kumwona Mzalendo pale tuu atakapokidhi matarajio yetu kwa vitendo na hata kwa ahadi katika kampeni zinazoendelea.
Sera za CCM zinalenga haki, uhuru na maendeleo ya Wanyonge.
Lakini, Lissu kasema:
1. Haki za wanyonge zinanyongwa kwa kuporwa ardhi na kutozwa vitambulisho na mifano mingi katoa.
2. Hawana uhuru wa kudai haki kwa vile nguvu kubwa inatumika kuwazima mfano Wakulima wa Korosho , wafanyakazi nk.
Hizo hoja zinaimpress jamii na wanaona ni kweli.
Badala ya kujibu hoja hizi kwenye vyombo vya habari, tuzijibu kwenye kampeni zetu.
Ninamshukuru M/kiti wetu alijibu baadhi akiwa kule Itigi akijinadi. Hii ni sawa,lakini je,majibu hayo yapo kwenye sera zetu? Je, watekelezaji wa sera zetu hawapindishi mambo? Mfano MaDcs, RCs, nk.
Kushinda tutashinda ila kuna mambo yanatakiwa yarekebishwe kisera na siyo majibizano kwenye vyombo ambavyo ni biased .
Tutamheshimu yeyote kwa kumwona Mzalendo pale tuu atakapokidhi matarajio yetu kwa vitendo na hata kwa ahadi katika kampeni zinazoendelea.
Sera za CCM zinalenga haki, uhuru na maendeleo ya Wanyonge.
Lakini, Lissu kasema:
1. Haki za wanyonge zinanyongwa kwa kuporwa ardhi na kutozwa vitambulisho na mifano mingi katoa.
2. Hawana uhuru wa kudai haki kwa vile nguvu kubwa inatumika kuwazima mfano Wakulima wa Korosho , wafanyakazi nk.
Hizo hoja zinaimpress jamii na wanaona ni kweli.
Badala ya kujibu hoja hizi kwenye vyombo vya habari, tuzijibu kwenye kampeni zetu.
Ninamshukuru M/kiti wetu alijibu baadhi akiwa kule Itigi akijinadi. Hii ni sawa,lakini je,majibu hayo yapo kwenye sera zetu? Je, watekelezaji wa sera zetu hawapindishi mambo? Mfano MaDcs, RCs, nk.
Kushinda tutashinda ila kuna mambo yanatakiwa yarekebishwe kisera na siyo majibizano kwenye vyombo ambavyo ni biased .