Mookiesbad98
JF-Expert Member
- Feb 1, 2015
- 3,571
- 4,820
Toka ndg Lameck Madelu ateuliwe kuwa PM amesababisha kero kubwa ya foleni pale anapotoka kwake na kurudi nyumbani.
Nadhani ikiwezekana mamlaka impatie Nyumba huko karibu na mjini yaani Oysterbay maana kuna makazi rasmi ya Waziri mkuu.
Mfano leo.Saa asubuhi umeleta.adha kubwa ya foleni pasipo sababu ya msingi ulipokuwa ukitoka kwenda JNICC.
Nawasilisha.
Nadhani ikiwezekana mamlaka impatie Nyumba huko karibu na mjini yaani Oysterbay maana kuna makazi rasmi ya Waziri mkuu.
Mfano leo.Saa asubuhi umeleta.adha kubwa ya foleni pasipo sababu ya msingi ulipokuwa ukitoka kwenda JNICC.
Nawasilisha.