Ndugu January Makamba - New website

My dear, I am so shocked to read the language profiency of the assistant press secretary of the President of United Republic of Tanzania. It mesmerizes me to learn that this is what January can produce in English. Forget about wasambaa, it is actually washamba in Kisambaa, hata hao wazungu sioni kama wanaweza kumuelewa hicho alichozungumza. You mean was he really sourced on merits? Poor Tanzania kwa kweli ni bora tu dogo akazanie hiki Kiswahili chetu hata kama cha kuungaunga huko alikogusa mmh, sina wivu lakini we surely have reservations on what we have read!
MKuu nakuunga mkono, kwa kweli ameandika kama mtoto wa miaka 10 essay.... sorry! (shrug ya Simon Cowell) :wink2:
ON a very serious note... dogo hayuko serious kabisa! Anaandika kwa lugha ya kitoto na anajiona anajua anachokifanya ... hizi technique zenyewe ni za kizamani na za kitoto... not impressed!
 
jamaa amechemka kweli..kama anataka kuwasiliana nawanachi tumia midahalo ya wazi au mikutano au tumia njia nyingine ambayo utaweza kuwafikia.. wale ambao hawajakwenda shule..sasa tovuti..huhuh...computer yenyewe wanaona kama video..bado hawajaona laptop..sijui itakuwaje..Lugha..wenyewe english ndiyo kabisa kachemka..mwanafunzi hata aliyemaliza chuo bado lugha haipandi sasa huyu mwenzangu aliyekimbia umande itakuje?mawasiliano unaishi Bumbuli,DSM au US?sababu no ya cim ni ya US mtoto wa mkulima akiona hiyo +1 anaanza kulia...

Ila nakupongeza kwa kuuza sura..hasa wale wenzangu walioko mbali na Bumbuli watakutazama fresh....:A S 465::A S 465::A S 465::A S 465::A S 465:


Nadhani hatumtendei haki Kijana Makamba. Lugha kuu ya mawasiliano kati ya Compyuta na Binadamu ni Kiingereza. Huwezi ukakuta window at log on ikakuelekeza kwa kiswahili kuingia ndani na kufanya mavitu yako. tusichanganye mawasiliano yetu na lugha ya computer kama kitendea kazi. Nadhani January alifikiri yote hayo. Alijua Mwananchi atakayekuwa na uwezo wa kutumia Computer atakuwa lugha ya malikia inapanda. Kwa wale isiyopanda wanapata vionjo vyake live kwenye majukwaa n.k. Lakini naamini kipo kitu anaandaa kwa ajili ya level yao. tatizo liko wapi. Jiulize mara kumi hoja uitoayo ina mizani? haina chuki wala husda. haina ushabiki? then toa maoni yako
. Great thinkers they think. Lakini humu janvini sometimes kuna ushabiki badala ya hoja.
 
MKuu nakuunga mkono, kwa kweli ameandika kama mtoto wa miaka 10 essay.... sorry! (shrug ya Simon Cowell) :wink2:
ON a very serious note... dogo hayuko serious kabisa! Anaandika kwa lugha ya kitoto na anajiona anajua anachokifanya ... hizi technique zenyewe ni za kizamani na za kitoto... not impressed!

Jamani, hata ukimchukia sungura wakati mwingine inabidi ukubali kwamba anaweza kukimbia!!! Na mimi pia nimeipitia website yake na sidhani kama mnamtendea haki mnapomponda hivo. Website imetulia, ukiacha typos kidogo sana. Na amesema it is still work in progress na kwamba version ya kiswahili iko mbioni. I am not his fan na wala si mwana CCM lakini inatubidi vijana tufike mahali tutambue kujituma kwa wenzetu hata kama tumepishana kiitikadi. Kijana amejitahidi, tumpongeze na inapobidi tumuunge mkono. Maana ya upinzani siyo kupinga tu hata mazuri.
 
Hey ya"ll

Aisee tuweke majungu pembeni really talk----Check it out for Ndugu January Makamba New website Mbunge wa Bumbuli.You got to know who January is in person.This dude is my role model I am going be just like him when i grow up....

This is
"My story"....Don't judge the book by its cover you got to read it--right?...so i edge you to check it out without judging.

I was born on 28 January 1974 to a young, polite and beautiful nursing course trainee and a very vibrant, loud and charming local government functionary (Katibu Tarafa): Josephine and Yusuf. Few months after my birth, my father was promoted to become a District Commissioner in Tanga. After three years, my mother went for further studies and my father went to join the military for Officer Cadet course in Tanzania Military Academy in Monduli. Me and my little brother were shipped to our village Mahezangulu, Lushoto, and later to our maternal grandmother who was living alone (my mother is a sole child and my grandma was widowed early) in a village around Kyaka – now Missenyi District – about 20 kilometres between the border of Uganda and Tanzania. After a year, Idi Amin invaded Tanzania and the Ugandan army occupied areas around our village: my grandma, my brother and I became refugees in displaced persons camp in areas further back from the border. Our mother made attempts to come get us but roads were closed around Biharamulo and people were not allowed to travel to the “war zone”. When the full war between Tanzania and Uganda broke out in 1978, my father, as an energetic new army lieutenant, was assigned to the frontlines – and therefore could not assist in getting us out of the refugees camp, until one day when he showed up in dirty uniforms soaked with rain commandeering an empty bus and got us permit to travel back to safe zone and reunite with our mother.
continue reading "My story" about Ndugu Makamba here January Makamba.com


cheers
xoxo
BM


remove-shirt.jpg
 
Jamani, hata ukimchukia sungura wakati mwingine inabidi ukubali kwamba anaweza kukimbia!!! Na mimi pia nimeipitia website yake na sidhani kama mnamtendea haki mnapomponda hivo. Website imetulia, ukiacha typos kidogo sana. Na amesema it is still work in progress na kwamba version ya kiswahili iko mbioni. I am not his fan na wala si mwana CCM lakini inatubidi vijana tufike mahali tutambue kujituma kwa wenzetu hata kama tumepishana kiitikadi. Kijana amejitahidi, tumpongeze na inapobidi tumuunge mkono. Maana ya upinzani siyo kupinga tu hata mazuri.
Hebu nisaidie mkuu... sasa hii inawafaidisha vipi wananchi wake wa Bumbuli kama si kuji-promote ye binafsi? Kama angekuwa celebrity kama actor/ model/ basketball player ningeelewa maana ndo kazi yake inamtaka awe anaji-market .. kama mbunge kazi yake si kuuza sura bali kuwasaidia wananchi wake ambao hata umeme hawana. Ni upuuzi kumpongeza kwa poor attempt at self promotion that does not benefit his constituency. FACT!
 
If you think the role of a website is limited to only "celebrity kama actor/ model/ basketball player" then You are an id!0t. FACT.

Asante mkuu kwa matusi....
Let's get a few things straight: sijasema kokote kuwa website is limited to celebrity only. Hebu soma vizuri nilichoandika. I was talking about self promotion. Hebu nijibu, kuandika kwa lugha ya kitoto maisha yake inasaidaje wananchi wa Bumbuli?
Jibu hoja kwa hoja na si kwa matusi.
 
Asante mkuu kwa matusi....
Let's get a few things straight: sijasema kokote kuwa website is limited to celebrity only. Hebu soma vizuri nilichoandika. I was talking about self promotion. Hebu nijibu, kuandika kwa lugha ya kitoto maisha yake inasaidaje wananchi wa Bumbuli?
Jibu hoja kwa hoja na si kwa matusi.

Kumradhi kama umeona umetusiwa. Angalia tena website vizuri, kuna section zinazoongelea Bumbuli as a place, her people, and issues (Economy, Education, Agriculture, etc). There is also a link to the book about Bumbuli development plans. U need partners in development who will be willing to invest in your constituency. These people need a platform and that is where a website become a very good place to start. Also there is Bumbuli Development Corporation... Coming Soon! in progress as well. You can check it out.

You are allowed to hate, it is okay. we all need haters in our life, but just be explicit about your hating endeavor, sio kuja na visababu vya kichovu. Au sio baana.
 
Kumradhi kama umeona umetusiwa. Angalia tena website vizuri, kuna section zinazoongelea Bumbuli as a place, her people, and issues (Economy, Education, Agriculture, etc). There is also a link to the book about Bumbuli development plans. U need partners in development who will be willing to invest in your constituency. These people need a platform and that is where a website become a very good place to start. Also there is Bumbuli Development Corporation... Coming Soon! in progress as well. You can check it out.

You are allowed to hate, it is okay. we all need haters in our life, but just be explicit about your hating endeavor, sio kuja na visababu vya kichovu. Au sio baana.

Sasa ni kitu gani kilikuzuia kuleta hoja at the first place? Matusi hayafai mkuu!
Section kuhusu Bumbuli is well and good pamoja na kuwa ni copy and paste tu nothing creative, ila sijaona bado hiyo Development Cooperation itafanyaje kazi - it is again the rich and educated going to take advantage of the poor?

Ila mi naomba nirudi kwenye mada yangu ya kwanza ambapo nasema hii website is not about Bumbuli but about January Makamba. Je unakubali hilo? Sababu:
1. Iko kwa jina lake na siyo bumbuli.org au kitu kama hicho
2. Opening page ni kuhusu yeye, picha zake, wasifu wake ( the leader.. the father.. etc)
3. Mission ya website imeandikwa nia yake ya kuwa mbunge. Hebu cheki alafu lugha iliyotumika, "
Even before this idea of running for parliament came up, I have been contemplating for quite some time and was leaning towards a decision that, after my boss's (President Jakaya Kikwete's) re-election in October, I should probably move on and explore other challenges. What is more of a challenge than representing the voices of some of the poorest people in our country?
Jamani kama angekuwa smart na alikuwa mwandishi wa rais hawezi kuandika kwa lugha nyepesi hivi nia na malengo yake ya kuwa mbunge.

So hii website haihusu Bumbuli, inachosema ni kuwa ye kama mbunge anatafuta watu waje wawekeze KUPITIA YEYE.. ye ndo atakuwa coordinator na ndo atapokea pesa zote kwa niaba ya wananchi au siyo? Kwa hiyo ni lazima ajionyeshe kuwa ndo tumaini pekee la BUmbuli na all investors waonane nae, si mwingine.. Its all about him na kujinufaisha narudia tena.

Sasa unasema mi ni hater lakini tunatoa mawazo yetu. Kama mheshimiwa hakutaka kupata mawazo basi kulikuwa hakuna haja ya kui-promote website hapa, kwani hatuko hapa kusifia tu.
BTW huyu dogo tuna data zake tukianza kuzianika utaweza kuona vizuri kwa nini tumemsoma siku nyingi nia na malengo yake .. na believe me he does not have the interest of Bumbuli at his heart. I rest my case.
 
Sasa ni kitu gani kilikuzuia kuleta hoja at the first place? Matusi hayafai mkuu!
Section kuhusu Bumbuli is well and good pamoja na kuwa ni copy and paste tu nothing creative, ila sijaona bado hiyo Development Cooperation itafanyaje kazi - it is again the rich and educated going to take advantage of the poor?

Ila mi naomba nirudi kwenye mada yangu ya kwanza ambapo nasema hii website is not about Bumbuli but about January Makamba. Je unakubali hilo? Sababu:
1. Iko kwa jina lake na siyo bumbuli.org au kitu kama hicho
2. Opening page ni kuhusu yeye, picha zake, wasifu wake ( the leader.. the father.. etc)
3. Mission ya website imeandikwa nia yake ya kuwa mbunge. Hebu cheki alafu lugha iliyotumika, "

Jamani kama angekuwa smart na alikuwa mwandishi wa rais hawezi kuandika kwa lugha nyepesi hivi nia na malengo yake ya kuwa mbunge.

So hii website haihusu Bumbuli, inachosema ni kuwa ye kama mbunge anatafuta watu waje wawekeze KUPITIA YEYE.. ye ndo atakuwa coordinator na ndo atapokea pesa zote kwa niaba ya wananchi au siyo? Kwa hiyo ni lazima ajionyeshe kuwa ndo tumaini pekee la BUmbuli na all investors waonane nae, si mwingine.. Its all about him na kujinufaisha narudia tena.

Sasa unasema mi ni hater lakini tunatoa mawazo yetu. Kama mheshimiwa hakutaka kupata mawazo basi kulikuwa hakuna haja ya kui-promote website hapa, kwani hatuko hapa kusifia tu.
BTW huyu dogo tuna data zake tukianza kuzianika utaweza kuona vizuri kwa nini tumemsoma siku nyingi nia na malengo yake .. na believe me he does not have the interest of Bumbuli at his heart. I rest my case.

Tukubaliane kutokubaliana.
 
January amesema ataiweka pia kwa lugha ya kiswahili,jamani website ni nzuri na ndo kwanza imefunguliwa,zaidi ameruhusu opinion za kuiboresha.lakini pia,watu wangapi wa Bumbuli wana umeme na wana access na internet ??????Big Up January,thats a good website and a great story.Wabunge wengine pia wafanye hivyo ili tuweze kujua activity zao na kufanya nao discussions...........

Hapana sijui leo kuna nini .. mbona warembo wote wa JF mko hivyo??:rain:
 
jamaa amejitahidi na kama livyosema bado ipo marekebishoni........ataweka na kiswahili pia, shake of the haters............
kizungu sawa hakina mtiririko mzuri na hakivutii kusoma kinaboa kidogo maana, 'I' ni nyingi mno hana mtirirko mzuri wa kusimulia lakini alichoeleza hivyo hivyo tumuelewa. msisahau background yake ya elimu ya msingi jamani.....it affects the ability ya yeye kuongea english ya dictionary mnayoitaka nyie.
website ya Mo imeenda shule ...........nimeipenda kweli www.mohammeddewji.com
 
Hey ya"ll

Aisee tuweke majungu pembeni really talk----Check it out for Ndugu January Makamba New website Mbunge wa Bumbuli.You got to know who January is in person.This dude is my role model I am going be just like him when i grow up....

This is
"My story"....Don't judge the book by its cover you got to read it--right?...so i edge you to check it out without judging.

I was born on 28 January 1974 to a young, polite and beautiful nursing course trainee and a very vibrant, loud and charming local government functionary (Katibu Tarafa): Josephine and Yusuf. Few months after my birth, my father was promoted to become a District Commissioner in Tanga. After three years, my mother went for further studies and my father went to join the military for Officer Cadet course in Tanzania Military Academy in Monduli. Me and my little brother were shipped to our village Mahezangulu, Lushoto, and later to our maternal grandmother who was living alone (my mother is a sole child and my grandma was widowed early) in a village around Kyaka – now Missenyi District – about 20 kilometres between the border of Uganda and Tanzania. After a year, Idi Amin invaded Tanzania and the Ugandan army occupied areas around our village: my grandma, my brother and I became refugees in displaced persons camp in areas further back from the border. Our mother made attempts to come get us but roads were closed around Biharamulo and people were not allowed to travel to the "war zone". When the full war between Tanzania and Uganda broke out in 1978, my father, as an energetic new army lieutenant, was assigned to the frontlines – and therefore could not assist in getting us out of the refugees camp, until one day when he showed up in dirty uniforms soaked with rain commandeering an empty bus and got us permit to travel back to safe zone and reunite with our mother.
continue reading "My story" about Ndugu Makamba here January Makamba.com


cheers
xoxo
BM

sasa cha kushangilia kipi? mtu kuandika historia yake?
 
okay hapa tatizo ni nini haswa mbona nashindwa kuelewa ni JM kuanzisha website au JM kuandika hii website kwa kingereza?....
 
okay hapa tatizo ni nini haswa mbona nashindwa kuelewa ni JM kuanzisha website au JM kuandika hii website kwa kingereza?....
Tatizo hapa ni ubunge wa kununua na baada ya hapo kutaka kuufanya umaskini wa wana-Bumbuli kuwa mtaji wa kujikweza kisiasa na kijamii. Tujadili kuanzia hapo tafadhali.
 
Tatizo hapa ni ubunge wa kununua na baada ya hapo kutaka kuufanya umaskini wa wana-Bumbuli kuwa mtaji wa kujikweza kisiasa na kijamii. Tujadili kuanzia hapo tafadhali.


Abdulhalim,

Mimi sina tatizo na January Makamba. Nina matatizo ya wanasiasa vijana katika vyama vyote vya siasa ambao hawana experience ya kazi. Na ambao hawana track record ya mafanikio. Tusipoangalia itafikia miaka mia moja ya uhuru na nchi itakuwa inaendeshwa na watu wasio na mafanikio yoyote.
 
Abdulhalim,

Mimi sina tatizo na January Makamba. Nina matatizo ya wanasiasa vijana katika vyama vyote vya siasa ambao hawana experience ya kazi. Na ambao hawana track record ya mafanikio. Tusipoangalia itafikia miaka mia moja ya uhuru na nchi itakuwa inaendeshwa na watu wasio na mafanikio yoyote.

Kaka wa 'Mtoni'

Hapa tunajadili kuhusu performance na track record zipi? maana siasa za Tz ni makundi sio mtu mmojammoja.
 
Back
Top Bottom