Ndugai siyo Mahakama kuwa inahitaji ushahidi kama alivyodai. Yeye anachotakiwa kuthibitisha ni kuwa barua aliyopokea imetokea Chadema na kufuata sheria an kanuni na taratibu za kuandika barua hiyo eg Imetolewa na Katibu Mkuu, ameisaini, ina mihuri ya chama (Kama mihuri unahitajika)etc. Akijiridhisha na hiyo, the issue is home and dry.
He has to act on it accordingly. Kama wahusika hawakuridhika wanakata rufani ndiyo wata raise issues za Katiba, taratibu, za CHADEMA kutofuatwa. Sio Ndugai kudai hayo.
After all Katiba ya ya TZ kumfukuza mtu ubunge haina vipengele vya Ndugai alivyovisema
He has to act on it accordingly. Kama wahusika hawakuridhika wanakata rufani ndiyo wata raise issues za Katiba, taratibu, za CHADEMA kutofuatwa. Sio Ndugai kudai hayo.
After all Katiba ya ya TZ kumfukuza mtu ubunge haina vipengele vya Ndugai alivyovisema