Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 29,760
- 26,353
Huyu Lisu hajielewi.
Sawa kamanda we mwite kichaa lakini wananchi tunamwita punguwanii..lakini hatuna budi ulimwengu kupata ukweli wa Mambo kwa sababu ukiyakalia kimyaaa mwisho wa siku uongo unageuka kuwa ukweli na inakuwa kazi Sana kuufuta..na kuaminisha watu kwamba ulikuwa uongo .you must know this...hata wewe jomba nyumbani kwako, ukiwa kila siku watu wanasema umetembea na mke wa mtu, unanyamaza tu hujibu ukweli unaoujua, leo, kesho, Keshokutwa n.k watu wataamini. Ni Nani ataweza ku prove them wrong..be carefulSijaona kiongozi empty set kama Spika wa bakora.
Sio lazima kila hoja kuijibu. Ni sawa na kushindana na kichaa. Akichukua nguo zako wakati unaoga mtoni ukimkimbiza wewe ndie kichaa..
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo pesa alikopa, lakini kuna udanganyifu mwingi ndio sababu atatakiwa kurudisha zile ambazo either alikopa au sio halali. Hawa wabunge wetu bwana wana matatizo makubwa ni sawa na Kiongozi wa Chadema EM ambaye amefanya ruzuku ya chama ni mali yake binafsi.
So what Kama hukubaliani nae..kwa hiyo ukitaka afiche ukweli asiongee in public..hahahaha jomba tuambie unadhania vipi kwaniMaelezo haya yalipaswa kumwondoa spika kwenye kiti chake, binafsi sikubaliani Na ndugai.
Sipika anaumwa full stop watu kama hawa ndio Corona ilitakiwa kuwamalizia
Wakikujibu hilo watakuwa walipitia jandoni,ila wakikwepa tutakuwa tumethibitisha kuwa ni Layok...kwanini bunge lilimlipa TL posho ya dereva, na posho ya jimbo, etc wakati inajulikana hayupo nchini?
..hiyo inaonyesha jinsi Spika na ofisi yake wasivyo makini ktk kusimamia matumizi ya fedha za umma.
Hahaha jomba uzembe uko wapi Kama Lissu mwenyewe alidanganya mahesabu ya malipo..anadai alikuwa na dereva jimboni wakati yupo Ubelgiji hahaha.. badala ya kusema Lissuu aje ashtakiwe kwa kosa la wizi wa kuaminiwa na utakatishaji fedha we unasema Nini..kwa matatizo yooote haya walahi huyo jamaa hatarudi TZ..ni kibaka wa kutupwa nadhani Kama haya madudu ni yake..Basi sisemi mengi..spika ameeleza kuna fedha TL alikopa.
..pia kuna fedha kama posho ya jimbo, na mshahara wa dereva ambazo hakutakiwa kulipwa, lakini Spika anakiri kumlipa.
..Spika na ofisi yake wana matatizo na wameonyesha uzembe mkubwa.
Hizo pesa alikopa, lakini kuna udanganyifu mwingi ndio sababu atatakiwa kurudisha zile ambazo either alikopa au sio halali. Hawa wabunge wetu bwana wana matatizo makubwa ni sawa na Kiongozi wa Chadema EM ambaye amefanya ruzuku ya chama ni mali yake binafsi.
Hahaha jomba uzembe uko wapi Kama Lissu mwenyewe alidanganya mahesabu ya malipo..anadai alikuwa na dereva jimboni wakati yupo Ubelgiji hahaha.. badala ya kusema Lissuu aje ashtakiwe kwa kosa la wizi wa kuaminiwa na utakatishaji fedha we unasema Nini..kwa matatizo yooote haya walahi huyo jamaa hatarudi TZ..ni kibaka wa kutupwa nadhani Kama haya madudu ni yake..Basi sisemi mengi
Sasa Jombaa unasemaje kichaa wanguu???????????Sawa kamanda we mwite kichaa lakini wananchi tunamwita punguwanii..lakini hatuna budi ulimwengu kupata ukweli wa Mambo kwa sababu ukiyakalia kimyaaa mwisho wa siku uongo unageuka kuwa ukweli na inakuwa kazi Sana kuufuta..na kuaminisha watu kwamba ulikuwa uongo .you must know this...hata wewe jomba nyumbani kwako, ukiwa kila siku watu wanasema umetembea na mke wa mtu, unanyamaza tu hujibu ukweli unaoujua, leo, kesho, Keshokutwa n.k watu wataamini. Ni Nani ataweza ku prove them wrong..be careful
Hahaha jomba uzembe uko wapi Kama Lissu mwenyewe alidanganya mahesabu ya malipo..anadai alikuwa na dereva jimboni wakati yupo Ubelgiji hahaha.. badala ya kusema Lissuu aje ashtakiwe kwa kosa la wizi wa kuaminiwa na utakatishaji fedha we unasema Nini..kwa matatizo yooote haya walahi huyo jamaa hatarudi TZ..ni kibaka wa kutupwa nadhani Kama haya madudu ni yake..Basi sisemi mengi
Kuna Mbunge hadaiwi?
Je atarudisha, hizi pesa alizokuwa anadai kama mkopo kutoka kwenye Bunge?
Tundu Lissu anadai bunge fedha nyingi sana. Kisheria alitakiwa kulipiwa matibabu na matunzo. Ndiyo maana wanapiga danadana kupanga tarehe ya kusikiliza rufaa yakeHahaha jomba uzembe uko wapi Kama Lissu mwenyewe alidanganya mahesabu ya malipo..anadai alikuwa na dereva jimboni wakati yupo Ubelgiji hahaha.. badala ya kusema Lissuu aje ashtakiwe kwa kosa la wizi wa kuaminiwa na utakatishaji fedha we unasema Nini..kwa matatizo yooote haya walahi huyo jamaa hatarudi TZ..ni kibaka wa kutupwa nadhani Kama haya madudu ni yake..Basi sisemi mengi
Huo ndo u juha na matumizi mabaya ya ofisi unawezaje kumlipa mshahara mfanyakazi akiwa hayupo?Wabunge hawalipwi kwa taslimu. Ofisi ya bunge ina akaunti za kulipa mishahara na posho zote za ubunge. Hata kama hajulikani alipo, malipo yatafanywa.
Bank inalipa watu hewa siku hizi? Lissu si hajulikani alipo? Analipwaje mtumishi hewa?Hopeless kweli wewe unafikiri bado kuna malipo ya mkononi siku hizo yaani cash hasa mishahara na marupurupu? Mkuu watu wanalipwa through your Bank Account
Hivyo bado nitawachapa bakora hadi mkome na majungu yenu yasiyo na mbele wala nyuma. Khee khee khee khee kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee mmekalia umbeya tu kazi hamna. Mtanyooka tu!Zipo tetesi kwamba huyu anayejiita Wacha1 ndiye mtembeza bakora mwenyewe. Tetezi hizo zinaendelea kudai kwamba wakati mtembeza bakora anatumwa India na kutumbua mabilioni ya walipa kodi kwa matibabu ya ugonjwa usiojulikana, Wacha1 alipotea kabisa mtandaoni na hata humu JF alikuwa haonekani.
Ikitokea kuwa tetesi hizi si za kweli, nauomba radhi uongozi wa JF na wote ambao tetesi hii imewafedhehesha. Mimi ni mjumbe tu na kwa kawaida mjumbe hauwawi. Hata hivyo kauli za Wacha1 na lugha zake za kibabe zote zinaashiria kwamba yawezekana kuna uhusiano fulani kati yake na huyo mtembeza bakora.