Halaiser
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 4,005
- 6,314
Hata hivyo nina mashaka nae.Sipika anaumwa full stop watu kama hawa ndio Corona ilitakiwa kuwamalizia
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata hivyo nina mashaka nae.Sipika anaumwa full stop watu kama hawa ndio Corona ilitakiwa kuwamalizia
Sijaona kiongozi empty set kama Spika wa bakora.
Sio lazima kila hoja kuijibu. Ni sawa na kushindana na kichaa. Akichukua nguo zako wakati unaoga mtoni ukimkimbiza wewe ndie kichaa..
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe yawezekana ni kweli! Mbona huu ni ushahidi tosha? Haya magonjwa yasiyojulikana ya tabu kweli kweli kwani yanaharibu bongo. Naona itabidi mtu atumwe tena India...safari hii sijui atatafuna mabilioni mangapi!Hivyo bado nitawachapa bakora hadi mkome na majungu yenu yasiyo na mbele wala nyuma. Khee khee khee khee kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee mmekalia umbeya tu kazi hamna. Mtanyooka tu!
Koment ya kibavicha hii.Ukimwi umeharibu FUVU la ndugai
Kwa kweli watu wa aina hii wanatia hasira.jinai haifutiki,hata kama 2030 nitawashtaki tu
Ndugai ni mgojwa wa akili asiwapotezee mda kujadili utahila wake.Spika wa Bunge la JMT mh Jobu Ndugai leo jioni hii akiahirisha Bunge baada ya kupitishwa kwa bajeti ya ofisi ya waziri mkuu amemjibu mh Lissu.
Ameanza kwa kutaja kuwa ameona malalamiko ya LISSU mtandaoni akithibisha kuwa bado analidai Bunge.
Ndugai akiwa kashika nyaraka nakuthibitisha kuwa mh Lissu hadai hata senti moja na kuwa posho mishahara yake yote amelipwa.
Pamoja na hayo pia ameliambia Bunge kuwa zaidi anadaiwa mil 70. Zaidi ya yote kaenda mbali zaidi kuna posho kama ya kutembelea jimbo na mshahara wa dereva kwa kipindi akiwa hayupo nchini nazo kalipwa zaidi ya mil 300.
Ameahidi kutoa data zaidi ikiwa Lissu ataendelea kuongea ongea.
Chanzi: TBC
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa Akili ya tu ya mtoto wa chekechea unafikiri ruzuku ingeliwa huyo aliyekula si angeozea jela? Kama Biashara zao halali zinaharibiwa kwa hili wangeteswa zaidiHizo pesa alikopa, lakini kuna udanganyifu mwingi ndio sababu atatakiwa kurudisha zile ambazo either alikopa au sio halali. Hawa wabunge wetu bwana wana matatizo makubwa ni sawa na Kiongozi wa Chadema EM ambaye amefanya ruzuku ya chama ni mali yake binafsi.
Jipeni Moyo...anarudi BASHA wenu andaeni vijambio hivyoLissu Kaishiwa
Watu tulisha msahau
Anatafuta njia ya kusikika kama yupo
Ndugai achana na Msaliti
Ww unaemponda pia una ngapi?Nyie pigeni kelele huku mwenzenu ana mil 300 wewe unaemtetea sijui hata unangapi..?
Jamani tutafute hela alasivyo hizo million mia na Kenda tutaendelea kuzisikia..
Kumbuka risasi zenu zilimlenga afe....lakini bado yupo hai mwana wa Jehova. Ni aibu na ushetani wa juu sana kumtakia mwenzio mauti. Mwisho kama upo apa pia utaenda kunako takiwa. MUNGU APEWI RUSHWA