Ndugai aelezea kwanini alimwita Mdee 'kituko'

Nyakageni

JF-Expert Member
Feb 1, 2011
15,045
5,092
katika kipindi cha Tuongee Asubuhi cha Star Tv leo akijibu swali nililouliza na kurudiwa na Uswe wa jF alijibu, 'Mdee alionesha dharau na kubinua vidole'

my take:
ungeomba radhi ingekuwa bora kuliko kumtusi. Na utetezi ni kujikosha tu kwani tuliona Live na pia hata body language yake na yako na pia wageni wa studio akina Lissu na Machali imeonesha kuwa unadanganya.

Ukweli utabaki kuwa unachukia upinzani na ndo maana hata umekosa uvumilivu katika studio za Star Tv leo
 
hebu tujiulize watanzania. Mtu akikunyooshea kidole kimoja cha shahada huwa inamaanisha nini? Binafsi huwa ninaona ishara hiyo hutolewa na mtu akikasirika kwa maana ya kumtukana. Kuna tofauti gani na kusema "wewe unatiwa nini? au "wewe unakazwa nini?", au "wewe unafanywa nini?",. Hivi ukiambiwa hivi utahangaika kujiuliza kutiwa ni nini, maana kwenye dictonary kutiwa au kukazwa au kufanywa hakuonyeshi kwamba ni tusi.

Sasa hayo ni maneno, zipo na ishara, tena nyingi tu. Hebu tujiulize watanzania. Mtu akikunyooshea kidole kimoja cha shahada huwa inamaanisha nini? Binafsi huwa ninaona ishara hiyo hutolewa na mtu akikasirika kwa maana ya kumtukana. Kuna tofauti gani na kusema "wewe unatiwa nini?".

Ukweli Halima Mdee alifanya kitendo sawa na yule Mwenyekiti Mabumba aliyemwambia John Mnyika "Hivi unawashwa nini?"

Nakumbuka kuna wakati hapa nchini Hadija Kopa na Nasma walitunga taarabu iliyoleta sokomoko kwa wimbo usemao "wadudu wananyemvuanyemvua". Ndiyo yaleyale.

tatizo siku hiyo TV zote za Bunge zilikuwa zinamuonyesha Job Ndugai aliyekuwa amesimama anajibu swali hivyo hazikuwa zimemlenga Halima Mdee, kama jinsi kwenye fainali za kombe la dunia za Mwaka 2006 ambapo TV hazikumuonyesha Zinedine Zidane wakati anampiga kichwa Materazi na isingekuwa kutorudiwa kwa TV (replay) nbasi tusingeona alivyomtwanga kichwa.

Lakini katika kujitetea Zinedine pia alijitetea kama Job Ndugai kwamba alitukanwa matusi ambayo yalisikika kwa waliomo uwanjani tu na TV zisingeweza kuona au kusikia.

Hiyo inaitwa "Provoking".

Nina uzoefu binafsi hata kwenye magovmi ya familia, mtu huwezi kuja kuniambia kwamba fulani kamuua ndugu yake kwa ugomvi wa shilingi moja. Lazima nichunguze jambo kubwa lililojificha nyuma yake. Maana provoker hupenda kutumia public kama silaha yake kwa sababu sisi public hatukujua nini kilitokea nyuma ya pazia.

Lakini provoker naye hufanya hivyo akijua kwamba jamii inayomzunguka ni mazuzu ambayo hayatajikita kutafuta ukweli wa chanzo.

Jiulizeni, ni nini historia ya Halima Mdee kulingana na maadili? Je, kesi yake aliyoshitakiwa na James Mbatia ilikuwa na msingi gani? Je, haukuwa msingi wa matusi?

Je, kwa nini Halima Mdee huyohuyo na kwa Naibu Spika huyohuyo mwaka jana aliambiwa neno kubwa zaidi kwamba "Bungeni si mahala pa kuvutia bangi?" .

Ukweli Halima Mdee alifanya kitendo sawa na yule Mwenyekiti Mabumba aliyemwambia John Mnyika "Hivi unawashwa nini?"

Nakumbuka kuna wakati hapa nchini Hadija Kopa na Nasma walitunga taarabu iliyoleta sokomoko kwa wimbo usemao "wadudu wananyemvuanyemvua". Ndiyo yaleyale.

tatizo siku hiyo TV zote za Bunge zilikuwa zinamuonyesha Job Ndugai aliyekuwa amesimama anajibu swali hivyo hazikuwa zimemlenga Halima Mdee, kama jinsi kwenye fainali za kombe la dunia za Mwaka 2006 ambapo TV hazikumuonyesha Zinedine Zidane wakati anampiga kichwa Materazi na isingekuwa kutorudiwa kwa TV (replay) nbasi tusingeona alivyomtwanga kichwa.

Lakini katika kujitetea Zinedine pia alijitetea kama Job Ndugai kwamba alitukanwa matusi ambayo yalisikika kwa waliomo uwanjani tu na TV zisingeweza kuona au kusikia.

Nakumbuka mwaka 1993 wachezaji wa Simba waliwahi kupigwa huko Sudan mwaka 1993 baada ya John Nteze kufunga goli la ushindi kuishinda El-Mereikh ya huko kwenye kombe la CECAFA. Simba walishangilia goli kwa kuwazomea washabiki wa Sudan kwa kuwanyooshea vidole kama Halima Mdee alivyofanya. Washabiki wa Sudan hawakulivumilia hili, wakakasirika wakaingia uwanjani wakaingia uwanja wakawapiga wachezaji wa Simba na mechi ikavunjika na Simba haikuingia fainali.

Hiyo inaitwa "Provoking".

Nina uzoefu binafsi hata kwenye magovmi ya familia, mtu huwezi kuja kuniambia kwamba fulani kamuua ndugu yake kwa ugomvi wa shilingi moja. Lazima nichunguze jambo kubwa lililojificha nyuma yake. Maana provoker hupenda kutumia public kama silaha yake kwa sababu sisi public hatukujua nini kilitokea nyuma ya pazia.

Lakini provoker naye hufanya hivyo akijua kwamba jamii inayomzunguka ni mazuzu ambayo hayatajikita kutafuta ukweli wa chanzo.

Jiulizeni, ni nini historia ya Halima Mdee kulingana na maadili? Je, kesi yake aliyoshitakiwa na James Mbatia ilikuwa na msingi gani? Je, haukuwa msingi wa matusi toka mdomoni mwa Halima Mdee?

Je, kwa nini Halima Mdee huyohuyo na kwa Naibu Spika huyohuyo mwaka jana aliambiwa neno kubwa zaidi kwamba "Bungeni si mahala pa kuvutia bangi?" .

Tuache utani. Siwapendi CCM lakini tunaweza kuwaondoa CCM bila kuwatukana hata tusi moja.
 
hebu tujiulize watanzania. Mtu akikunyooshea kidole kimoja cha shahada huwa inamaanisha nini? Binafsi huwa ninaona ishara hiyo hutolewa na mtu akikasirika kwa maana ya kumtukana.

Kuna tofauti gani na kusema "wewe unatiwa nini?".

Ukweli Halima Mdee alifanya kitendo sawa na yule Mwenyekiti Mabumba aliyemwambia John Mnyika "Hivi unawashwa nini?"

Nakumbuka kuna wakati hapa nchini Hadija Kopa na Nasma walitunga taarabu iliyoleta sokomoko kwa wimbo usemao "wadudu wananyemvuanyemvua". Ndiyo yaleyale.

tatizo siku hiyo TV zote za Bunge zilikuwa zinamuonyesha Job Ndugai aliyekuwa amesimama anajibu swali hivyo hazikuwa zimemlenga Halima Mdee, kama jinsi kwenye fainali za kombe la dunia za Mwaka 2006 ambapo TV hazikumuonyesha Zinedine Zidane wakati anampiga kichwa Materazi na isingekuwa kutorudiwa kwa TV (replay) nbasi tusingeona alivyomtwanga kichwa.

Lakini katika kujitetea Zinedine pia alijitetea kama Job Ndugai kwamba alitukanwa matusi ambayo yalisikika kwa waliomo uwanjani tu na TV zisingeweza kuona au kusikia.

Hiyo inaitwa "Provoking".

Nina uzoefu binafsi hata kwenye magovmi ya familia, mtu huwezi kuja kuniambia kwamba fulani kamuua ndugu yake kwa ugomvi wa shilingi moja. Lazima nichunguze jambo kubwa lililojificha nyuma yake. Maana provoker hupenda kutumia public kama silaha yake kwa sababu sisi public hatukujua nini kilitokea nyuma ya pazia.

Lakini provoker naye hufanya hivyo akijua kwamba jamii inayomzunguka ni mazuzu ambayo hayatajikita kutafuta ukweli wa chanzo.

Jiulizeni, ni nini historia ya Halima Mdee kulingana na maadili? Je, kesi yake aliyoshitakiwa na James Mbatia ilikuwa na msingi gani? Je, haukuwa msingi wa matusi?

Je, kwa nini Halima Mdee huyohuyo na kwa Naibu Spika huyohuyo mwaka jana aliambiwa neno kubwa zaidi kwamba "Bungeni si mahala pa kuvutia bangi?" .

Tuache utani. Siwapendi CCM lakini tunaweza kuwaondoa CCM bila kuwatukana hata tusi moja.

dole la kati ndo tusi,,,,,,,,kuna mchezaj aliwah kuadhibiwa kwa kuonyesha kidole cha kati,,,,,,,cha shahada c tusi
 
katika kipindi cha Tuongee Asubuhi cha Star Tv leo akijibu swali nililouliza na kurudiwa na Uswe wa jF alijibu, 'Mdee alionesha dharau na kubinua vidole'

my take:
ungeomba radhi ingekuwa bora kuliko kumtusi. Na utetezi ni kujikosha tu kwani tuliona Live na pia hata body language yake na yako na pia wageni wa studio akina Lissu na Machali imeonesha kuwa unadanganya.

Ukweli utabaki kuwa unachukia upinzani na ndo maana hata umekosa uvumilivu katika studio za Star Tv leo

pale ndio inaonesha uhalisia wa kiongozi, was very tricky to him, ni afadhali angekwepa kujibu
 
katika kipindi cha Tuongee Asubuhi cha Star Tv leo akijibu swali nililouliza na kurudiwa na Uswe wa jF alijibu, 'Mdee alionesha dharau na kubinua vidole'

my take:
ungeomba radhi ingekuwa bora kuliko kumtusi. Na utetezi ni kujikosha tu kwani tuliona Live na pia hata body language yake na yako na pia wageni wa studio akina Lissu na Machali imeonesha kuwa unadanganya.

Ukweli utabaki kuwa unachukia upinzani na ndo maana hata umekosa uvumilivu katika studio za Star Tv leo

ukiona mtu anatumia kauli za 'unawashwawashwa', 'kituko', ujuwe ameishiwa hoja, na sasa anajaribu kushambulia saikolojia, kitu ambacho huwa hakifanikiwi, hasa kama anayeshambuliwa ni strong. sina shaka na uimara(kifikra) wa John na Halima na Watanzania kwa wingi wao.
 

pale ndio inaonesha uhalisia wa kiongozi, was very tricky to him, ni afadhali angekwepa kujibu

kabisa mkuu! Kazidi kujichafua na hata ile introduction yake ilionesha kuwa he did it deliberately.
 
ukiona mtu anatumia kauli za 'unawashwawashwa', 'kituko', ujuwe ameishiwa hoja, na sasa anajaribu kushambulia saikolojia, kitu ambacho huwa hakifanikiwi, hasa kama anayeshambuliwa ni strong. sina shaka na uimara(kifikra) wa John na Halima na Watanzania kwa wingi wao.

Mdee yuko strong sana na ni mtoto wa mjini. Hawezi kum win kwa njia hiyo. Makinda mwenyewe kapoteza umaarufu kwa ku attack upinzani hasa Mdee
 
kabisa mkuu! Kazidi kujichafua na hata ile introduction yake ilionesha kuwa he did it deliberately.

it wasn't deliberate, but Ndugai won't say that kwa sababu tutamwambia aombe radhi/afute kauli.

alikua provoked (according to him) and his anger got the better off him
, he acted out on impulse, without self-thought. . . but he will never accept kwamba he actually acted bila kufikiri
 

it wasn't deliberate, but Ndugai won't say that kwa sababu tutamwambia aombe radhi/afute kauli.

alikua provoked (according to him) and his anger got the better off him
, he acted out on impulse, without self-thought. . . but he will never accept kwamba he actually acted bila kufikiri

Uswe, his body language depicts everything even a 'cold smile' from both Lissu 'chief whip' and Machali shows that he was displacing the truth to defend his personality.
 
Hekima inaniambia kuwa kiongozi mzuri na mwenye maadili mema hastahili kujibu mapigo kwa njia ya matusi au mashambulizi ya kutoa lugha ya maudhi hata kama anaona kudharauliwa. Kuna kiongozi wa karne mmoja maarufu sana (Yesu). Alipotukanwa na watu hadharani, alisema, "baba uwasamehe maana hawajui watendalo". Maneno haya yamejaa maadili ya uongozi wenye uvumilivu na upendo. Ndugai ameonekana kutokidhi sifa ya kiongozi bora maana amejaa chuki na ubinafsi. Namshauri atafute na kusoma kitabu kiitwacho - Jesus the CEO kinaweza kumsaidia kama anataka kuwa kiongozi wa mfano.
 
tatizo siku hiyo TV zote za Bunge zilikuwa zinamuonyesha Job Ndugai aliyekuwa amesimama anajibu swali hivyo hazikuwa zimemlenga Halima Mdee,
Mkuu, sikujua kama na wewe ni Mheshimiwa Mbunge, na ulikuwemo mjengoni na ukamuona Halima 'akibinua vidole'. Au wewe ni miongoni mwa wale askari waliomtoa nje Machali?
 
Kama kiongozi, hasa wa bunge, he is responsible to act accordingly whether provoked or not! Na kuongelea provocation iliyotokea badala ya kukiri kuwa he acted unprofessionally, that makes him really unprofessional. Sorry, nasahau hakuna kitu kama professionalism kwenye gutter politics.
 
Back
Top Bottom