Nyakageni
JF-Expert Member
- Feb 1, 2011
- 15,045
- 5,092
katika kipindi cha Tuongee Asubuhi cha Star Tv leo akijibu swali nililouliza na kurudiwa na Uswe wa jF alijibu, 'Mdee alionesha dharau na kubinua vidole'
my take:
ungeomba radhi ingekuwa bora kuliko kumtusi. Na utetezi ni kujikosha tu kwani tuliona Live na pia hata body language yake na yako na pia wageni wa studio akina Lissu na Machali imeonesha kuwa unadanganya.
Ukweli utabaki kuwa unachukia upinzani na ndo maana hata umekosa uvumilivu katika studio za Star Tv leo
my take:
ungeomba radhi ingekuwa bora kuliko kumtusi. Na utetezi ni kujikosha tu kwani tuliona Live na pia hata body language yake na yako na pia wageni wa studio akina Lissu na Machali imeonesha kuwa unadanganya.
Ukweli utabaki kuwa unachukia upinzani na ndo maana hata umekosa uvumilivu katika studio za Star Tv leo