Ndugai aelezea kwanini alimwita Mdee 'kituko'

Kama kiongozi, hasa wa bunge, he is responsible to act accordingly whether provoked or not! Na kuongelea provocation iliyotokea badala ya kukiri kuwa he acted unprofessionally, that makes him really unprofessional. Sorry, nasahau hakuna kitu kama professionalism kwenye gutter politics.
yaani yule mzee aliniacha nimeduwaa kuliko maelezo, pwehhh wote pale mbele wanafanya mambo bila kufikiria kabisa, cjaona mwenye afadhali hata 1....na kauli zao za cku hizi za unatafuta umaarufu, unataka nikutoe nje upate umaarufu...pweeeh m2 kama Halima,Lissu watake umaarufu wa nn tena wakati wameshakuwa maarufu kitambo? au hao wa pale mbele wa msimu huu ndio wamewajua wakina Lissu kipindi hiki?.....wonders!
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom