OME123
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 1,498
- 605
kuna jamaa mmoja alipata ajali akavunjika mkono mmoja baada yakuona maisha mgum akaamua kwenda kujiua,akapanda juu ili ajtupe chini akiwa juu gafla akamuona mtu chini akiwa amekatika mikono yote anarukaruka kwa furaha akashuka kwenda kumuliza inakuaje auna mikono yote alafu una furahi jamaa akamjibu na furaha wapi wakati mwenzio ****** unawasha nashindwa kujikuna.