Flamegood
Senior Member
- Oct 27, 2018
- 129
- 293
Habari wanazengo?
Kama headline inavyosoma hapo kwa fasi ya juu. Usiku wa Leo mke wangu kaota amerudi nyumbani akiwa na mimba kama miezi miwili hivi kutoka lazini akakuta nyoka kitandani.
Nyoka huyo akamrukia shingoni na kumuuma. Je, kuna maana yoyote hapo. Naombeni mnisaidie kama kuna wataalamu wa ndoto mnitafsirie.
NB: Hatuna mtoto kwa sasa
Kama headline inavyosoma hapo kwa fasi ya juu. Usiku wa Leo mke wangu kaota amerudi nyumbani akiwa na mimba kama miezi miwili hivi kutoka lazini akakuta nyoka kitandani.
Nyoka huyo akamrukia shingoni na kumuuma. Je, kuna maana yoyote hapo. Naombeni mnisaidie kama kuna wataalamu wa ndoto mnitafsirie.
NB: Hatuna mtoto kwa sasa