ndio mkuu nshakata tamaa,Hahaha kwaio mkuu hilo ushalikatia tamaa ??
Mpaka sasa ushafikia wapi kwenye ndoto zako za kuchezea timu ya Taifa?Habari zenu wakuu ,
katika maisha kuna wakati unatamani kufanya jambo fulani na unakuwa na matumaini ipo siku utalifanikisha
Wapo wenye ndoto za kuwa na magari mazuri , nyumba za kifahari , kuwa maraisi au wanasiasa mashuhuri na mengineyo
Binafsi , ndoto yangu ya mchana natamani siku moja niwe mchezaji wa taifa star na niisaidie timu kuchukua kombe la dunia
Kwa upande wako, jambo gani ulikuwa na malengo nalo au kulitamani lakini kadri siku zinavyoenda unabaini kuwa kumbe zilikuwa ni ndoto zako tu za mchana ambazo hutarajii tena kuzitimiza ??
Hollywood na marvel wanawadanganya kwelikweliDaydream yangu inatisha kidogo.
I always fantasize about niwe terrorist, niwe na kikundi changu cha ugaidi cha wadada mashujaa. Halafu sasa tuwe na nguvu za ziada (supernatural power ) ambazo zinatusaidia tukio lolote tukilipanga litimie.
Halafu tumiliki silaha za moto na mishale. Niwe najua kutumia a bow and arrow ipasavyo. Halafu niwe ni gaidi ninayechukiwa na serekali au watu waonevu huku raia wa kawaida wananipenda wanaona kama mimi ni mtetezi wao.
Halafu tukio la kwanza naona nikiwaua kwa mishale watu wawili waliopo Tz wakiwa sehemu wanahutubia bla bla zao.
Daydream yangu inatisha kidogo.
I always fantasize about niwe terrorist, niwe na kikundi changu cha ugaidi cha wadada mashujaa. Halafu sasa tuwe na nguvu za ziada (supernatural power ) ambazo zinatusaidia tukio lolote tukilipanga litimie.
Halafu tumiliki silaha za moto na mishale. Niwe najua kutumia a bow and arrow ipasavyo. Halafu niwe ni gaidi ninayechukiwa na serekali au watu waonevu huku raia wa kawaida wananipenda wanaona kama mimi ni mtetezi wao.
Halafu tukio la kwanza naona nikiwaua kwa mishale watu wawili waliopo Tz wakiwa sehemu wanahutubia bla bla zao.
Ipo siku itatimia tuu.Mmhh, thank God ni day dream.
Ipo siku itatimia tuu.
Nitawapa shida mpaka mchanganyikiwe.
Natamani mtoto wangu wa kwanza aje awe wa kiume, sitaki aje a some sana hadi chuo kikuu, hapana kazi ni moja, miaka 12 academy school, nyao za gaucho, sheria za Mpira mambo muhimu ya awali ntanfundisha mwenye. Maana wakati anazaliza mahitaji yote vifaa atakuta viko tiyari.
Hii ndoto niliiotaga 2002 luckyline mbona sasa nachelewa.[emoji34][emoji34][emoji34][emoji34]
Wakati huo nilikuwa mdogo ndo Mara ya kwanza naona gaucho.Daaah yani io ingetimia saiv ligi ya uingereza tungekua na Watanzania wawili , samata na mwanao