Waganga na wachawi hawataki maendeleo ya watu. Hapo hawataki upate mume hivyo hukujia kwa njia ya ndoto na kukufungisha ndoa na majini, wao wanaita jini mahaba au subiani au Tiyara.
Kama wewe Ni Mkristo, Unapoota ndoto yeyote ya kuvalishwa Pete, ikemee Sana kwa jina lake Yesu.