TECHMAN
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 2,649
- 1,128
Mimi nijuavyo watu wote hawawezi kuwa na mawazo sawa milele, wewe subiri anguko kubwa la UKAWA! Tundu Lissu alituaminisha kuwa "hakuna ndoa ya waume wengi na haitakuwa" yaani CHADEMA vs CUF! All of a sudden tumeona hiyo ndoa tuliyoambiwa haiwezekani imewezekana bila kutoa ufafanuzi wa kauli zao za mwanzo! Hapa hakuna umoja wa dhati na wakikosa kile walichokuwa wakitafuta, yaani "Serikali 3/Nchi 3" watasambaratika kwa kuwa hawatakuwa na "Common Cause!"
soma vizuri niliacho andika, nimesema lengo moja, sijasema mawazo yanayofanana, hata ndani ya chama kimoja hawawezi kuwa na mawazo yanayo fanana. nani kakwambia kuwa ukawa ni umoja? huo ni ushirikiano kwa lengo maalum. Lengo likifikiwa au likashindwa kufikiwa ushirikiano ndo unafikia mwisho mpaka kuwe na lengo lingine la kusababisha kushirikiana kuendelee.