Yaani unathibitisha kuwa unatumia kilevi flan hivi nacho sasa naomna hakikuendei vyema. Nimetoa tusi gani katika andiko langu?? Una shida kubwa na unahitaji msaada wa Mungu tu.
Neno la Mungu wangu daima ni la kweli. Zaburi 14 : 1 Mpumbavu amesema moyoni mwake; Hakuna Mungu.
Hivyo wewe neno la Mungu linakuita "MPUMBAVU" sio mimi. And that is what yu are. Funny is it not?
Yaani upo very delusional sana!
Yaani dini imezingira ubongo wako mpaka imeziba ufikiri wako!
Unaaniandikia mahesabu "Zaburi 14:1" ndio madudu gani hayo?..Kitabu unakitambua wewe na unakiamini wewe,mimi sikitambui na wala siamini kilichoandikwa humo.
Hivi hujui kwenye hii dunia kuna wanadamu hawatambui upumbavu wowote wa hivo vitabu na dini yako unayojifanya by default wanadamu wote tunaijua na kuifatilia..such selfish creatures!
Mungu wako nae ni mpumbavu kama anageuka kutukana watu ni wapumbavu sababu tu hawamtambui.....jinga la ajabu kabisa!
Yaani ni jitu lenye wivu,haramia,lenye matusi,lenye hasira,lisilo na upendo wowote....Utatukanaje watu ambao it happens hawakutambui wala kukubali?Such a very sadistic and ignorant deity!
Mungu wenu ni mpumbavu mno ndio maana nyie wafuasi wake ni wajinga kupindukia....Mungu wako anatukana,halafu wewe unajifanya eti sijakutukana mimi ni neno la Mungu ndio limekuita Mpumbavu.....mijitu ya kuzunguka circles!
Nyie ni hypocrites wakubwa!
Mnang'ang'ania kila mtu duniani afate mnachoamini nyie,hicho kinaitwa Theocracy!...Ni some form of violence!You are all such violent people!
Mbuzi mee nyie na huyo Mungu wenu muandishi wa vitabu!