Ndolanga achezea kichapo msikitini

Ndolanga achezea kichapo msikitini

Status
Not open for further replies.
Jasiri haachi Asali, kwa hiyo Ndolanga wizi ni asili yake,hatoacha wizi wake ni mpaka kufa kwake.
 
Nasubiria kupata kupata taarifa ya matumizi ama matokeo ya uchangishaji huu wa mamilioni maana tumeona harambee kedekede htimayake ni kuvuana kanzu msikitini, sijasikia na sijaona matunda yake. Hata siku waislam walipotangaziwa kuzawadia majengo ya Tanesco moro kwa ajiri ya kuanzisha chuo kikuu waislam walichangishana mamilioni- matunda yake hayajaonekana bali wahadhiri kuendeshwa na kusimamiwa na wazee wa misikiti na ukihoji watimuliwa mara moja. Labda mwaka huu kutakuwa na badiliko. Ciao.
linashinda kwenye madirisha ya msikitini kutafuta umbea badala ya kwenda kuripoti mabilion yaliochangwa uwanja wa taifa. Diomond jublee kwenye kongamano inakimbia
 
hata hivyo wenye mazoea ya kudhulumu huwa hawaishiwi dhuluma, uenda alichota visivyo chotwa akachezea bakora, cha kushauri afanye hivyi, akitaka kwenda TFF avae Helmeti ya kichwa na kombati afanye hivyo hivyo kote alikofanya ufukunyuku wa kuliibia taifa
 
Mtandao wa Waislam Misikitini,wanadai Mahakama ya Kadhi,je wanaweza kugawana madaraka?
 
kama kweli kapunguza sifuri ni haki yake kudundwa.Nalog off
 
Nimejitahadi kufuatilia ili kujua kama kuna aliyefunguliwa mashitaka kwa shambulio la aibu ama la wizi au yote kwa pamoja nimegonga mwamba, nawauliza wana jf, je ni halali kufanya fujo kwenye nyumba ya ibada? au ni halali kuiba/kupoteza mali za waumini? ilikuaje Polisi hawakuri-arrest wakati taarifa zinaonyesha walifika kwenye eneo la tukio?
 
Ndolangakumbe bado yumo ktk uongozi kweli noma.kwaiyo wamempiga (njingo)ukimuuliza njingo ni nin?Anjua si wamkunya yule.msikitini kafuata ibada au mpango mzima.
 
ili watu ambao ni viongozi kuwa na nidhamu ni vizuri huu mtindo wa kuwapa kichapo papo hapo ukaendelea ili watafakari kabla ya kutenda jambo

yeep yaani ni papo
kwa hapo km pinda bungeni wachezee nakoz
ndo wajue tumeshachoshwa
na upuuz sie alaaaaaa
 
Nijuavyo mimi waandishi wa gazeti tajwa ni waislam, wewe unawakana kwakuwa ni nature yako kulalama...
linashinda kwenye madirisha ya msikitini kutafuta umbea badala ya kwenda kuripoti mabilion yaliochangwa uwanja wa taifa. Diomond jublee kwenye kongamano inakimbia
 
Mbona hajashitakiwa mtu yeyote kuhusiana na sakata hili? au sheria inaruhusu ndolanga kudundwa? wizi unaruhusiwa misikitini?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom