RAYHAN
Member
- May 12, 2013
- 21
- 9
wapendwa na ishi ktk mahusiano ya kinyumba na mwenzangu zaidi ya miaka saba,lakini kila nitakapo mwambia tuoane hataki na mpaka sasa anaendelea kusimama katika msimamo wake huo huo,(malengo yangu nikutimiza sheria za dini ili tuishi kwa amani zaidi).mnani shauri nini jamani?