yamekukuta?
Mimi nakumbuka niliamua kuoa jimama la kizungu ili nipate makaratasi, kuja kushtuka kumbe na lenyewe linataka makaratasi ya bongo
nb:
Makaratasi = makabrasha muhimu ya kumfanya mtu aishi nchi fulani kihalali
Hiviiii! JF Ndoa imekuwaje Ndoo ya kuchota UPENDO na kuupeleka nje. Hivi ndoa imekuwaje NDOANO ya kuteka maovu nje na kuleta ndani :mmph:
hahahaha! Sasa ikawaje mkuu
Nipo tu hapa mjini nabangaiza na jimama langu la Kitasha...ujiko niupatao ni kwa wanangu tu kuitwa Wazungu
Hizi ndoa hizi we acha kabisa..
Hiviiii! JF Ndoa imekuwaje Ndoo ya kuchota UPENDO na kuupeleka nje. Hivi ndoa imekuwaje NDOANO ya kuteka maovu nje na kuleta ndani :mmph:
Kwani mwenzetu vipi?Hiviiii! JF Ndoa imekuwaje Ndoo ya kuchota UPENDO na kuupeleka nje. Hivi ndoa imekuwaje NDOANO ya kuteka maovu nje na kuleta ndani :mmph:
ha haaa, angalau kuna kaujiko umaejipatia....Nipo tu hapa mjini nabangaiza na jimama langu la Kitasha...ujiko niupatao ni kwa wanangu tu kuitwa Wazungu
Hizi ndoa hizi we acha kabisa..
Nipo tu hapa mjini nabangaiza na jimama langu la Kitasha...ujiko niupatao ni kwa wanangu tu kuitwa Wazungu
Hizi ndoa hizi we acha kabisa..
ha haaa, angalau kuna kaujiko umaejipatia....
kuna wengine wanatoka kapa, lol!
Ebwanaaaaeee..! Kumbe una watoto watasha..!!
we acha tu....Hahaha mtani we acha tu...
Halafu kuna ndoa nyingine watu wa nje wanaishia tu kukupa sifa, "Mumeo handsome..." au "Mkeo mzuri..." kumbe hawajui hilo fukuto mlilo nalo ndani
watu8, niunganishie kwa shemeji yako mmojawapo basi. Ama na mashemeji washapata makaratasi ya bongo kwa mgongo wako?
Hiviiii! JF Ndoa imekuwaje Ndoo ya kuchota UPENDO na kuupeleka nje. Hivi ndoa imekuwaje NDOANO ya kuteka maovu nje na kuleta ndani :mmph:
Yamekukuta?
Mimi nakumbuka niliamua kuoa jimama la kizungu ili nipate makaratasi, kuja kushtuka kumbe na lenyewe linataka makaratasi ya Bongo
NB:
Makaratasi = makabrasha muhimu ya kumfanya mtu aishi nchi fulani kihalali