Ndoa

Ndoa

manock

Member
Joined
Nov 7, 2016
Posts
97
Reaction score
37
Ck hz mtt mdg anazaa mapema ndiomaana ndoa hazidumu hakiolewa /kuoa ana mtt nje hyo ndoa ina tabu kwel kwel.
 
Ck hz mtt mdg anazaa mapema ndiomaana ndoa hazidumu hakiolewa /kuoa ana mtt nje hyo ndoa ina tabu kwel kwel.
ni mapema gani unayoizungumzia mkuu...!?
mbona zamani pia walikuwa wanazaa na kuolewa mapema, tena wengine mapema sana, lakini ndoa zilidumu, nahdi leo baadhi yao wapo ninaowafahamu?
 
ni mapema gani unayoizungumzia mkuu...!?
mbona zamani pia walikuwa wanazaa na kuolewa mapema, tena wengine mapema sana, lakini ndoa zilidumu, nahdi leo baadhi yao wapo ninaowafahamu?
Zaman walikuwa na afya nzur ck hz waspokula chps ck haiend
 
ni mapema gani unayoizungumzia mkuu...!?
mbona zamani pia walikuwa wanazaa na kuolewa mapema, tena wengine mapema sana, lakini ndoa zilidumu, nahdi leo baadhi yao wapo ninaowafahamu?
Mapema nazungumzia wakiwa bd nyumban kwao
 
Mwanamke alikua akifikia miaka 9 tu bac anapewa mume lkn cku hzi akioleolewa akiwa na miaka 22 anaambiwa mdogo
 
Ck hz mtt mdg anazaa mapema ndiomaana ndoa hazidumu hakiolewa /kuoa ana mtt nje hyo ndoa ina tabu kwel kwel.


Labda aje apate kijana mwenye uandishi kama huu ndio hiyo ndoa itakuwa tabu kweli kweli.
 
Kweli kabisa na wewe uko JF? Lugha za wauza/wakodishaji Cd uswahilini huko ndo unaandika humu.. Mpaka inafika mahali nashindwa kuelewa..
 
Kweli kabisa na wewe uko JF? Lugha za wauza/wakodishaji Cd uswahilini huko ndo unaandika humu.. Mpaka inafika mahali nashindwa kuelewa..
Endelea kukariri utaendelea hvyohvyo mpk ck y mwsho
 
Back
Top Bottom