Ndoa zina mambo kha!

Ndoa zina mambo kha!

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
61,023
Reaction score
36,879
Wanasema imani n kuwa na uhakika wa mambo yatarajiwayo n bayana ya mambo yasioonekana

Dah nnina dada yangu kaolewa kama mwez umepita jana kapiga mumewe kahamishiwa dodoma....

Hapo tuna mwingine kaolewa toka mwakajuzi mume anaishia songea mke dar na wanae

Jamaa anakuja kukagua kama anachukua hela benki siku tatu nne kageuka

Nawaza huuyu nae anaenda kupokea machungu yaleyale aisee.....

Mwaka wetu huu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom