MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,588
maana ya mke ni kuwa equal partner wako na siyo maid wakonin maana ya kuwa na mke sasa,KAMA YEYE HAJALI!....................
Yeah nimevutiwa na chakula cha usiku mambo mengine uyaache wewe hutaki mzee apumnzike jioni asile lager? Asionane na wadau akina Chrispin? Ili waweze kubadilishana mawazo 1,2,3 na mipango ya maendeleo inapatikana Bar wewe mama utatoka j2 au jmosi.
Fidel na Chrispin mmekazania kusema kuwa ni wajibu wa mama kufanya hayo hatukatai but je kina baba wangapi wanajua na kufanya wajibu wao kwa wake zao?.
what equal-theories are we talking here?maana ya mke ni kuwa equal partner wako na siyo maid wako
Yani Mwanajamii unaongea point sana leo du! Hii ndo dilema iliyoko kwenye ndoa nyingi sasa hivi, wanaume hawako responsible kabisaa, yani mke huioni pesa ya mumeo kisa anaamini unafanya kazi na una kipato, hawatoi pesa za matumizi ya wake zao, wanataka wake zao wachangie kwenye kila kitu kuanzia kula, kodi ya nyumba, ujenzi na hata kununua usafiri and yet bado wanalalama hapa eti wanawake wawafulie n bla bla,. The moment mlivyoacha kuwa responsible kama vichwa vya familia mlipoteza haki ya kufanyiwa mengine yote. kama dozi pia unaweza kuta wengine hata hawapati ya kuridhisha, at leat i am lucky in that one, phweeee!Fidel na Chrispin mmekazania kusema kuwa ni wajibu wa mama kufanya hayo hatukatai but je kina baba wangapi wanajua na kufanya wajibu wao kwa wake zao?. Mwingine unamkuta anadai ni lazima mkewe naye achangie katika budget ya nyumbani kwa vile anafanya kazi hatukatai but wajibu wako wewe kama mume kwa mkeo ni nini? Huwezisema unamlisha au anakaa nyumbani kwako kwa sababu kama ni chakula naye anachangia katika budget, kama ni kodi naye anachangia na utakuta hata nguo au pesa za saluni hutoi kwa kisingizio kuwa naye anapata mshahara. Sasa ukiwa mwanaume ambaye unafanyiwa kila kitu, na kushare budget, tunashare, you dont appreciate lolote analokufanyia mkeo, kitu gani kitakufanya upewe heshima ya ubaba? Ni hiyo dozi ya chumbani unayoitoa (na pengine mara moja moja) au ni hao watoto uliomzalisha wife?
Timizeni wajibu wenu kama mnataka kuheshimiwa
wanawake wa siku hizi wengi wao wanakosa maadili na sathi na taratibu za kitanzania/kiafrika.
Tumeona mama zetu walikuwa wanafanya kazi na bado wanamuhudumia baba kwa kila kitu.
inabidi na sisi wanaume turudi kweny mila na desturi zetu tuache uzungu.kwa mfano jamaa moja principle yake ni kwamba chakula chake lazima aandae mkewe na mtu mwingine.
mie mi mwanaume iliyobakia na akili za kuvukia barabara kama yako inanikera kweli....wewe unadhani ndoa ni mziki tu?.....
Mtakoma, ndo mjifunze na nyie kutake care of home affairs.
Mi kuna mtu namjua akiamka asubuhi kabla hajaenda job anafua napkins za mtoto anaandaa wanae mwenyewe na akirudi anawaogesha mwenyewe na kuwalisha na kuwalaza. hata kunakuwa na bonsd kati ya watoto na baba, si wengine wanawaza wao wakiamka kila kitu tayari waondoke, wakirudi wapitie bar wapige story na barmaids warudi wakute everything is ready walale, hata hawajui maendeleo ya watopto, shame!
wngapi wanafanya haya?Wajibu wa baba kwa mama nikumtimizia mahitaji yake yote muhimu kuanzia chakula cha usiku iwe kujiexpress au sio yote na kumwachia pesa si unajua baba ni kichwa cha familia lazima atekeleze yote hayo na sio eti baba akusaidie kufua au kupiga deki au kupika hizo ni kazi za mwanamke jamani eti kuogesha mtoto n.k
thats greatkwa uzoefu wangu mdogo wa miaka kama minane ya ndoa,SIKUWAHI KUONA MWANAMKE ANACHANGIA KODI YA MEZA!sanasana anapoenda job na hela ya mafuta AU NAULI UMPATIE!
mke wangu anafanya kazi kwa minajili ya ku-maintain family HARMONY!i really need her happiness,period
hii ni kweli, mkisubiri kutolewa out na waume zenu mtavunda ndani na wakati wao wana jiexpress na nyumba ndogo everyday. jipe raha, go out and enjoy your lifeFidel wewe bwana mie cpandagi kubishana na wewe sana mana hauujui utamu wa ngoma wewe......hapo kwa mtoko labda kama nategemea pesa yake kama nina yangu jamani natokaga sana tena sana tu....wadada/wamama mcsubiri kutolewa out na waume/bfrnd zenu tu mjitokeage na wenyewe jamani....
Habari za mama zetu na baba zetu zimepitwa na wakati, lakini kumbuka wakati ule baba aklikuwa baba kweli kwenye familia, siyo siku hizi mmjaa utoto hamjui hata maana ya kuwa head of the family.
wanawake wa siku hizi wengi wao wanakosa maadili na sathi na taratibu za kitanzania/kiafrika.
Tumeona mama zetu walikuwa wanafanya kazi na bado wanamuhudumia baba kwa kila kitu.
inabidi na sisi wanaume turudi kweny mila na desturi zetu tuache uzungu.kwa mfano jamaa moja principle yake ni kwamba chakula chake lazima aandae mkewe na mtu mwingine.
Iam very proud to be a close friend of my kids , the point is wife anapoteza muelekeo ,anapretend to be too busy and i hate to tell someone what to do , i do prefer everything to happen naturally , but that's no the case , na nimeongea saana , ila sasa nimezoea , so i will just live ma life and enjoy to the fullest and see how far will she go , wherever i will be ok ,cause iam used to her .
Yani Mwanajamii unaongea point sana leo du! Hii ndo dilema iliyoko kwenye ndoa nyingi sasa hivi, wanaume hawako responsible kabisaa, yani mke huioni pesa ya mumeo kisa anaamini unafanya kazi na una kipato, hawatoi pesa za matumizi ya wake zao, wanataka wake zao wachangie kwenye kila kitu kuanzia kula, kodi ya nyumba, ujenzi na hata kununua usafiri and yet bado wanalalama hapa eti wanawake wawafulie n bla bla,. The moment mlivyoacha kuwa responsible kama vichwa vya familia mlipoteza haki ya kufanyiwa mengine yote. kama dozi pia unaweza kuta wengine hata hawapati ya kuridhisha, at leat i am lucky in that one, phweeee!
naomba nipingane na post ya mj1 kwamba wanawake wanachangia budget!NEVER ON EARTH(for the african women,NEVER)