Kaka I feel your feelings!! But with due respect kaka sometimes inabidi nanyi mara moja moja muwe mnayatia mapenzi chachu hata kwa kufanya kakitu kadogo kuonyesha kuwa unamsaidia wife. Sio unakuta mwingine kaka yeye anachojua ni kufanyiwa tu mfano
1. Anaamka asubuhi anakuamsha ukamwekee maji kwenye ndoo (na yanatoka bombani na ni master bedroom)
2. Umwekee dawa ya meno kwenye mswaki (usipoweka ataoga kisha atatoka kuja kuulizia mswaki wake)
3. Anatoka bafuni (hapo unakuta pant yake kaivua kaitupia kwenye sink anasubiri uje uife!)
4. Akitoka ushampigia pasi anavaa, anakunywa chai ulomwekea kisha huyooo funguo za gari zi wapi na akifika ndani ya gari ni honi mtindo mmoja unamchelewesha na usipokimbia na viatu mkononi anakuacha unakwenda ofcn kwa daladala au ukifanikiwa kuingia kwenye gari basi kusemwa mtindo mmoja unamchelewesha teke.
MCHANA KUTWA HATA KUKUPIGIA SIMU YA SALAMU AU SMS YA I MISS YOU!
5. Akirudi jioni akute chai yake mezani na maji bafuni
6. Atizame TV huku akisubiri chakula au asome magazeti yake
7. Akishakula huyooo kitandani analala huku akisubiri wewe uje ushushe neti na kumfunika na shuka!
8. Uingie kitandani baada ya kumaliza kazi zako akudake tayari kwa chakula cha usiku.
The life continues!
Kwa style hii kweli unategemea mkeo atakuwa anamapenzi na wewe? Si atajihisi hana tofauti na huyo housegirl jamani!
Jamani mara moja moja ukinisaidia kushusha net au hata kunipigia na mimi pasi I tell you nitaikumbuka kwa muda mrefu na moyo wangu kukongwa vilivyo!!
Kazi zote za muhimu kama kufanya usafi master bedroom, kufua nguo za mume na chakula cha mume umuaachie house girl hii ni too much. Hata kama ndio umama wa kisasa kwamba kazi nyingi za ofisini zimekuchosha lakini kuna vitu vya muhimu kama mke inabidi umfanyie mumeo.
Mume akichukua house girl uanze kulalamika na wakati mwenyewe umesahau kukaa nafasi yako kama mke.
Nikija kuwa mama hivi vitu vya msingi nitahakikisha nafanya mwenyewe hata kama nimechoka na kazi ya ofisi.
Kaka I feel your feelings!! But with due respect kaka sometimes inabidi nanyi mara moja moja muwe mnayatia mapenzi chachu hata kwa kufanya kakitu kadogo kuonyesha kuwa unamsaidia wife. Sio unakuta mwingine kaka yeye anachojua ni kufanyiwa tu mfano
1. Anaamka asubuhi anakuamsha ukamwekee maji kwenye ndoo (na yanatoka bombani na ni master bedroom)
2. Umwekee dawa ya meno kwenye mswaki (usipoweka ataoga kisha atatoka kuja kuulizia mswaki wake)
3. Anatoka bafuni (hapo unakuta pant yake kaivua kaitupia kwenye sink anasubiri uje uife!)
4. Akitoka ushampigia pasi anavaa, anakunywa chai ulomwekea kisha huyooo funguo za gari zi wapi na akifika ndani ya gari ni honi mtindo mmoja unamchelewesha na usipokimbia na viatu mkononi anakuacha unakwenda ofcn kwa daladala au ukifanikiwa kuingia kwenye gari basi kusemwa mtindo mmoja unamchelewesha teke.
MCHANA KUTWA HATA KUKUPIGIA SIMU YA SALAMU AU SMS YA I MISS YOU!
5. Akirudi jioni akute chai yake mezani na maji bafuni
6. Atizame TV huku akisubiri chakula au asome magazeti yake
7. Akishakula huyooo kitandani analala huku akisubiri wewe uje ushushe neti na kumfunika na shuka!
8. Uingie kitandani baada ya kumaliza kazi zako akudake tayari kwa chakula cha usiku.
The life continues!
Kwa style hii kweli unategemea mkeo atakuwa anamapenzi na wewe? Si atajihisi hana tofauti na huyo housegirl jamani!
Jamani mara moja moja ukinisaidia kushusha net au hata kunipigia na mimi pasi I tell you nitaikumbuka kwa muda mrefu na moyo wangu kukongwa vilivyo!!
Kaka I feel your feelings!! But with due respect kaka sometimes inabidi nanyi mara moja moja muwe mnayatia mapenzi chachu hata kwa kufanya kakitu kadogo kuonyesha kuwa unamsaidia wife. Sio unakuta mwingine kaka yeye anachojua ni kufanyiwa tu mfano
1. Anaamka asubuhi anakuamsha ukamwekee maji kwenye ndoo (na yanatoka bombani na ni master bedroom)
2. Umwekee dawa ya meno kwenye mswaki (usipoweka ataoga kisha atatoka kuja kuulizia mswaki wake)
3. Anatoka bafuni (hapo unakuta pant yake kaivua kaitupia kwenye sink anasubiri uje uife!)
4. Akitoka ushampigia pasi anavaa, anakunywa chai ulomwekea kisha huyooo funguo za gari zi wapi na akifika ndani ya gari ni honi mtindo mmoja unamchelewesha na usipokimbia na viatu mkononi anakuacha unakwenda ofcn kwa daladala au ukifanikiwa kuingia kwenye gari basi kusemwa mtindo mmoja unamchelewesha teke.
MCHANA KUTWA HATA KUKUPIGIA SIMU YA SALAMU AU SMS YA I MISS YOU!
5. Akirudi jioni akute chai yake mezani na maji bafuni
6. Atizame TV huku akisubiri chakula au asome magazeti yake
7. Akishakula huyooo kitandani analala huku akisubiri wewe uje ushushe neti na kumfunika na shuka!
8. Uingie kitandani baada ya kumaliza kazi zako akudake tayari kwa chakula cha usiku.
The life continues!
Kwa style hii kweli unategemea mkeo atakuwa anamapenzi na wewe? Si atajihisi hana tofauti na huyo housegirl jamani!
Jamani mara moja moja ukinisaidia kushusha net au hata kunipigia na mimi pasi I tell you nitaikumbuka kwa muda mrefu na moyo wangu kukongwa vilivyo!!
Chrispin inakupasa ubadili mwenendo wa maisha yako ndo hapo mnapokuja kuanza ooh mke wangu hanipendi /ooh ana kaserengeti boys mtaa wa jiraniMJ1 kumbe mmeo anakutendea wema. Mi hayo yote uliyoyataja ndio zangu kasoro hiyo red kwangu inakuwa hivi:
5. Nikirudi jioni napitia bar kupata mija moto moja baridi
6. Nikitoka bar ni moja kwa moja kitandani kwakuwa nakuwa nimeshafakamia makongoro au mkia na ndizi kadhaa. Msosi kula na wanao.
...upo sahihi hasa!
Tatizo ni kina mama wa kileo kujibweteka! ...wengine usipowatolea uvivu utakuta hata chupi za mkeo na boxers zako zinafuliwa na house girl!...
Muhimu baba mwenye nyumba kuhakikisha hako kabinti nako kanapata mahitaji yake muhimu ya kibinaadamu, ....!
Unajua hii ndio inachangia hata akina baba kumega tunda ma hao mabeki 3, kwa sababu kama hizo ulizotaja hapo juu, maana yeye kila unachosema hakatai, na mkeo ndio yupo busy au atajidai kachoka kweli kweli, sasa kwa hiyo wewe utaona upendo anao huyo beki3. kuna jamaa mmoja alikua analalamika kweli kweli kuhusu tabia ya mkewe kiasi kwamba akawa ananinymwa hadi unyumba, sasa huyo beki3 ndio akawa anafanya kila kitu amabacho alistahili kufanyiwa na mkewe ndio alipouliza je kwa nini asimuoe huyo beki3 wake kuliko manyanyaso ya mkewe. haya wadada kaeni chonjo
Hahahaha mpwa Chrispin yeah umelenga Ikulu lazima upitie kiwanja kubadilishana mawazo na wadau sio muda wote nyumbani na wife mnachokana mapema wewe angalia asubuhi mme na mke wakiwa kwenye fari moja asubuhi utakuta wote wamenuna chunguza mpwa No story wote midomo imenuna wamechokana anae bisha j3 afanye utafiti kwenye foleni humu utabaini.
Chrispin inakupasa ubadili mwenendo wa maisha yako ndo hapo mnapokuja kuanza ooh mke wangu hanipendi /ooh ana kaserengeti boys mtaa wa jirani
huonyeshi mapenzi jamani baa /kulala nini hii
Njoo nikupe kicheni party🙂
Hizo za kumuachia Hg amuhudumie mzee kwa huduma zote kuanzai kumkaribisha home, kumfulia nguo, kumtandikia kitanda, kumnawisha wakati na baada ya kula, kumpikia chakula, kumpelekea maji ya kuoga n.k
Kwanini asimalizie na huduma yenyewe maana wazee husema "mke mwenye bidii ya kazi ni stadi pia kwenye majamboz"
8. Uingie kitandani baada ya kumaliza kazi zako akudake tayari kwa chakula cha usiku.
Men will always be men, yani they think they are the only one who deserve to be treated right, they have a right to say they are tired and to be understood...but what about women? dont they get tired? halafu eti mnatishia wake zenu wasipokuwa watumwa wenu mtatembea na maids! what a poor excuse for you guys. mbona sijaona hata mmoja hapa akisema inabidi wanaume tukifika home au hata weekend tusaidie kufua nguo za watoto, mkeo na zako? why not help your wife to cook meals for the family, inawacost nini?
Hahahaha mpwa Chrispin yeah umelenga Ikulu lazima upitie kiwanja kubadilishana mawazo na wadau sio muda wote nyumbani na wife mnachokana mapema wewe angalia asubuhi mme na mke wakiwa kwenye fari moja asubuhi utakuta wote wamenuna chunguza mpwa No story wote midomo imenuna wamechokana anae bisha j3 afanye utafiti kwenye foleni humu utabaini.
Yeah hapo ndo penyewe si umeolewa kwa ajili ya kazi hiyo!!
Au ulifiki unakaa na mwanaume kwa ajili ya nn wengine kazi zote mnawaachia mahausi geli kasoro tu chakula cha usiku hicho ndo upo tayari kumbania hausi geli asimegwe na fadha.
wewe umemfanyia hayo mkeo? mbona unataka ufanyiwe wewe kwa nguvu na siyo kufanya wewe? remember in a marriage people are equal partners. no one is better than the other to deserve a king treat from the other who is nothing but a maid. Play your part and your woman will play hers. period!
Ndo hicho tu ulichokiona kwenye post nzima.
Kaka I feel your feelings!! But with due respect kaka sometimes inabidi nanyi mara moja moja muwe mnayatia mapenzi chachu hata kwa kufanya kakitu kadogo kuonyesha kuwa unamsaidia wife. Sio unakuta mwingine kaka yeye anachojua ni kufanyiwa tu mfano
1. Anaamka asubuhi anakuamsha ukamwekee maji kwenye ndoo (na yanatoka bombani na ni master bedroom)
2. Umwekee dawa ya meno kwenye mswaki (usipoweka ataoga kisha atatoka kuja kuulizia mswaki wake)
3. Anatoka bafuni (hapo unakuta pant yake kaivua kaitupia kwenye sink anasubiri uje uife!)
4. Akitoka ushampigia pasi anavaa, anakunywa chai ulomwekea kisha huyooo funguo za gari zi wapi na akifika ndani ya gari ni honi mtindo mmoja unamchelewesha na usipokimbia na viatu mkononi anakuacha unakwenda ofcn kwa daladala au ukifanikiwa kuingia kwenye gari basi kusemwa mtindo mmoja unamchelewesha teke.
MCHANA KUTWA HATA KUKUPIGIA SIMU YA SALAMU AU SMS YA I MISS YOU!
5. Akirudi jioni akute chai yake mezani na maji bafuni
6. Atizame TV huku akisubiri chakula au asome magazeti yake
7. Akishakula huyooo kitandani analala huku akisubiri wewe uje ushushe neti na kumfunika na shuka!
8. Uingie kitandani baada ya kumaliza kazi zako akudake tayari kwa chakula cha usiku.
The life continues!
Kwa style hii kweli unategemea mkeo atakuwa anamapenzi na wewe? Si atajihisi hana tofauti na huyo housegirl jamani!
Jamani mara moja moja ukinisaidia kushusha net au hata kunipigia na mimi pasi I tell you nitaikumbuka kwa muda mrefu na moyo wangu kukongwa vilivyo!!
Shauri yako Fidel80,mwaka 2012 ukioa usithubutu kujifanya busy eti hutaki kukaa na mkeo,utasaidiwa na serengeti boys.mchana wote unashinda kazini,jioni na wikiendi upo bar,hivi unategemea nini? kwa taarifa yako wanawake huwa tunapenda sana kupewa muda wa faragha.Chrispin asikudanganye hayo anayosema hayatendi.
Siwezi kubadili kwa kuwa uzoefu wangu unaonyesha NACHOKIFANYA WIFE ANAKIFAGILIA KICHIZI. Hakuna serengeti boy anayeweza kuingia anga za Chrispin, wenyewe wanaujua mziki wangu.