Ndoa za siku hizi ni majanga

Expensive life

JF-Expert Member
May 2, 2020
1,687
5,443
Habari zenu wana jf?

Ndoa za sisi vijana wa siku hizi tatizo nini? Embu twende moja kwa moja kwenye mada.

Nina rafiki yangu sana tumekuwa kama ndugu, amefunga ndoa na mchumba wake wa muda kidogo (BONGE MOJA LA HARUSI)

Kiufupi kwao pesa zipo na kwa binti pia zipo, ndugu jamaa na marafiki wamechanga sana michango, harusi yake ilikuwa na bajeti ya 27 ml. Harusi ilifanyika diamond Jubilee hall

Baada ya harusi wakapaa zao uk kwenda kunyanduana huko, kinachonisikitisa ndoa yao ina miezi miwili tu na hakuna ndoa tena.

Wote ni wakristo, Roman Catholic mpaka sasa ivi hatujajua tatizo ni nini? Kipindi cha uchumba wao walikuwa vizuri sana.

Vijana wenzangu tatizo nini? Mbona siku hizi tunaacha kirahisi sana? Nilicho kigundua siku hizi kumekuwa na ndoa za show off, utayari wa kuishi kwenye ndoa hatuna.

Watu tunajitutimua kuwachangia alafu mnaishia njiani?
 
Unafikiri shida ni ndoa? Ndoa is just an institution.

The problem is me and you. We do not know the true meaning of marriage. We only focus on the moment. Just because we can have a lavish wedding and be featured on tabloids across the country and on social media then let's go for it.

As soon as the excitement wears off and reality sinks in then hard truth hits us in the face and we realize how wrong we are.

Maisha ya ku date ni tofauti sana na ya kwenye ndoa. Makucha hufichuliwana tabia zetu halisi hujionyesha. Mengine tunaweza kuvumilia mengine hatuwezi. Uvumilivu wetu nao unatofautiana.

Sasa kuna sababu ya ku retrace footsteps zetu na kuangalia ni wapi tunakosea Ili watoto wetu wasifate nyayo zetu.
 
Unafikiri shida ni ndoa? Ndoa is just an institution.

The problem is me and you. We do not know the true meaning of marriage. We only focus on the moment. Just because we can have a lavish wedding and be featured on tabloids across the country and on social media then let's go for it.

As soon as the excitement wears off and reality sinks in then hard truth hits us in the face and we realize how wrong we are.

Maisha ya ku date ni tofauti sana na ya kwenye ndoa. Makucha hufichuliwana tabia zetu halisi hujionyesha. Mengine tunaweza kuvumilia mengine hatuwezi. Uvumilivu wetu nao unatofautiana.

Sasa kuna sababu ya ku retrace footsteps zetu na kuangalia ni wapi tunakosea Ili watoto wetu wasifate nyayo zetu.
Umemaliza kila kitu.
 
Nimewaza tu.....tunahitaji somo juu ya maisha ya ndoa mashuleni/vyuoni....mtihani wake....ni Ndoa yako....ukifeli...rudia somo....
It wont work unlesss we stop being fake while dating.Kwa sababu baada ya muda watu wanabadilika wanakuwa watu ambao hatuwafahamu.Maana yake tunatakiwa tubadilike kutokana na mazingira!Mume/Mke akibadilika nawe unabadilika mdio maisha yanaendelea.
 
It wont work unlesss we stop being fake while dating.Kwa sababu baada ya muda watu wanabadilika wanakuwa watu ambao hatuwafahamu.Maana yake tunatakiwa tubadilike kutokana na mazingira!Mume/Mke akibadilika nawe unabadilika mdio maisha yanaendelea.
Kupendana kulivyo kutamu......
Ila being fake in a relationship nayo inahitaji kipaji.....
 
Back
Top Bottom