Frank Bunini
New Member
- Jun 8, 2025
- 1
- 1
Hadi leo hii kwenye jamii yetu bado kuna msukumo wa watu kuoa au kuolewa kwa kulazimishwa.
Mtu analazimishwa kumuoa/kuolewa na mtu fulani kwa sababu tu wanazozijua wao wazazi. Hili wadau limekaaje kwenye dunia ya sasa?
#JF
Mtu analazimishwa kumuoa/kuolewa na mtu fulani kwa sababu tu wanazozijua wao wazazi. Hili wadau limekaaje kwenye dunia ya sasa?
#JF