andrewmsumeno
Member
- Aug 20, 2014
- 17
- 0
Habari wadau kuna rafki yangu mmoja ni kijana mdogo tu sasa baba yake kamlazimisha kuoa hiyo ilikuwa ni mwezi wa 6 mwaka huu dogo kajitahidi kugoma lakini mshua kalazimisha, ilifikia familia yote ikamgeuka, kwa kuwa baba presha imepanda kalazwa kijana kukataa ndoa.
Kisanga kimetokea huyo mke kabadilika amekua kicheche kwa maelezo ya huyu rafiki yangu, so kijana anawaza afanyeje maana huyo mke kwa sasa ana mimba imefikia mahali anakataa hata hiyo mimba kwa upande mwingine anamwonea huruma huyo mke, yuko njia panda mimi nimemshauri mawazo yenu yanaweza msaidia, karibuni kwa mchango.
Kisanga kimetokea huyo mke kabadilika amekua kicheche kwa maelezo ya huyu rafiki yangu, so kijana anawaza afanyeje maana huyo mke kwa sasa ana mimba imefikia mahali anakataa hata hiyo mimba kwa upande mwingine anamwonea huruma huyo mke, yuko njia panda mimi nimemshauri mawazo yenu yanaweza msaidia, karibuni kwa mchango.