complex31
JF-Expert Member
- Jun 15, 2016
- 460
- 1,411
Habari za huku,
Nimebahatika kuhudhuria ndoa mbili za kanisa katoliki, nimeona siku hizi neno “KATIKA SHIDA NA RAHA MPAKA KIFO KITUTENGANISHE” halitumiki tena.
Hii inaashiria nini? Ndoa za kanisa katoliki mnaruhusiwa kuachana kikanisa au divorce rate imezidi kua kubwa hivo hamna umuhimu wa kutumia maneno hayo?
Nimebahatika kuhudhuria ndoa mbili za kanisa katoliki, nimeona siku hizi neno “KATIKA SHIDA NA RAHA MPAKA KIFO KITUTENGANISHE” halitumiki tena.
Hii inaashiria nini? Ndoa za kanisa katoliki mnaruhusiwa kuachana kikanisa au divorce rate imezidi kua kubwa hivo hamna umuhimu wa kutumia maneno hayo?