eeh dada wewe hayo wengi yameyakuta sio wewe tu mpare.
Kuna rafiki yangu wa kinyamwezi ameolewa na mchaga, alianza na wakike 2, akaja wakiume.
Shemeji zake, wifi zake wakambadilikia, na kumloga kwa sababu kamzalia kaka yao mtoto wa kiume, ndio walikuwa wanataka kumua wifi yao ili kaka yao awe hai.
Akivo sema huyo mwanamke wa kinyamwezi juu ya wachaga.
Lakini nimeskia wapare nao pia wanamchezo huwo, hawapendi kaka zao waoe kabila lingine.
Kuna rafiki yangu mmoja wa kipare alinilalamikia juu ya dada zake. Jamaa alitaka kuoa mkenya mkikuyu, akaja dada ake akamuambia hasimuoe sababu akiwa na mali atamua. Wale dada wakawa wanamuambia kaka yao ela zote apeleke nyumbani kwao upareni. Kesi za wachaga, wapare na wakikuyu zinatisha sana, tena sio za kibinadam kabisa.
Zinakatisha tamaa, ndio maana makabila mengine uogopa kuoa ama kuolewa na makabila hayo. Samaani sana dada kwa maneno yangu.
Watu wanao weka mali mbele na ubinadam nyuma lazma wafikiriane vibaya.
Kama mkristo nenda kwa mchungaji kamueleze hayo, alafu waitwe wote madada na mumeo, uwaulize kwanini wanakufikiria vibaya, na wakuambie mpare gani huyo aliewai kuua mumewe eti kwa vile kamzalia mume mtoto wa kiume. Waulize unatatizo gani walilo liona wao mpaka umuue kaka yao!!!