THE NEXT DON
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 307
- 302
Huu utakuwa ubongo wa flavor. Yaani ugomvi wako na mkeo, tena ndoa ikiwa bado changa unauleta huku JF? Be serious Mkuu!WANAJAMVI HABARI ZA MDA HUU.!
NAOMBA MNIPE USHAURI WENI MAKE NIMECHOKA KUVUMILIA
nimeoa ndoa yangu ina mwezi wa 9 sasa lakini ndoa yangu imekuwa ya kutoelewana. yani mi nacho mwambia mke wang mfano kosa fulani limetokea kwake sasa ile nataka kumwelekeza nakwambia hapo ndo ugomvi unaanzia afu ni mama kijacho wangu afu nampenda je! ni do what me now? means nimechoka sasa naombeni ushauri wenu wana jamvi
USHAURI WENU JAMAN!
HASANTE